Kama wewe ndio DP World, kwa Kelele Hizi bado utakuwa na moyo wa kuwekeza?

Kama wewe ndio DP World, kwa Kelele Hizi bado utakuwa na moyo wa kuwekeza?

Mimi sina shaka yoyote moyoni mwangu sasa hivi, Tanzania haitakuwa ile ile tuliyoifahamu miaka yote.

Walazimishe, au waache, hiyo ni shauri yao, lakini wamekwishatuvusha sasa, hatupo tena kule kwa zamani.
Katiba ni ileile CCM ile ile inaongozwa na wale wale.

Tujikite kwenye Katiba mpya na maridhiano.
 
DP world wakiendelea na huu Mkataba na uwekezaji wake basi nitajua kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia.

Mwekezaji lazima awe na wasi wasi pale wenyeji wanapoonekana hawajafurahiswa na uwekezaji wako.

Je watapata ushirikiano?

Ningekuwa mimi ndio DP world huu mradi ningeupiga chini tu. Then nikaenda kuwekeza Msumbiji ambao hawana Mbambamba
Bro unaichukuliaje Tanzania? Yaani DP aache bandari inayohudumia nchi kadhaa aende Msumbiji? Pia aache iliyo imara kisiasa aende Msumbiji kwenye magaidi? Hakuna mwekezaji asiyetamani kuja kuwekeza Tanzania ambapo kwa idadi tu ya watu waliopo ana uhakika wa soko. Na DP World sio mjinga kushindwa kugundua kelele zinazopigwa ni za watu vilaza wasioelewa mambo ya uwekezaji wala biashara.
 
Ndugu hili la Bandari unaona lina uhai kweli?
Hili la Bandari litapita tujikite kwenye Katiba mpya na maridhiano.

Katiba mpya ndio msingi ndio sheria mama ndio itakayozuia uchafu wote.

Tusiwe watu wa kudandia matukio for political milage.
 
Mchungaji! Anachunga nini??
Kama nimeelewa maana yako, subiri kwa makini na utamwona kondoo hasa ni yupi kati ya hizo pande mbili, wananchi na hao unaodhani wewe ni wachungaji.

Watu wengine huwa mnapenda kujidhalilisha sana kuonyesha kutokuwa na akli kabisa vichwani mwenu.
 
Bro unaichukuliaje Tanzania? Yaani DP aache bandari inayohudumia nchi kadhaa aende Msumbiji? Pia aache iliyo imara kisiasa aende Msumbiji kwenye magaidi? Hakuna mwekezaji asiyetamani kuja kuwekeza Tanzania ambapo kwa idadi tu ya watu waliopo ana uhakika wa soko. Na DP World sio mjinga kushindwa kugundua kelele zinazopigwa ni za watu vilaza wasioelewa mambo ya uwekezaji wala biashara.
Angalia usalama wa nchi kuliko faida unayotaka,ulafi ni dhambi.
 
Kwa mtu bwege kama wewe sina muda wa kupoteza tena.
Nilishajibishana nawe huko siku chache zilizopita, na kukudharau moja kwa moja.

Huna mchango wowote tena unaoweza kuongeza thamani katika mjadala wa jambo hili.
Umebaki kubweka tu, kama kichaa!
Mi pia, sibishani tena na wewe fuata mkumbo!
 
Man mbona una hasira kwani DP ni ya Kwako?

Swali Hilo tuwaulize nyinyi,mnataka serikali iwaeleze kitu gan ili muelewe.

Na mnashangaza Kwa kukosa hoja ya kusimama nayo,mara Kuna uzanzibar,mara mkitoka huko mnakuja na hoja ya Udini hamueleweki exactly nin mnataka,

Mkataba mmeambiwa Serikali haijaingia mkataba na DP world stil mnashikia hoja yenu,sasa mnashindwa nin kuandamana kuingia road??
 
Hili la Bandari litapita tujikite kwenye Katiba mpya na maridhiano.

Katiba mpya ndio msingi ndio sheria mama ndio itakayozuia uchafu wote.
Katiba mpya ishawekwa kiporo na Samia. Lakini kama CHADEMA hawajawekwa mfukoni, kutokuwepo kwa katiba hiyo mpya ndiyo nyenzo muhimu ya mapambano 2024/25; ya kuitupilia mbali CCM.

Uji wa moto uliopo mbele yake sasa hivi ni hiyo Dubai, italazimu aunywe hivyo hivyo
 
Kama nimeelewa maana yako, subiri kwa makini na utamwona kondoo hasa ni yupi kati ya hizo pande mbili, wananchi na hao unaodhani wewe ni wachungaji.

Watu wengine huwa mnapenda kujidhalilisha sana kuonyesha kutokuwa na akli kabisa vichwani mwenu.
Baba tatizo nini? Kwani ni kosa kutaka kujua anachokichunga?
 
DP world wakiendelea na huu Mkataba na uwekezaji wake basi nitajua kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia.

Mwekezaji lazima awe na wasi wasi pale wenyeji wanapoonekana hawajafurahiswa na uwekezaji wako.

Je watapata ushirikiano?

Ningekuwa mimi ndio DP world huu mradi ningeupiga chini tu. Then nikaenda kuwekeza Msumbiji ambao hawana Mbambamba
Tatizo kuna watu wameshaachukua 20% kutoka kwa dp world unadhni ,hela yake itarudi kwa namna gani
 
Katiba mpya ishawekwa kiporo na Samia. Lakini kama CHADEMA hawajawekwa mfukoni, kutokuwepo kwa katiba hiyo mpya ndiyo nyenzo muhimu ya mapambano 2024/25; ya kuitupilia mbali CCM.

Uji wa moto uliopo mbele yake sasa hivi ni hiyo Dubai, italazimu aunywe hivyo hivyo
Tukienda kwenye uchaguzi na Katiba hii hii CCM wanaenda kuiba Uchaguzi.

Solution kwa sasa labda armed Rebelion na si vingine.
 
DP world wakiendelea na huu Mkataba na uwekezaji wake basi nitajua kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia.

Mwekezaji lazima awe na wasi wasi pale wenyeji wanapoonekana hawajafurahiswa na uwekezaji wako.

Je watapata ushirikiano?

Ningekuwa mimi ndio DP world huu mradi ningeupiga chini tu. Then nikaenda kuwekeza Msumbiji ambao hawana Mbambamba
Shetani hajawahi kuwa na Aibu
 
Mwambie afungue page zake watu wacomment...ndio utaona hizi kelele ni geresha au zina impact..
Kama hao wakubwa wakisign huo mkataba dp
Amewin hakuna tena mwananchi mwenye uwezo wa kufanya lolote la kuathiri biashara yao
kwa hiyo wao wenyewe wanatamani mkataba wao usainiwe na siyo kwamba wana hofu ya hizi kelele za wananchi kwamba zitawapa mazingira magumu ya kazi hapana

Kwa sababu wakishaingia mkataba sheria inawalinda kwa lolote lile
serikali itadili na raia kwa ukaribu kabisa kumlinda mwarabu

Hofu yao ni kelele hizi zinaweza kuharibu mpango kazi wao dili likawa bovu lisiwepo au iKawa tofauti

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
DP world wakiendelea na huu Mkataba na uwekezaji wake basi nitajua kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia.

Mwekezaji lazima awe na wasi wasi pale wenyeji wanapoonekana hawajafurahiswa na uwekezaji wako.

Je watapata ushirikiano?

Ningekuwa mimi ndio DP world huu mradi ningeupiga chini tu. Then nikaenda kuwekeza Msumbiji ambao hawana Mbambamba
Hapana na sidhani kama watawekeza itakuwa kama wale Wa Bagamoyo lazima watakacha, upuuzi umezidi.
 
Back
Top Bottom