Kama wewe mrefu na una demu mmoja tafakari

Kama wewe mrefu na una demu mmoja tafakari

Hakuna mtu mrefu anakataliwa na mademu labda uwe mchafu yani hujipendi la sivyo jihakikishie mademu wanakupenda ukiona wanakukataa hao mademu sitaki nataka yani wanakupima tu ila uwezo wa kukukataa hawana.

Wanaume wanaokataliwa na mademu ni vijeba yani wafupi na ukiona mfupi kakubaliwa uyo labda anahela.
Duuh kwani urefu unaanzia ngapi?
 
Kitu na enjoy ni kumtazama mwanamke kwa kuinanisha shingo/ kichwa. Au anifikie kifuani
 
Aisee leo umenifungua ufahami kidogo mie ni mrefu ila demu wangu ni mfupi ndio niwapendao ila cha ajabu kwanza marafiki karibia wote wa demu wangu wanajilengesha wanipe mbususu lakini hata kitaa hakuna demu amewahi kunitakaa tena wake za watu ndio naburuza kweli kweli
Mkuu mke wa mtu ni sumu,yaani ukikamatwa wanaku.....

Huku ukirekodiwa vizuri Kisha picha wanakaa nazo,utakuwa unatozwa pesa kila wakijisikia,

Utateswa kisaikolojia,Dunia itakuwa si salama kwako,utaombwa mzigo na mamende Kama demu,hutokataa

Ukatae vipi sasa,ili wasambaze picha zako? Machizi wakiwa na njaa ya kilo moja wanakufuata kwa kigezo Cha picha.

Yaani ukikamatwa na mke wa mtu kwenye huu ulimwengu wa digital/technology Nani akupige au akuue.

Hakuna

Utakufa mwenyewe.
 
Umalaya unaona sifa ya kujitangaza nayo????
Hakuna mtu mrefu anakataliwa na mademu labda uwe mchafu yani hujipendi la sivyo jihakikishie mademu wanakupenda ukiona wanakukataa hao mademu sitaki nataka yani wanakupima tu ila uwezo wa kukukataa hawana.

Wanaume wanaokataliwa na mademu ni vijeba yani wafupi na ukiona mfupi kakubaliwa uyo labda anahela.
 
Ila wanaume warefu wana mvuto bhana
Ukute yule mrefu asiye na kitambi kanyooka fulani hivi [emoji2296][emoji2296]

Unahitaji kuwa na moyo mgumu kukataa kiumbe cha namna hii aseee
Mkuu Mimi ni mrefu Tena sana,kiasi kwamba nikiwa kwenye sehemu zinazojumuisha watu wengi

Misiba,sherehe n.k naonaga noma najikuta Kama naonekana Mimi tu

Hebu kesho ijumaa,tafuta location Kama upo dar, Kisha ni PM
 
Mkuu mke wa mtu ni sumu,yaani ukikamatwa wanaku.....

Huku ukirekodiwa vizuri Kisha picha wanakaa nazo,utakuwa unatozwa pesa kila wakijisikia,

Utateswa kisaikolojia,Dunia itakuwa si salama kwako,utaombwa mzigo na mamende Kama demu,hutokataa

Ukatae vipi sasa,ili wasambaze picha zako? Machizi wakiwa na njaa ya kilo moja wanakufuata kwa kigezo Cha picha.

Yaani ukikamatwa na mke wa mtu kwenye huu ulimwengu wa digital/technology Nani akupige au akuue.

Hakuna

Utakufa mwenyewe.
Asante kwa ushauri ila wanakuja wenyewe
 
Mkuu Mimi ni mrefu Tena sana,kiasi kwamba nikiwa kwenye sehemu zinazojumuisha watu wengi

Misiba,sherehe n.k naonaga noma najikuta Kama naonekana Mimi tu

Hebu kesho ijumaa,tafuta location Kama upo dar, Kisha ni PM
Wewe NI ngongoti au tunaita Oscar makoye, yaani NI abnormal
 
Back
Top Bottom