Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kizazi cha ajabu sana hiki, ndiyomaana kimebakia kutafuta miujiza tu ili kupata baraka za kiuchumi, afya n.k badala ya kujikita katika kuyachunguza Maandiko Matakatifu ya Mungu wajue kilicho sahihi.Masikini vijana hawasomi kabisa Neno la MUNGU.
Biblia Ina Majibu yooote ya Swali lako.
Soma Bible UTAPATA majibu.
suala la yesu ni lakiroho sio mwili usitoe mifano isiyo wiana hata kidogoKwanini kila juhudi za kutibu magonjwa (tiba na dawa), tahadhari za barabarani na elimu zipo kitambo sana kunusuru uhai wa Binadamu lakini bado haizuii Watu kuumwa, kupata ajali au kufa?
suala la kutokuwepo duniani hata mtoto wa darasa lakwanza analikujua kwahio lisiwe kigezo chakufanya watu wasijadili kweliUkigundua duniani hatuna makao ya milele utakuwa umepata jibu la swali lako..
Pamoja na Mohamed kupewa Quran lkn mbona bado alikuwa hajui kusoma na kuandika mpk anakufa?Polepole wenyewe hawapendi!!
Rekebisha mwandiko,,,halafu uje na hoja ya kueleweka.suala la kutokuwepo duniani hata mtoto wa darasa lakwanza analikujua kwahio lisiwe kigezo chakufanya watu wasijadili kweli
Msilete janja janjajanja jibu swali kwanini dhambi bado zipo huku Kristo alisulubiwa kwa ajili yetu?Mkuu ni swali zuri, ila jiulize swali dogo, wewe kama mzazi unajitoa kufanya kazi ili familia na wewe uie, je ulishawahi kumaliza njaa?
kwa wote wenye mwili na roho, ukombozi unakuja kwa juhudi yako, kwa maana utahukumiwa kwa kadiri ya matendo yako.
Ukombozi hauji kwa kusali sana au kukesha makanisani wakati unafanya matendo mabaya. Matendo yako na si kitu kingine
Bado unaamini kwenye hizi ngano za waarabu na wayahudi na wazungu!Ndio maana wayahudi wanasema Yesu bado hajaja.
Maana wanadamu tuiahidiwa Yesu Kristo atazaliwa na atakufa msalabani. Kifo chake kitakuwa alama ya ukombozi kwa Mwanadamu kutoka ktk utumwa wa dhambi.
Mbona sasa maovu, maasi na dhambi ndio kwanza zinazidi kuongezeka. Au aliyekuja na kufa sio Yesu Halisi
Acha uongo...hiyo damu ya yesu inapatikana wapi?? Huyo yesu kwa mujibu wenu alikufa zaid ya miaka2000 iliyopita je hiyo dam anatoa wapi kuwakomboa mpka leo hii?Mtu asiyeamini uwepo wa Mungu aliwahi kunipa changamoto kwenye kipindi cha televisheni. "Damu ya Yesu imekuwepo kwa miaka 2,000," alisema, "na kama kungekuwa na nguvu yoyote ndani yake kama unavyodai, ulimwengu usingekuwa katika hali ya uovu kama hii."
Nikamjibu, "Ndugu, siku hizi pia kuna sabuni karibu kila sehemu, lakini watu wengi bado ni wachafu. Sabuni haimfanyi mtu kuwa safi kwa kuwa karibu, hata kama anafanya kazi katika kiwanda cha sabuni - lakini jioshe nayo.
Tumia damu ya Yesu kwa maisha yako ya dhambi na utajiunga na mamia ya mamilioni ya watu wanaoimba na kusema 'Kuna nguvu, nguvu, nguvu ya ajabu katika damu ya Mwanakondoo." Mungu akubariki.
Marehemu REINHARD BONNKE
Unategemea dhambi itakoma kwa namna hii ya kila siku mnahubiri dhambi badala mema. Angalia Yesu alipokuja alifanya na kuhubiri nini. Lakini sasa ninyi kila uchao mnatamka hizo dhambi mara 1,000 huku mema mkitamka mara. Haijalidhi makanisani, misikitini au mitaaniNdio maana wayahudi wanasema Yesu bado hajaja.
Maana wanadamu tuiahidiwa Yesu Kristo atazaliwa na atakufa msalabani. Kifo chake kitakuwa alama ya ukombozi kwa Mwanadamu kutoka ktk utumwa wa dhambi.
Mbona sasa maovu, maasi na dhambi ndio kwanza zinazidi kuongezeka. Au aliyekuja na kufa sio Yesu Halisi
Labda sio yeye tusubiri tena kidogo [emoji3], maana hata ujana wake hatujauonaNdio maana wayahudi wanasema Yesu bado hajaja.
Maana wanadamu tuiahidiwa Yesu Kristo atazaliwa na atakufa msalabani. Kifo chake kitakuwa alama ya ukombozi kwa Mwanadamu kutoka ktk utumwa wa dhambi.
Mbona sasa maovu, maasi na dhambi ndio kwanza zinazidi kuongezeka. Au aliyekuja na kufa sio Yesu Halisi
Unategemea dhambi itakoma kwa namna hii ya kila siku mnahubiri dhambi badala mema. Angalia Yesu alipokuja alifanya na kuhubiri nini. Lakini sasa ninyi kila uchao mnatamka hizo dhambi mara 1,000 huku mema mkitamka mara. Haijalidhi makanisani, misikitini au mitaani
Badilikeni kifkra
Sawa sawaMajira ya yesu haukufanyika wokovu wowote ndo maana akasema katika mathayo 22:24 “Na kama siku hizo zisingalifupizwa, asingeokoka mtu ye yote; lakini kwa ajili ya wateule zitafupizwa siku hizo.”
Maana vyote alivyokuja navyo Yesu viliibiwa na yeye kuuliwa nje ya shamba ila hakuliongea hilo kulinda imani rejea mathayo 21:33-41
Paka ufalme wa baba yake ulipokuja juu ya nchi Zekaria 14:9 na ufunuo 21:3
Vipi kuhusu Kurani na Biblia?Dini zote ni uongo, dini zote zinamuabudu kiumbe mmoja kupitia mikanganyiko ya kuwafanya watu wasijue kweli kwa kufarakana na kutofautiana ktk mafundisho yao.
WatalaamMsilete janja janjajanja jibu swali kwanini dhambi bado zipo huku Kristo alisulubiwa kwa ajili yetu?