SI kweliIla wanaishi kwa hofu Sana mkuu
Narudi hii:
1. Kama hujawahi kwenda kwa mganga
2. Kama hujachanjwa Chale
3. Kama Sio mchawi
4. Kama huendekezi imani za giza
5. Kama utotoni wazazi hawajakufunga hirizi shingoni au mkononi.
6. Kama kwenu hajaletwa mganga kuagua
KAMA ULIEPUKANA NA MAISHA HAYA.BASI JIPONGEZE SANA. Kwasababu wengi waliopitia kwenye huo ujinga hakika WAMEMKUMBATIA SHETANA . Huwezi kuwa na Chale mwilini halafu ukawa na Roho ya Imani njema.
Pia vijana ambao hamjaoa ninawashauri ukikutana na binti mwenye
Hayo ni mawazo yako binafsi, wewe unafuata Dini gani iliyosahihi?Hamna mwenye kufuata Dini ya RC asie mshirikina kimawazo na kivitendo. .. beliefs zao nyingi ni Dogma hazina logic/mantiki au reasoning.
Ushirikina?SI kweli
Hakuna kitu kitamgusa asiende kwa mgangaSI kweli