Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
tuonyeshe utaratibu kwenye msahafu/bibliaDhambi ni kwenda kinyume na maagizo ya Mungu ,(Allah)
Kuoa wake wengi sio utaratibu wa Mungu.............
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tuonyeshe utaratibu kwenye msahafu/bibliaDhambi ni kwenda kinyume na maagizo ya Mungu ,(Allah)
Kuoa wake wengi sio utaratibu wa Mungu.............
Ndio maana wayahudi wanasema Yesu bado hajaja.
Maana wanadamu tuiahidiwa Yesu Kristo atazaliwa na atakufa msalabani. Kifo chake kitakuwa alama ya ukombozi kwa Mwanadamu kutoka ktk utumwa wa dhambi.
Mbona sasa maovu, maasi na dhambi ndio kwanza zinazidi kuongezeka. Au aliyekuja na kufa sio Yesu Halisi
Dhambi nini?Dhambi ni nini?
Kwenda kinyume na mzungu ndio dhambi. Mfano, mzungu hataki tuoe wake wengi. Nini ubaya wa kuoa wake wengi? Dhambi iko wapi hapo?
Mungu kakupa utashi. Ndio unaoutumia vibaya.Mungu wa kweli angemwangamiza shetani badala ya kumuuwa mwanae mpendwa. Ni Mungu wa mchongo, wazungu wametuweza kwa kueneza hii dini yao karibu dunia nzima. Ila hasa ni ulimwengu wa tatu.
Ulimwengu wa tatu ni upi?Ni kwa nini Mungu amtoe mwanae kafara na alikuwa na uwezo wa kusema tu neno na yakatimia? Ndio maana naamini huo ni mchongo tu wa binadamu na wamefanikisha imani kuenea sehemu kubwa duniani, hasa ulimwengu wa tatu.
Maswali kama haya niulizeni mimi ninaye jua injili ya kweli ninayo majibu matukufu ystakayo kuacha mdomo wazi na kukufsnya usiulize swali lako tena mileleNdio maana wayahudi wanasema Yesu bado hajaja.
Maana wanadamu tuiahidiwa Yesu Kristo atazaliwa na atakufa msalabani. Kifo chake kitakuwa alama ya ukombozi kwa Mwanadamu kutoka ktk utumwa wa dhambi.
Mbona sasa maovu, maasi na dhambi ndio kwanza zinazidi kuongezeka. Au aliyekuja na kufa sio Yesu Halisi
Umekosea kwa asilimia 100Yesu hakufa kwaajili ya kuwakomboa, hata hivyo biblia inasema alikuja kwaajili ya kondoo waliopotea wa nyumba ya israel ama wana wa kabila zake waliopotea, hivyo uwepo wake dunian ilikuwa ni kwaajili ya watu wa asili yake na jamii yake tu, ninyi wengine hamuhusiki acheni shobo.
Hakukuwa na ulazima wa yeye kufa msalaban ili awakomboe[emoji16][emoji23] bali chuki za wale aliokuwa anawahubiria ndio zilisababisha afe kwa kupewa makosa hivyo kifo chake kisiwe sabbu ya kusema ni ukombozi.
Hata hivyo kama yeye kwel alikuja kwaajil ya kuikomboa dunia basi isingetumika nguvu kubwa kueneza neno lake, hususan Afrika ambako mamilion ya watu walikufa wakilazimishwa kuamin huo upuuzi wa kidini na kushika mafundisho ya ukristo, pia hakukua na ulazma wa imani kuenea kwa njia ya vita za msalaba zilizokuwa na malengo ya kueneza hiyo imani ya Yesu wenu.
Pia hakuna Ushahidi wa yesu kukomboa wala kusaidia jambo lolote zaid ya uzushi wa wafia dini.
Yesu hajawai kuwepo, aliundwa na wakatoric miaka ya 300A.D kwa kuchukua historia za miungu ya wamisri, wahindu, then kuleta jina jipya la Yesu kutoka kwa Yeshua ama Zeus/Azazel ama Osiris mungu mwana wa kiume wa kimisri..
Tafuta dunia nzima hautapata historia ya uwepo wa yesu wala hao mitume wake kuishi dunian, zaid ya uzushi huo utaupata ktk vtabu vya kidini vinavyolazimisha mtu aamini bila kutumia fikra kupambanua mambo.
Yesu angekuwepo kwel basi angesharudi kitambo sana maana hata ktk maneno yake alikuwa akiwashuhudia baadhi ya watu wake kuwa angerejea muda si mrefu na kwa dalili ilionesha ni kipindi chake[emoji23][emoji23] yuko wapi sasa?
Yesu angekuwepo basi dhambi zinazoongozwa kutendwa na wafia dini za ulawiti, uuwaji, ubakaji na ushirikina makanisan haya zisingekuwepo.
Yesu angewafia wanadamu basi isingekuwa na haja ya kutueleza sana maana kila mtu angeshajua bila kuforciwa na dini.
Yesu hatorudi, mtakesha mkisubiri hatorudi maana hajawai kuwepo na hatowai kuwepo.
Jina la Yesu liloundwa na wazungu wa kirumi kisiri kwa kumaanisha SUN/SON ama mwana wa shetan/nyota ya asubuh ambaye ni aina ya Pepo lenye muundo wa kondoo dume, pepo hilo lina nguvu kubwa ya kutenda mazingaombwe kwa wanaoliita kupitia makafala ya damu(damu ya yesu), pia kutaja majina yake ya asili ama kificho pepo hilo linaweza kutenda maajabu.
Pepo hilo ndio aina ya yale sign of 666 ambayo ndio hayo yatatumika kuwaingia watu kama chapa ya akili kwa kuwapotosha na kuwafunga kiakili na kiroho wasiweze kutambua Muumba wa kweli ni yupi, na badala yake kuwafanya watu waamini maajenti wa hili pepo ambao ndio hao wachungaji wenu na dinu zote za ulimwengu zote ziko chini ya hiki kiumbe kushirikiana na mapepo wengine(666) ambao kama watakuingia basi sahau kuhusu Kupona ktk Hukumu, maana utakuwa mmoja wa waabudu sanamu.
Dini zote ni uongo, dini zote zinamuabudu kiumbe mmoja kupitia mikanganyiko ya kuwafanya watu wasijue kweli kwa kufarakana na kutofautiana ktk mafundisho yao.
Muumba wa kweli hana haja ya sisi kuwa na dini na hajawai kumtuma huyo yesu aje awafie wanadamu, dhambi kutoka kwake ni wew kuomba mthamah na kuacha FULL STOP.
Mimi siyo muislamu wala mkristo ila dini ya kweli ni ya kristo siyo uislamu ....tatizo ni injili za makanisani zimewafanya watu msijue mambo makuu na yamsingi ila ni kweli kuwa damu ya yesu ni wokovu na kuna majibu sahihi ambayo nikiyaweka hapa hakuna yoyote atakaye bisha ....yupo shehe mmoja alibisha sana nilimpa sababu alibaki kimya hadi leo ila mjue tu injili mnayo fundishwa makanisani ni injili za kihuni na potovu ndiyo maana mnayo maswali mengi kuliko majibu. Baadhi ya mambo potovu mnayo fundishwa ni hayaAcha uongo...hiyo damu ya yesu inapatikana wapi?? Huyo yesu kwa mujibu wenu alikufa zaid ya miaka2000 iliyopita je hiyo dam anatoa wapi kuwakomboa mpka leo hii?
Kuhusu sabuni tunaamini zipo na zilikuwepo maana znaendelea kutengenezwa kila siku, sas damu ya yesu iko wapi? Kama ni huko rohon mnakosingiziaga basi huyo yesu alikuwa na mapipa mangapi ya damu kuwatosha mpaka leo? Na ujuwe kuwa kiumbe wa rohoni hana sifa ya kuwa na damu wala mwili wenye sifa za kibinadamu, je hizo damu mnaomba zinatoka wapi?? Ama anajiuwa tena ili mpate damu?[emoji23]
Haya maswali mnayakimbia sana kwa visingizio ambavyo hata biblia zenu hazijaeleza.
Elezen ukwel kuwa kifo cha yesu ambacho hakikuwai kuwepo ni aina ya stori zinazohusu Tambiko la kumwaga damu ya kiumbe, na damu hii ni sadaka kwa mashetan, na damu hii unapoomba itatolewa kwa hayo mashetan ya kimatambiko kupitia damu za sadaka za wanyama ama wanadamu, unaweza usitoe wew iyo sadaka ya damu lkn hao viumbe wanajua wanapoipata kupitia washirika wao, hivyo unapoomba damu ya yesu ikutakase unakua unashiriki tambiko la imani za wazungu wa kale waliobadili matambiko hayo kuwa dini na damu iyo uombapo itakupa miujiza kama utakavyo ama isikupe jibu lolote,.
yesu kama kweli angekuwepo basi isingekuwa na haja ya kutumia maombi ya damu wala sadaka, maana alishamaliza kifo chake kwaiyo hata maovu yasingekuwepo maana alimalizana nayo kifoni.
Kwakuwa Yesu katungwa na wazungu kwa kuiba historia za Miungu wa afrika ya kale, hivyo msitegemee mabadiriko yoyote mtatopata maana mnaomba kiumbe ambacho hakijawai kuwepo zaid ya stori za biblia
Umekosea ungejua kwanini imefanyika hivyo usinge sama hayo maneno ....tatizo injili potovu za makanisani zimewapofusha.Nilishasema haya mambo ni fix, hakuna Mungu wa kweli anaemtwaa mwanae kafara. Kafara ni za kibinadamu.
Yameanzishwa na nani ? Wewe ujui maana ya dini kwa kifupi neno dini kwa lugha ya kidunia ni (haki)yameanzishwa
hujiongezi tu mkuu kwamba nimekosea kuandika?