Kama yupo anayepitia kipindi kigumu naomba usome huu Ushuhuda wangu labda unaweza kupata faraja kidogo

Nimejumlisha ulivyosema wewe uko poa kushikwa popote kwenye mwili wako nikazidisha na ulivyosema eti nerve za hisia za utamu ziko mku... nikagawa na ulivyosutwa jumlisha na umri wako...Nimekuonea huruma sana.
now you have my full attention😁
 
Siku zote account yangu inasomaga digits 18 ila sijui nikwambiaje unielewe ila jua tu unamiliki neema ambayo hainunuliwi kwa fedha wala dhahabu.
Sikumaanisha Hela kama ulivonielewa ila nachotaka kusema huenda unachokiona kwako kama shida sisi wengn tukiwa kwenye hali uliyonayo tunaona kama tupo kwenye neema mfano huyo rafiki yangu alikua na 230k lkn anajiona Hana Hela kbs ila mi nlikuwa na 15k lkn nlikuwa comfortable kinoma
 
Amen
 
Amina! Mungu akubariki sana kwa neno hili la faraja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…