Kamala Harris akiangukia pua, waliopanga kumtia adabu waangusha tafrija!

Si unajua tena kobaaz wanataka waonekane pasipo wao Trump asingeshinda na ni kwa sabab ya wao kutomtaka kamala ndo maana ameshindwa. Yaan hii yote ni kutaka kuonyesha kuwa waarab wa US na wao wana say nani awe rais wa US kama ilivyo wayahudi.

Kobaaz?!

Ni mpumbavu tu aspirant yeyote wa kura kujaribu kuwagawa wapiga kura kwa misingi yoyote.

Kukwambia tu Kamala au Trump wasingethubutu kumwita mpiga kura mmoja kobaaz.

Na hata hapa nakwambia kuna chama kimoja viongozi wao wasipoamka na kuwakana wapumbavu hao waita watu kobaaz, historia ya Kamala itajirudia.

Kwa faida ya Leo na kesho niwaite ndugu wapambanaji bila kuwasahau wafia vyama nguli kadhaa kwa taarifa:

imhotep, Tlaatlaah, binti kiziwi, Proved, Erythrocyte, Lucas Mwashambwa, Kinyungu na ndugu wengine.

Habari ndiyo hiyo!
 
Trump ni mfanyabiashara zaidi sio mwanasiasa na ndio maana kanyooka sio mnafiki nafiki.
 
NI mapema sana kushangilia, trump ni pro israel kuliko hata Biden, na aliungwa mkono na christian ambao pia wanaiunga mkono israel
 
Arab community ni wachache mno wasingeweza kuinfluence uchaguzi.

Kamala kaanguka kwa sera ya uhamiaji hiyo immepa sana kura Trump.
 
The down fall of satan, kaalah has begun. Kwa sasa kibano mtakipata, israel, saudia, UAE tayari mnakipata, mtakipata USA na hivi karibuni atafanya makubaliano na Putin kule Ukrainian na baada ya hapo Putin naye atawaminya. Maayatollah wenu wa Iran their days are numbered. Uchina ndiyo usiseme anawaminya kimya kimya..labda muende Gaza mkasaidiane kulialia na Wagaza

View: https://x.com/Salwan_Momika1/status/1853823264801407280
 
acha niwasanue leo,
Jimboni kwangu wagombea udiwani na ubunge wa chadema 2015, baada ya kushindwa vibaya uchaguzi ule waliwaita wananchi wajinga sana, hawajielewi.

Matokeo yake kwa mfano leo hii,
wananchi jimboni kwangu hawataki hata kuiskia chadema na hawasahau dhihaka za 2015.

Muhimu Zaidi,
kata yangu ina vijiji vi5, wagombea uongozi wote ni CCM, ispokua ni kitongoji kimoja tu ndicho kina mgombea wa upinzaini, ambae pia atapata kura1 ambayo ni yakwake mwenyewe na pekeyake tu.

Infact,
Kamala Haris ameiga dhihaka za chadema Marekani πŸ’
 
Hapa mimi nahusikaje tena? Kwenye mambo ya udini kiukweli mimi huwa si mmoja wao
 

Mkuu japo uko nje ya mada mchina ana taabu zaidi na Mwafrika:



Tumwamini, tusimwamini?

Mawazo yako tafadhali ndugu mjumbe!
 

Taabu yake wewe ni mchawa mno kuaminika.

Ila kama ndivyo ilivyokuwa nikiazima maneno ya mpendwa wenu, "hili nalo wakaliangalie."

"Mpiga kura habezwi, mpiga kura anakuwa cajoled!"
 
Taabu yake wewe ni mchawa mno kuaminika.

Ila kama ndivyo ilivyokuwa nikiazima maneno ya mpendwa wenu, "hili nalo wakaliangalie."

"Mpiga kura habezwi, mpiga kura anakuwa cajoled!"
endeleeni kuwaita na kuwadhihaki wapiga kura kwamba ni wajinga kuichagua serikali sikivu iliyopo na ninyi wagombeaji uongozi upinzan endeleeni kujiita waerevu πŸ’
 
Trump ni hatari kwa ustawi wa Arab nations.Haina ubishi.Kuna jamii itamuona mzee Chamtemakuni live!

Post #5 uliona ndugu?

Kamala na democrats walikuwa tayari Kwa lolote la bi Nyau.

Maneno magumu kabisa hayo.

Ninaamini Trump hawezi kukubali, vipi wewe unayaweza ya Kamala?

Maoni yako tafadhali ndugu mjumbe.
 

Mkuu una uhakika waliomtokea kumtia adabu huyu bi mkubwa ni hao tu uliowaweka hapo?

Ukweli mchungu bi dada kapigwa chini kwa jitihada za wazi za wapinga vita.

Humo walikuwamo Arab Americans na sympathizers wao.

Sympathizers wao unawajua au hata walikuwa pia majimbo yapi?

Bila shaka hadi hapo utakuwa umetambua umetambua thamani ya kura yako dhidi ya wagombea viziwi!

Tlaatlaah na mwenzio habari ndiyo hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…