Narudia hii:
1. Kama hujawahi kwenda kwa mganga
2. Kama hujachanjwa Chale
3. Kama Sio mchawi
4. Kama huendekezi imani za giza
5. Kama utotoni wazazi hawajakufunga hirizi shingoni au mkononi.
6. Kama kwenu hajaletwa mganga kuagua
KAMA ULIEPUKANA NA MAISHA HAYA.BASI JIPONGEZE SANA. Kwa sababu wengi waliopitia kwenye huo ujinga hakika WAMEMKUMBATIA SHETANI. Huwezi kuwa na Chale mwilini halafu ukawa na Roho ya Imani njema.
Pia vijana ambao hamjaoa ninawashauri ukikutana na binti mwenye chale mwilini MKIMBIE.
1. Kama hujawahi kwenda kwa mganga
2. Kama hujachanjwa Chale
3. Kama Sio mchawi
4. Kama huendekezi imani za giza
5. Kama utotoni wazazi hawajakufunga hirizi shingoni au mkononi.
6. Kama kwenu hajaletwa mganga kuagua
KAMA ULIEPUKANA NA MAISHA HAYA.BASI JIPONGEZE SANA. Kwa sababu wengi waliopitia kwenye huo ujinga hakika WAMEMKUMBATIA SHETANI. Huwezi kuwa na Chale mwilini halafu ukawa na Roho ya Imani njema.
Pia vijana ambao hamjaoa ninawashauri ukikutana na binti mwenye chale mwilini MKIMBIE.