Wanataka kuchukua credit ambayo wala haiwahusu na off course wanajifariji tu maana wanajua for sure kuingia kwa Trump ni janga kwa wish zao. Arabs american si chochote wala lolote kwenye US elections. Huu uchaguzi Trump alikuwa anashinda peupeeeeKwahiyo walimchagua Trump? waarab bado sana ku affect uchaguzi wa Marekani.
Hivyo ni visingizio tu Kamala mbele ya Tramp asingetoboa kamweMkuu hudhani kuwa hata Bi Kamala anajua kuwa bi Nyau kamgharimu urais?
Kamala asingeweza kumshinda Trump hata kusingekuwa na vita Huko Gaza.
Hillary aliposhindwa kulikuwa na vita Huko Gaza?
Hivyo ni visingizio tu Kamala mbele ya Tramp asingetoboa kamwe
Mauaji ndugu usijitoe fahamu, Tunaelewa katiba ya US ni kuilinda Israel mwanzo mwishoKwamba wanafikiri US itaachq support israel?
anae support si rais bali ni serikali watakuwa suprised
Tena watakuwa surprised haswa.... Trump hana cha kupoteza ana term moja tu ya urais na hata gombea tena. NI HUYU HUYU ALIWAHI KUZITAJA NCHI ZA KIARABU AMBAZO RAIA WAKE NI MARUFUKU KUINGIA MAREKANI. Amedanganya atasimamisha vita ni uongo kama alivyodanganya kipindi kile kuwa atajenga ukuta mpaka wa Mexico na Marekani kwa garama za Mexico....ni huyu huyu alihamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel viv kwenda Jerusalem
Hizi ni hoja dhaifu sana ndugu!
"Kama Kamala angeshindwa tu, kumbe:"
1. Kwa nini alikuwa anagombea au kufanya kampeni?
2. Vipi Marais wote hai democrats kasoro Carter wa miaka 100+ kuambatana naye kumnadi na kumpigia kampeni vilivyo?
3. Vipi vigogo wakiwamo republicans kama kina Dick Cheney na wengi wengine kum endorse Kamala?
4. Kulikuwa na haja gani ya kumwondoa Biden ulingoni na kuingia huyu waliyemwona Messi?
5. Vipi kwenda kuwaangukia wapinga vita waangusha party hawa?
6. Vipi Marais wote hai republicans kumsusa Trump majukwaani naye kupiga kampeni kama yatima?
7. Nk.
Kwani Kamala mwenyewe anasema je kwa maana wapiga kura wake tumewasikia!
Kama Hillary alishindwa ingekuwa muujiza Kwa Kamala kushinda
Hoja zangu 7 pale umejibu ipi?
Kama asingeshinda:
1. Kwa nini alikuwa anagombea au kufanya kampeni?
2. Vipi Marais wote hai democrats kasoro Carter wa miaka 100+ kuambatana naye kumnadi na kumpigia kampeni vilivyo?
3. Vipi vigogo wakiwamo republicans kama kina Dick Cheney na wengi wengine kum endorse Kamala?
4. Kulikuwa na haja gani ya kumwondoa Biden ulingoni na kuingia huyu waliyemwona Messi?
5. Vipi kwenda kuwaangukia wapinga vita waangusha party hawa?
6. Vipi Marais wote hai republicans kumsusa Trump majukwaani naye kupiga kampeni kama yatima?
7. Nk.
Hoja hupingwa kwa hoja, majibu yako tafadhali.
Kwako ndugu mjumbe.
Unaona ni sahihi Arab-Americans kufurahia ushindi wa Trump kisa vita vya Mashariki ya kati? Yaani Trump ataleta unafuu upo kwa ndugu zao wa Mashariki ya kati? Yaaaani unahisi Hezbollah na Houthi na Hamas watakuwa salama zaid kwa Trump kuliko ambavyo ingekuwa kwa Kamala?Mkuu unatambua hizi ni nukuu kutoka Kwa wamerekani, waliokwenda kupiga kura na kufanya walichoahidi?
Kwamba watakuwa surprised? Na hili ni angalizo lako Toka Goba huko?
Hivi huwa hamjihirumii?
Kwani ulipenda wamchague nani, wawe na msimamo gani au hata wasifanye nini?
Kazi kweli kweli!
Mkûu sera za Marekani Kwa Israel zîpo bayana.
Íwe Trump au Kamala wôte Lao Moja.
Marekani haiwezi kuwa upande wa Waarabu dhidi ya Wayahudi Maisha.
Hata huyo Mrusi anachofanya ni geopolitical games lakini urusi hawezi kuwa upande wa Waarabu au jamii za middle east dhidi ya Wayahudi.
Kinachofanyika ni biashara
Waarabu wataendelea kutaabika Sana Marekani ingalipo.
Kupona Kwa waarabu ni aidha kuungana na matakwa Yao au kuanguka Kwa Dola la Marekani Basi.
Hamas, Hezbollah na Kaka Yao Iran round hii huenda wakapata shida zaidi kuliko Wakati wowote
🤛🤜 yaami Maislamists kwa kupindisha maneno! Imerithi kwa shetani wao kaallah. Mtu aliisha vuka 270 ati wao wanajifanya ndiyo wamesababisha haya matokeo. Matokeo yakuwa hivyo kwa sababu Wamarekani wenyewe wanajua kuwa nchi yao ni Democracy, chochote wasichokubaliana nacho watakutana na wewe kwenye ballot box. Sasa waislam waliwakera sana Wamarekani kwa vurugu zao mtaani kwa kisingizio cha free free Palestine. Halafu akina Kamala wakawa hawachukui hatua yeyote. Ndiyo maana Kamala ameshindwa kwenye kila sHao waarabu waache kujitwalia sifa wasizostahili! Matokeo ya Michigan (walikojazana) yanatoka tayari Trump alishavuka 270!
Obama alikurupuka
Hivi ni wapi Kamala amelalama kuwa bi Nyau ndo sababu ya yeye kushindwa? maana usichukue mawazo yako ukampachikia KamalaAsingetoboa? Basi kumbe:
1. Kwa nini alikuwa anagombea au kufanya kampeni?
2. Vipi Marais wote hai democrats kasoro Carter wa miaka 100+ kuambatana naye kumnadi na kumpigia kampeni vilivyo?
3. Vipi vigogo wakiwamo republicans kama kina Dick Cheney na wengi wengine kum endorse Kamala?
4. Kulikuwa na haja gani ya kumwondoa Biden ulingoni na kuingia huyu waliyemwona Messi?
5. Vipi kwenda kuwaangukia wapinga vita waangusha party hawa?
6. Vipi Marais wote hai republicans kumsusa Trump majukwaani naye kupiga kampeni kama yatima?
7. Nk.
Democrats na bi Kamala hawawezi kuacha kumlaumu bi Nyau kuwachumia hili janga!
🤛🤜 yaami Maislamists kwa kupindisha maneno! Imerithi kwa shetani wao kaallah. Mtu aliisha vuka 270 ati wao wanajifanya ndiyo wamesababisha haya matokeo. Matokeo yakuwa hivyo kwa sababu Wamarekani wenyewe wanajua kuwa nchi yao ni Democracy, chochote wasichokubaliana nacho watakutana na wewe kwenye ballot box. Sasa waislam waliwakera sana Wamarekani kwa vurugu zao mtaani kwa kisingizio cha free free Palestine. Halafu akina Kamala wakawa hawachukui hatua yeyote. Ndiyo maana Kamala ameshindwa kwenye kila sView attachment 3146187View attachment 3146188wing states (Pennsylvania, Georgia, North Carolina, Nevada, Arizona, Wisconsin na Michigan) cha zaidi majimbo alikoshinda Kamala ni kule ambako hawakuulizi ID wakati unaenda kupiga kura hivyo mamluki wengi illigal immigrants wakampigia kura
Si unajua tena kobaaz wanataka waonekane pasipo wao Trump asingeshinda na ni kwa sabab ya wao kutomtaka kamala ndo maana ameshindwa. Yaan hii yote ni kutaka kuonyesha kuwa waarab wa US na wao wana say nani awe rais wa US kama ilivyo wayahudi.🤛🤜 yaami Maislamists kwa kupindisha maneno! Imerithi kwa shetani wao kaallah. Mtu aliisha vuka 270 ati wao wanajifanya ndiyo wamesababisha haya matokeo. Matokeo yakuwa hivyo kwa sababu Wamarekani wenyewe wanajua kuwa nchi yao ni Democracy, chochote wasichokubaliana nacho watakutana na wewe kwenye ballot box. Sasa waislam waliwakera sana Wamarekani kwa vurugu zao mtaani kwa kisingizio cha free free Palestine. Halafu akina Kamala wakawa hawachukui hatua yeyote. Ndiyo maana Kamala ameshindwa kwenye kila sView attachment 3146187View attachment 3146188wing states (Pennsylvania, Georgia, North Carolina, Nevada, Arizona, Wisconsin na Michigan) cha zaidi majimbo alikoshinda Kamala ni kule ambako hawakuulizi ID wakati unaenda kupiga kura hivyo mamluki wengi illigal immigrants wakampigia kura
https://www.facebook.com/Hii inaitwa kazi tuliyojituma tumeimaliza:
View attachment 3145748
Kwamba hakusikiliza:
View attachment 3145737
Ama hakika mission accomplished somo bayana kwa wasaka kura kokote:
View attachment 3145739
"Mwenye nchi, mwananchi!"
Hivi ni wapi Kamala amelalama kuwa bi Nyau ndo sababu ya yeye kushindwa? maana usichukue mawazo yako ukampachikia Kamala
jibu nilichokuuliza
Mkuu nduguyo huyo kama ulimpenda mno kapigwa chini Kwa jitihada za wazi za wapinga vita.
Humo walikuwamo Arab Americans na sympathizers wao.
Sympathizers wao unawajua au hata walikuwa wapi?
Bila shaka Hadi hapo umetambua umeandika ugolo mwingine kama wa sokoni tu.