Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Wengine wabishi hawataki kuelewaMsumari wa Moto kwenye kidonda kibichiii[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine wabishi hawataki kuelewaMsumari wa Moto kwenye kidonda kibichiii[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Na ma U.T.I sugu?Unatakiwa ufurahie maisha
[emoji23][emoji23]Na ma U.T.I sugu?
😂😂😂 hiyo ndio nuksi ya kufukuza mpenziWe Utakuwa Mzururaji....Unatafuta wenzio hapa.....!
Haa Yaani Uzurure Zurure tu...nashauri Ukitoka beba Japo Soksi Kama Machinga ili Hiyo 'Energy yako Isipotee'...!
Wewe ndo huwaelewiWengine wabishi hawataki kuelewa
Unatakiwa uwe bize na mpenzi wako angalau kwa wkend[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unazungumzia mapenz yapi kwani???
Unaweza ukaw n mpenz na usiwe bize na mapenzi
Kuwa na mpenz na kuwa bize na mapenz n vitu 2tofaut kabisa vinavyojigemea
Sasa unazungumzia tuwe bize na mapenz ama tuwe bize na wapenzi??
Hapana, huko ni kutafuta stress za kujitakia. Maisha gani haya ya kuwa na mpenzi saivi. Ni mwendo wa pita tembea basi.Unatakiwa ufurahie maisha
Ingia kazini mkuu,maisha ni haya haya; mbinguni ni hesabu tuYour punch hit harder, nitalifanyia kazi
Unajua kuna wengine walishamalizana na mapenzi wako bize na mambo mengineUnatakiwa uwe bize na mpenzi wako angalau kwa wkend
Uwe nao bize wote;mmoja anashika mguu, mwingine anashika kidevuJe kama ninao wawili?
Mambo gani mengine mkuu, wakati vyote tunavyovitafuta tutaviacha..furaha ya nafsi ni muhimu zaidiunajua kuna wengine walishamalizana na mapenzi wako bize na mambo mengine
Sa itakuwaje
Unatakiwa uwe na wa permanentHapana, huko ni kutafuta stress za kujitakia. Maisha gani haya ya kuwa na mpenzi saivi. Ni mwendo wa pita tembea basi.
Sasa furaha ya nafsi zote kwan n mapenz peke ake jaman???Mambo gani mengine mkuu, wakati vyote tunavyovitafuta tutaviacha..furaha ya nafsi ni muhimu zaidi
Zaidi ya mapenzi, kuna furaha gani nyingine?Sasa furaha ya nafsi zote kwan n mapenz peke ake jaman???
Ahaaa kwa mtazamo wako huu basi upo sahihi mkuu,endelea na madaZaidi ya mapenzi, kuna furaha gani nyingine?
hutakiwi kuogopa mkuuNa ma U.T.I sugu?
Watu wanasaliti nafasi zao, kwa sababu ya mahusiano; mtu anatumiwa nauli kuvuka mabara na mabara kwa sababu ya mahusianoAhaaa kwa mtazamo wako huu basi upo sahihi mkuu,endelea na mada
Eeeeh ni kwel kabisa na wengine hata kupendana wa jinsia moja sababu ya hayo hayo mapenziWatu wanasaliti nafasi zao, kwa sababu ya mahusiano; mtu anatumiwa nauli kuvuka mabara na mabara kwa sababu ya mahusiano
U-single uliokomaa hupoteza uwezo wa kufikiri, unakuta mtu mzima anakuwa na mawazo ya kitotoWapenzi wenyewe hawa hawa wenye wapenzi wao?? Mbaya zaidi ni same gender....
Usingle mtamu asikwambie mtu.