Kama wewe ndio DP World, kwa Kelele Hizi bado utakuwa na moyo wa kuwekeza?

Kama wewe ndio DP World, kwa Kelele Hizi bado utakuwa na moyo wa kuwekeza?

Mwarabu anaweza kuja lakini hili vuguvugu la wananchi likiendelea la kuwatukana,kuwadharau etc huko mitandaoni etc ...ufanyaji kazi wake utakuwa mgumu sana. Kama kelele hizi ndio zimesababisha kawablock watz wasikoment kwenye page yake huko mbele itakuwaje? ..na hapo bado hakafika Bongo... Sijawahi ona mwekezaji amekataliwa waziwazi kiasi hiki...tusiombee isizuke any movement au dharau mtandaoni dhidi ya waarabu kwa ujumla...mambo yatakuwa sura nyingine kabisa...
 
DP world wakiendelea na huu Mkataba na uwekezaji wake basi nitajua kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia.

Mwekezaji lazima awe na wasi wasi pale wenyeji wanapoonekana hawajafurahiswa na uwekezaji wako.

Je watapata ushirikiano?

Ningekuwa mimi ndio DP world huu mradi ningeupiga chini tu. Then nikaenda kuwekeza Msumbiji ambao hawana Mbambamba

Kwa huku kujichechetua kwa vingozi wetu waandamizi ni kiashiria wameshajaziwa mahela ya kutosha ktk accounts zao na DP world.

KWA HUU MKATABA WADANGANYIKA TUMEUZWA
 
Mbona mnadanganyana nyie kenge?!!!! Hao kina vishivji na vilissu na malofa wachache humu ndo mnasema watanzania?!!!! Kuweni serious basi nyie mbwiga! Biashara kati ya dp world na tz itafanyika na na watz wataona matunda.........
PUMBAFU! Sema viongozi wandamizi na familia zao ndio watakaoona matunda ya hao DP World
 
Mbona mnadanganyana nyie kenge?!!!! Hao kina vishivji na vilissu na malofa wachache humu ndo mnasema watanzania?!!!! Kuweni serious basi nyie mbwiga! Biashara kati ya dp world na tz itafanyika na na watz wataona matunda.........
Kwa mtu bwege kama wewe sina muda wa kupoteza tena.
Nilishajibishana nawe huko siku chache zilizopita, na kukudharau moja kwa moja.

Huna mchango wowote tena unaoweza kuongeza thamani katika mjadala wa jambo hili.
Umebaki kubweka tu, kama kichaa!
 
DP world wakiendelea na huu Mkataba na uwekezaji wake basi nitajua kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia.

Mwekezaji lazima awe na wasi wasi pale wenyeji wanapoonekana hawajafurahiswa na uwekezaji wako.

Je watapata ushirikiano?

Ningekuwa mimi ndio DP world huu mradi ningeupiga chini tu. Then nikaenda kuwekeza Msumbiji ambao hawana Mbambamba
Kama wewe ni DP World, soma haya mabandiko
 

Attachments

  • 09982A11-FB64-44FC-9D3D-A93C00634BDA.jpeg
    09982A11-FB64-44FC-9D3D-A93C00634BDA.jpeg
    71.8 KB · Views: 2
  • 41B693C3-6BF8-48CE-ACF9-EB39008881CE.jpeg
    41B693C3-6BF8-48CE-ACF9-EB39008881CE.jpeg
    58.4 KB · Views: 2
  • 4B2B54B6-BA1B-466D-86AC-CEFAFB6F06F5.jpeg
    4B2B54B6-BA1B-466D-86AC-CEFAFB6F06F5.jpeg
    62 KB · Views: 1
  • 0B98C3DD-C720-4B40-AEF5-E42DF133C139.jpeg
    0B98C3DD-C720-4B40-AEF5-E42DF133C139.jpeg
    55.5 KB · Views: 1
  • 61477FC5-C977-459D-B110-CBDD47A2F2D8.jpeg
    61477FC5-C977-459D-B110-CBDD47A2F2D8.jpeg
    58 KB · Views: 1
  • 622BE510-EB0D-4EA2-96AB-558A6443F321.jpeg
    622BE510-EB0D-4EA2-96AB-558A6443F321.jpeg
    79.5 KB · Views: 1
  • CBDC44BB-94A2-4ECB-AC38-33C16100CDBA.jpeg
    CBDC44BB-94A2-4ECB-AC38-33C16100CDBA.jpeg
    32 KB · Views: 1
  • 5E455FE2-530A-44CB-A552-2D50AD7CC0CF.jpeg
    5E455FE2-530A-44CB-A552-2D50AD7CC0CF.jpeg
    131.1 KB · Views: 1
  • 779A09B2-6D7A-4094-8F09-E3485BE79C99.jpeg
    779A09B2-6D7A-4094-8F09-E3485BE79C99.jpeg
    75.7 KB · Views: 1
  • C8C14DF5-F85F-4C30-8409-2CA9016361F4.jpeg
    C8C14DF5-F85F-4C30-8409-2CA9016361F4.jpeg
    150.5 KB · Views: 1
  • 82359CFF-E329-4A16-B1D0-DCFA03C6034D.jpeg
    82359CFF-E329-4A16-B1D0-DCFA03C6034D.jpeg
    55.1 KB · Views: 1
Wale Wazungu wa Barrick walipewa Mgodi wa Bully huku kukiwa na Maiti za waliougomea pale wakafukiwa na Mkapa.

Hawa wawekezaji wanaangalia faida zao hawaangalii kelele zako.

Kidogo hata Ustaadh Kidau auwawe kwa kutetea maiti za wapiga kelele.

Lissu pia anamjua nilikuwa nikimsikia akimuongelea Majukwaani.

Thread 'LEO ni Miaka 15 ya Dhahabu ya damu ya Bulyanhulu (7 Agosti 1996 majira ya saa 10.00' LEO ni Miaka 15 ya Dhahabu ya damu ya Bulyanhulu (7 Agosti 1996 majira ya saa 10.00
FUNZO?

Haiwezekani ikawa tofauti na wakati ule?

Hivi ni vitisho kwa watu?

Ni lazima matokeo yawe hivi kila mara?

Ninapata shida kidogo kusoma haya toka kwa mchangiaji kama wewe; bado sina hakika kama huu ndio uamini wako kwenye maswala kama haya!
 
Lazima tuwahujumu, pale bandarini itabidi tuhakikishe zinatokea ajali kila siku na mortuary zijae hao wanaotaka kuupora uhuru wetu Kwa mtaji wa ujomba wao...

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Inasikitisha sana
 
Kwahiyo unafikiria Kelele hizi zitazuia chochote?
Udini unakusumbua sana rafiki yangu,kipindi cha Magufuri tulishirikiana vema kukemea uovu,lakini sasa umebadilika sana au na wewe ni mnufaika na utumwa?
 
FUNZO?

Haiwezekani ikawa tofauti na wakati ule?

Hivi ni vitisho kwa watu?

Ni lazima matokeo yawe hivi kila mara?

Ninapata shida kidogo kusoma haya toka kwa mchangiaji kama wewe; bado sina hakika kama huu ndio uamini wako kwenye maswala kama haya!
Mchungaji! Anachunga nini??
 
Kwahiyo unafikiria Kelele hizi zitazuia chochote?
Mimi sina shaka yoyote moyoni mwangu sasa hivi, Tanzania haitakuwa ile ile tuliyoifahamu miaka yote.

Walazimishe, au waache, hiyo ni shauri yao, lakini wamekwishatuvusha sasa, hatupo tena kule kwa zamani.
 
Back
Top Bottom