Kama wewe una miaka zaidi ya 25 na huna mpenzi, hilo ni tatizo sugu

Kama wewe una miaka zaidi ya 25 na huna mpenzi, hilo ni tatizo sugu

Ugonjwa vipi tena??
Ni hayo mapenz unayoongelea mkuu
Mwanaume anatakiwa awe na maadili ya kiume, na mwanamke anatakiwa pia awe na maadili ya kike; tofauti na hapo hayo mengine ni magonjwa ya akili, kuingiza kitu sehemu ambayo si sahihi ni ugonjwa wa akili
 
Kama wikiend hii yote uko mwenyewe mwenyewe tu, huna mpenzi wa kukuweka bize na unamiaka zaidi ya 25;hilo ni tatizo sugu. Ondoka hapo ulipo, oga, piga pamba, nukia vizuri, zunguka zunguka huko mtaani, utapata wa kukuweka bize. Maisha yanatafutwa, hela zinatafutwa, na mapenzi pia yanatafutwa. Usitegemee yakufuate hapo mezani....chakarika.
🤣🤣🤣 Hii kali
 
Ruin your 20s by settling, because you dont want to say that you're alone.
 
Katika maisha kila mtu ana vipaumbele vyake. Kama wewe umeona kuwa na mpenzi ndio jambo la muhimu ni sawa hakuna anaetakiwa kukupangia. Ila watu watakushangaa kwanini unaona kuwa mtu mwingine kutokuwa na mpenzi ni jambo la ajabu.

Kupanga ni kuchagua. Kila mtu afanye anachotaka wakati naotaka.
Kila mtu ashinde mechi zake [emoji848][emoji848]
 
Kama wikiend hii yote uko mwenyewe mwenyewe tu, huna mpenzi wa kukuweka bize na unamiaka zaidi ya 25;hilo ni tatizo sugu. Ondoka hapo ulipo, oga, piga pamba, nukia vizuri, zunguka zunguka huko mtaani, utapata wa kukuweka bize. Maisha yanatafutwa, hela zinatafutwa, na mapenzi pia yanatafutwa. Usitegemee yakufuate hapo mezani....chakarika.
Ni kweli
 
Kama wikiend hii yote uko mwenyewe mwenyewe tu, huna mpenzi wa kukuweka bize na unamiaka zaidi ya 25;hilo ni tatizo sugu. Ondoka hapo ulipo, oga, piga pamba, nukia vizuri, zunguka zunguka huko mtaani, utapata wa kukuweka bize. Maisha yanatafutwa, hela zinatafutwa, na mapenzi pia yanatafutwa. Usitegemee yakufuate hapo mezani....chakarika.
Never say never
Kila kitu unachokiona kwa mtu kina sababu ya kuwepo mkuu
 
Katika maisha kila mtu ana vipaumbele vyake. Kama wewe umeona kuwa na mpenzi ndio jambo la muhimu ni sawa hakuna anaetakiwa kukupangia. Ila watu watakushangaa kwanini unaona kuwa mtu mwingine kutokuwa na mpenzi ni jambo la ajabu.

Kupanga ni kuchagua. Kila mtu afanye anachotaka wakati naotaka.
chalii
 
Kuna jamsa ni workmate iv..kagonga 28 anakwambia hajawahi kugonga tangia kuzalia na hata kwl anavyoongea ni mgeni kabxa kweny masuala ya sex...pamoja na kwamba alipita chuo chenye totoz UDSM .....tushamuhamasisha sanaa atafute demu agongee ila hyo kweny kichwa yake haipo..ss cjui ni wale wa kushika sheria mkononi?
 
Back
Top Bottom