Kama wewe si mshirikina na huendekezi imani hizo, jipongeze sana!

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Narudia hii:

1. Kama hujawahi kwenda kwa mganga
2. Kama hujachanjwa Chale
3. Kama Sio mchawi
4. Kama huendekezi imani za giza
5. Kama utotoni wazazi hawajakufunga hirizi shingoni au mkononi.
6. Kama kwenu hajaletwa mganga kuagua

KAMA ULIEPUKANA NA MAISHA HAYA.BASI JIPONGEZE SANA. Kwa sababu wengi waliopitia kwenye huo ujinga hakika WAMEMKUMBATIA SHETANI. Huwezi kuwa na Chale mwilini halafu ukawa na Roho ya Imani njema.

Pia vijana ambao hamjaoa ninawashauri ukikutana na binti mwenye chale mwilini MKIMBIE.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…