Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #41
Hao wa jinsia moja ni ugonjwa mkuuEeeeh ni kwel kabisa na wengine hata kupendana wa jinsia moja sababu ya hayo hayo mapenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wa jinsia moja ni ugonjwa mkuuEeeeh ni kwel kabisa na wengine hata kupendana wa jinsia moja sababu ya hayo hayo mapenzi
Ugonjwa vipi tena??Hao wa jinsia moja ni ugonjwa mkuu
Mwanaume anatakiwa awe na maadili ya kiume, na mwanamke anatakiwa pia awe na maadili ya kike; tofauti na hapo hayo mengine ni magonjwa ya akili, kuingiza kitu sehemu ambayo si sahihi ni ugonjwa wa akiliUgonjwa vipi tena??
Ni hayo mapenz unayoongelea mkuu
Kuwa single ni matatizo mkuuUsitufokee mkuu
Sasa wenye matatizo Ni wanaume maana sis ke hatujioi wenyewKuwa single ni matatizo mkuu
🤣🤣🤣 Hii kaliKama wikiend hii yote uko mwenyewe mwenyewe tu, huna mpenzi wa kukuweka bize na unamiaka zaidi ya 25;hilo ni tatizo sugu. Ondoka hapo ulipo, oga, piga pamba, nukia vizuri, zunguka zunguka huko mtaani, utapata wa kukuweka bize. Maisha yanatafutwa, hela zinatafutwa, na mapenzi pia yanatafutwa. Usitegemee yakufuate hapo mezani....chakarika.
Ukizunguka zunguka watakuonaSasa wenye matatizo Ni wanaume maana sis ke hatujioi wenyew
Kila mtu ashinde mechi zake [emoji848][emoji848]Katika maisha kila mtu ana vipaumbele vyake. Kama wewe umeona kuwa na mpenzi ndio jambo la muhimu ni sawa hakuna anaetakiwa kukupangia. Ila watu watakushangaa kwanini unaona kuwa mtu mwingine kutokuwa na mpenzi ni jambo la ajabu.
Kupanga ni kuchagua. Kila mtu afanye anachotaka wakati naotaka.
Ni kweliKama wikiend hii yote uko mwenyewe mwenyewe tu, huna mpenzi wa kukuweka bize na unamiaka zaidi ya 25;hilo ni tatizo sugu. Ondoka hapo ulipo, oga, piga pamba, nukia vizuri, zunguka zunguka huko mtaani, utapata wa kukuweka bize. Maisha yanatafutwa, hela zinatafutwa, na mapenzi pia yanatafutwa. Usitegemee yakufuate hapo mezani....chakarika.
Never say neverKama wikiend hii yote uko mwenyewe mwenyewe tu, huna mpenzi wa kukuweka bize na unamiaka zaidi ya 25;hilo ni tatizo sugu. Ondoka hapo ulipo, oga, piga pamba, nukia vizuri, zunguka zunguka huko mtaani, utapata wa kukuweka bize. Maisha yanatafutwa, hela zinatafutwa, na mapenzi pia yanatafutwa. Usitegemee yakufuate hapo mezani....chakarika.
chaliiKatika maisha kila mtu ana vipaumbele vyake. Kama wewe umeona kuwa na mpenzi ndio jambo la muhimu ni sawa hakuna anaetakiwa kukupangia. Ila watu watakushangaa kwanini unaona kuwa mtu mwingine kutokuwa na mpenzi ni jambo la ajabu.
Kupanga ni kuchagua. Kila mtu afanye anachotaka wakati naotaka.
Niaje mkuu.chalii
Kwanini msiwe mnatongoza wanaume mnaowapenda, ugumu upo wapi? Mbona mnajinyima haki ya kikatiba!Sasa wenye matatizo Ni wanaume maana sis ke hatujioi wenyew
Naam bia ni tamu haswaWewe ndo huwaelewi
Kila bnadam na ulevi wake mkuu
Kila mmoja na wazimu wake
Kama wako upo kweny mapenz mwingne upo kweny beer tamu
Hatuwezi fan