Kama Yesu Kristo alikufa Msalabani ili tukombowele katika utumwa wa Dhambi mbona bado dhambi zinazidi kuongezeka?

🤣🤣🤣🤣
 
Kwahiyo hata kama ni mpagani na una matendo mazuri ni peponi moja kwa moja?
 
Mkuu hiyo bi porojo tu kama porojo zengine
Nalog off
 
Na dhambi za siku hizi hadi shetani anashika kichwa.....
Asingetukomboa, adhabu ya kufanya dhambi isingekuwa ndogo kama hiyo, yaani kuchomsa kwenye tanuru lw moto milele,, 🤷‍♂️,
Sasa alikufa na akatukomboa,, sasa ukifanya dhambi, badala ya kutupwa kwenye mafuta ya moto yachemkayo, basi utatupwa jehanum kwenye zowa la moto😂🙆🏻‍♀️
 

Wewe ni kibogoyo wa akili na fikra! Nadhani kila atakayethubutu kukujibu hapa atakushushia mawe badala ya kukupongeza hizo pumba ulizomwaga hapa!
 
Yesu alikuja na AKAISHI kwa ajili yetu ili maisha yake yakawe funzo kwetu.

Yeyote atakayekubali hilo na kuamua kuiga na kufuata kuishi kama alivyoelekeza yeye mwenyewe Kristu basi atakuwa amekombolewa na utumwa wa dhambi.

Kosa lilianza tulioohusianisha mambo ya kafara za mizimu, na kufanya kama mungu 'alihitaji' kafara tu ili siai tupone. La si hivyo! Siku zote Mungu hupendezwa na maisha bora aliyojitoa mtu kuyaishi kwa ajili ya rafiki zake. Umeelewaelewa kaka?
 
Baada ya gharika ya kipindi cha Nuhu na dhahma ya Sodoma na Gomora, kuna tukio lingine lilikuwa linaandaliwa kwaajili waasi. Yesu akaja kuwafundisha watu namna ya kumjua Mungu ili waongoke na kujilinda ili hasira za Mungu zisije kuwaka juu yao.

Kupitia Yesu watu wengi wameokoka. Wamepatikana watu 10 kwenye 50. Naye, Mungu anauacha mji salama kwa ajili yao.

"Mpaka sasa hakuna maovu binafamu amefanya kuzidi maovu waliofanya watu walioishi katika miji ya Sodoma na Ghomora" Ustadh Khamis.
 
Halafu ni kwanini mungu hakummaliza huyo shetani alipomzingua hadi akaamua kutuletea sisi hyo shida
 
Kama hutamuamini Yesu usitegemee kutotenda dhambi na kuokoka [emoji116]

YOHANA 3:16

[16]Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…