Kamala Harris aumizwa na mateso ya Wapalestina. Mwanamfalme wa Saudia na Jordan wapo kimya kabisa

Kamala Harris aumizwa na mateso ya Wapalestina. Mwanamfalme wa Saudia na Jordan wapo kimya kabisa

Hamna taifa linalo ongoza kwa unafiki na uongo kama US. US kwenye baraza la usalama limekataa mara tatu kusimamisha mapigano Gaza.

Pili linatoa msaada wa silaha ambazo ndizo hutumika kila siku Gaza.

Leo Makamu wa Rais eti anaumia na yanayo endelea Gaza kama si unafiki na undumilakuwili ni nini.Jana Palestine wamekataa misaada yao ya chakula,wamerusha na maparashuti wameichunia.
Misaada iliyorushwa na maparashuti ..wapalestina wameigombania hadi wengine wameingia ufukwen baharin kuifata..ogopa njaa wewe
 
Mateka washaachiwa au bado? vita iishe
Makamo wa raisi wa Marekani Kamala Harris ameibuka kutoa kauli kauli kuilani Israel kwa jinsi inavyoua na kutesa watu wa Gaza bila sababu za msingi.

Katika karipio lake ametumia neno kusitisha vita moja kwa moja badala ya maneno mengine ya mzinguka kutaka matekan na vitu vyengine vidogo vidogo visivyolingana na mateso hayo.

Hayo yakitokea na kuwashtua washirikaj wa Israel viongozi wa nchi za kiislamu na zinazopakana na Gaza na Palestina kwa jumla zimekaa kimya ama kutoa kauli za kujificha.

Mfano wa kauli hizo ni ile ya karibuni ya kiongozi wa Uturuki aliyoitaka jumuiya ya kimataifa kuilaani Israel juu ya mauwaji ya watu wa Gaza.

Kama ameumizwa na mateso hayo kweli angeweza kufanya zaidi ya walivyofanya wanamgambo wa Houth kuzuia maangamizi hayo.


===


Vice President Kamala Harris on Sunday called for an “immediate cease-fire” in Gaza, saying that Hamas should agree to the six-week pause currently on the table and that Israel should increase the flow of aid into the besieged enclave amid a humanitarian crisis.

Ms. Harris’s remarks, delivered in Selma, Ala., bolstered a recent push by President Joe Biden for an agreement and came a day before she was to meet with a top Israeli cabinet official involved in war planning, Benny Gantz. Her tone echoed a sharper and more urgent tone coming from the White House as its frustration with Israel grows. Last month, the president called Israel’s response to the Oct. 7 Hamas-led attack “over the top.”

Ms. Harris assailed the dire conditions in Gaza, calling the situation a “humanitarian catastrophe.” It was her most forceful assessment to date of the Middle East conflict, which has killed more than 30,000 Palestinians, according to Gazan health authorities, and put the enclave on the brink of famine.

“What we are seeing every day in Gaza is devastating,” Ms. Harris said. “We have seen reports of families eating leaves or animal feed. Women giving birth to malnourished babies with little or no medical care. And children dying from malnutrition and dehydration. As I have said many times, too many innocent Palestinians have been killed.”

“The threat Hamas poses to the people of Israel must be eliminated,” Ms. Harris added. “And given the immense scale of suffering in Gaza, there must be an immediate cease-fire, for at least the next six weeks.”

Sign up for the Israel-Hamas War Briefing. The latest news about the conflict. Get it sent to your inbox.

Mr. Biden has been pushing for a deal between Hamas and Israel that would allow for the release of hostages and a temporary cease-fire by Ramadan, the Muslim holy month that starts around March 10. U.S. officials said that Israel had “more or less accepted” terms of the deal, but Hamas has yet to agree to it.

Ms. Harris reiterated the United States’ support for Israel’s right to defend itself against the ongoing threat from Hamas, which she said had no regard for innocent life in Israel or in Gaza. Ms. Harris called Hamas a “brutal terrorist organization” that poses a threat to Israel and should be eliminated.

“Hamas claims it wants a cease-fire,” she said. “Well, there is a deal on the table.”

Ms. Harris spoke at a time when the political consequences of the Biden administration’s unwavering support for Israel are beginning to come into sharper focus. While Mr. Biden has increasingly criticized Israel’s response to the Oct. 7 attack, his rejection of calls for a permanent cease-fire and a series of earlier missteps in showing a lack of empathy for Palestinians have divided the Democratic Party. They have also alienated key constituents, including Black, young and Arab American voters.

Opponents of the war and pro-Palestinian protesters have followed Mr. Biden to events across the country to protest his support for Israel in the war. Prominent Black faith leaders have called on the administration to halt financial assistance for Israel, alleging that its military campaign amounts to “mass genocide.”

In perhaps the most glaring warning sign to date, more than 100,000 people, many of them Arab Americans, voted "Uncommitted" in Michgan's primary last week — a preview of what could unfold in other key swing states that helped elect Mr. Biden in 2020.

Ms. Harris also said on Sunday that Israel must do more to allow for the flow of aid into Gaza, including opening new border crossings, lifting unnecessary restrictions on aid deliveries and restoring services to Gaza.

“People in Gaza are starving,” Ms. Harris said. “The conditions are inhumane. And our common humanity compels us to act.”

She condemned a scene that unfolded on Thursday, when more than 100 Gazans desperate for food descended on an aid convoy and were met with what Ms. Harris called “chaos and gunfire,” after Israel opened fire on the crowd.

Israeli and Palestinian officials and witnesses have offered different accounts of the episode, with Israeli officials blaming the crush of the crowd for most of the deaths, while witnesses described extensive gunfire by Israeli forces.

“The Israeli government must do more to significantly increase the flow of aid,” Ms. Harris said. “No excuses.”

Ms. Harris’s remarks, delivered at the Edmund Pettus Bridge during a commemoration of Bloody Sunday, a major civil rights event in 1965, drew applause at points from the crowd.

On March 7, 1965, Black Americans were beaten by white law enforcement officers on the bridge for marching for their right to vote. The event was widely credited with galvanizing support for the Voting Rights Act of 1965, which passed five months later.

The New York Times
Me nashindwa kuwaonea Huruma Gazan sababu news zo ni maigizo and kila siku... Yaani Gaza kuna Watoto na wanawake tu... ndio wanadedi... uongo unasaidia nini? huruma wakati front line Hamas na nguo za kiraia wanavizia IDF kibaya wanajirecord wakifanikiwa kulipua either kifaru au kuua wanajeshi... Proppaganda vitani mtamalizwa bila kuchujwa...
 
Hamna taifa linalo ongoza kwa unafiki na uongo kama US. US kwenye baraza la usalama limekataa mara tatu kusimamisha mapigano Gaza.

Pili linatoa msaada wa silaha ambazo ndizo hutumika kila siku Gaza.

Leo Makamu wa Rais eti anaumia na yanayo endelea Gaza kama si unafiki na undumilakuwili ni nini.Jana Palestine wamekataa misaada yao ya chakula,wamerusha na maparashuti wameichunia.
Mbona husemi US anasaidia Palestina pia?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo misaada yenyewe wanatakiwa watu wa afya waipitie, hao sio wa kuamini.

Haya matamshi ya huyu kamala sina imani nayo, Mpaka raia wakiwemo watoto, watu wazima wanakufa na bado rais wao biden hataki vita isitishwe. Hawa sio wa kuamini, biden na huyu mama+washirika wao wataenda kujibu kwa Allah.
Vita haina macho hata hapo Israel kajitahidi sana kuepusha vifo vya raia.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Walianza? Hicho kijiji kipo Palestina, kimekaliwa na wakulima wavamizi kutoka Israel sasa kivipi ukiwafukuza wavamizi iwe uchokozi au ugaidi?

Wache kukalia kimabavu ardhi ya wenzao, kwani hawatosheki na 80% ya ardhi waliyopora kutoka Westbank na Gaza?
Israel ni ya Wayahudi ina maana wewe unapingana na mtume wako??
 
Katika hizi siku za mwisho mwisho wapalestina wataonewa huruma sana na infact ataibuka mtawala wa kishetani akijifanya kuutatua huu mgogoro na Israel itamkubali sana kiasi cha kuacha hata kulinda mipaka yake kwa miaka mitatu na nusu Israel ataenjoy, lakini kumbe mtawala huyu wa kishetani atakuwa na agenda yake ya siri ya kutaka kuimaliza na kuifuta Israel mazima duniani ndipo ataonyesha makucha yake na mataifa ya kiarabu na waisalmu na marafiki wa wapalestina na wanaowaonea huruma wengi sana watafurahi sana Israel kuteswa na huyo mtawala wa kishetani na majeshi yake na kwa kweli kwenye miaka mitatu na nusu Israel atakula kipondo ambacho hakijawahi kutokea duniani na hakitotokea tena ila sasa uzuri baada ya miaka mitatu na nusu Yesu atakuja kuamua ugomvi na hakika Israel itaokolewa na kipigo hicho.
Kwa hiyo kuonewa huruma kwa wapalestina ndo mwanzo mwanzo wa kufunuliwa kwa hiyo binadamu shetani na wataonewa huruma pasipo hata kujali madhila gani wapalestina wamewatendea israel.
Wasabato tumewazoea
 
Hakuna atakayewatoa mazayuni pale isipokuwa watu wa Tawheed na Sunnah kwa idhini ya Allah.

Sio Marafidha wa Iran, Hezbo na Houthi, wala sio Ikhwanul mufliseen, wala sio makhawaarij kama Daesh/Isis, wala sio waandamanaji wanaopiga kelele huku wakicheza dabke na kuimba "Ana Dammi Falastini", wala sio wanaojichoma moto wenyewe.

Allah awasamehe na awakubali Waislam waliouawa Palestine kuwa mashahidi.
Alinacha
 
Makamo wa raisi wa Marekani Kamala Harris ameibuka kutoa kauli kauli kuilani Israel kwa jinsi inavyoua na kutesa watu wa Gaza bila sababu za msingi.

Katika karipio lake ametumia neno kusitisha vita moja kwa moja badala ya maneno mengine ya mzinguka kutaka matekan na vitu vyengine vidogo vidogo visivyolingana na mateso hayo.

Hayo yakitokea na kuwashtua washirikaj wa Israel viongozi wa nchi za kiislamu na zinazopakana na Gaza na Palestina kwa jumla zimekaa kimya ama kutoa kauli za kujificha.

Mfano wa kauli hizo ni ile ya karibuni ya kiongozi wa Uturuki aliyoitaka jumuiya ya kimataifa kuilaani Israel juu ya mauwaji ya watu wa Gaza.

Kama ameumizwa na mateso hayo kweli angeweza kufanya zaidi ya walivyofanya wanamgambo wa Houth kuzuia maangamizi hayo.


===


Vice President Kamala Harris on Sunday called for an “immediate cease-fire” in Gaza, saying that Hamas should agree to the six-week pause currently on the table and that Israel should increase the flow of aid into the besieged enclave amid a humanitarian crisis.

Ms. Harris’s remarks, delivered in Selma, Ala., bolstered a recent push by President Joe Biden for an agreement and came a day before she was to meet with a top Israeli cabinet official involved in war planning, Benny Gantz. Her tone echoed a sharper and more urgent tone coming from the White House as its frustration with Israel grows. Last month, the president called Israel’s response to the Oct. 7 Hamas-led attack “over the top.”

Ms. Harris assailed the dire conditions in Gaza, calling the situation a “humanitarian catastrophe.” It was her most forceful assessment to date of the Middle East conflict, which has killed more than 30,000 Palestinians, according to Gazan health authorities, and put the enclave on the brink of famine.

“What we are seeing every day in Gaza is devastating,” Ms. Harris said. “We have seen reports of families eating leaves or animal feed. Women giving birth to malnourished babies with little or no medical care. And children dying from malnutrition and dehydration. As I have said many times, too many innocent Palestinians have been killed.”

“The threat Hamas poses to the people of Israel must be eliminated,” Ms. Harris added. “And given the immense scale of suffering in Gaza, there must be an immediate cease-fire, for at least the next six weeks.”

Sign up for the Israel-Hamas War Briefing. The latest news about the conflict. Get it sent to your inbox.

Mr. Biden has been pushing for a deal between Hamas and Israel that would allow for the release of hostages and a temporary cease-fire by Ramadan, the Muslim holy month that starts around March 10. U.S. officials said that Israel had “more or less accepted” terms of the deal, but Hamas has yet to agree to it.

Ms. Harris reiterated the United States’ support for Israel’s right to defend itself against the ongoing threat from Hamas, which she said had no regard for innocent life in Israel or in Gaza. Ms. Harris called Hamas a “brutal terrorist organization” that poses a threat to Israel and should be eliminated.

“Hamas claims it wants a cease-fire,” she said. “Well, there is a deal on the table.”

Ms. Harris spoke at a time when the political consequences of the Biden administration’s unwavering support for Israel are beginning to come into sharper focus. While Mr. Biden has increasingly criticized Israel’s response to the Oct. 7 attack, his rejection of calls for a permanent cease-fire and a series of earlier missteps in showing a lack of empathy for Palestinians have divided the Democratic Party. They have also alienated key constituents, including Black, young and Arab American voters.

Opponents of the war and pro-Palestinian protesters have followed Mr. Biden to events across the country to protest his support for Israel in the war. Prominent Black faith leaders have called on the administration to halt financial assistance for Israel, alleging that its military campaign amounts to “mass genocide.”

In perhaps the most glaring warning sign to date, more than 100,000 people, many of them Arab Americans, voted "Uncommitted" in Michgan's primary last week — a preview of what could unfold in other key swing states that helped elect Mr. Biden in 2020.

Ms. Harris also said on Sunday that Israel must do more to allow for the flow of aid into Gaza, including opening new border crossings, lifting unnecessary restrictions on aid deliveries and restoring services to Gaza.

“People in Gaza are starving,” Ms. Harris said. “The conditions are inhumane. And our common humanity compels us to act.”

She condemned a scene that unfolded on Thursday, when more than 100 Gazans desperate for food descended on an aid convoy and were met with what Ms. Harris called “chaos and gunfire,” after Israel opened fire on the crowd.

Israeli and Palestinian officials and witnesses have offered different accounts of the episode, with Israeli officials blaming the crush of the crowd for most of the deaths, while witnesses described extensive gunfire by Israeli forces.

“The Israeli government must do more to significantly increase the flow of aid,” Ms. Harris said. “No excuses.”

Ms. Harris’s remarks, delivered at the Edmund Pettus Bridge during a commemoration of Bloody Sunday, a major civil rights event in 1965, drew applause at points from the crowd.

On March 7, 1965, Black Americans were beaten by white law enforcement officers on the bridge for marching for their right to vote. The event was widely credited with galvanizing support for the Voting Rights Act of 1965, which passed five months later.

The New York Times
Vita muanzishe nyinyi halafu mnalialia kuwa mnaonewa. Halafu nyinyi waislam siasa kali mnawauza watu wa watu wa Gaza kwa Agenda zenu za kidini. Sasa mpaka waseme poo ndiyo kibano kitaachiwa
 
Wamechokoza nyuki unategemea nini?! Hata Nyerere alimpiga Nduli Idd Amin alipovamia na kuuwa kule Kagera
Hujaelewa hoja.... Kagera ipo Tanzania, Idd Amin alivamia Kagera ambayo ni mkoa wa Tanzania. Nyerere akamvamia Idd Amin ili amtoe Kagera ambayo ni Tanzania. Je ule ni uchokozi? Kama jibu ni hapana basi interchange kwa Tanzania weka Palestine na Idd Amin ndio Israel.

Kumtoa mtu kwenye ardhi yako mwenyewe sio uchokozi.
 
Vita muanzishe nyinyi halafu mnalialia kuwa mnaonewa. Halafu nyinyi waislam siasa kali mnawauza watu wa watu wa Gaza kwa Agenda zenu za kidini. Sasa mpaka waseme poo ndiyo kibano kitaachiwa
Nani kaanzisha vita? Wao wamekaliwa kimabavu na majeshi ya Israel hutaki wajitawale? Kuna watu akili zenu sijui zikoje. Yaani Mandela kupinga ukoloni wa makaburu ni sawa, Mkwawa kupinga ukoloni wa wajerumani ni sawa ila Hamas kupinga ukoloni wa Israel eti ni uchokozi!!
 
Nani kaanzisha vita? Wao wamekaliwa kimabavu na majeshi ya Israel hutaki wajitawale? Kuna watu akili zenu sijui zikoje. Yaani Mandela kupinga ukoloni wa makaburu ni sawa, Mkwawa kupinga ukoloni wa wajerumani ni sawa ila Hamas kupinga ukoloni wa Israel eti ni uchokozi!!
Ndivyo mnavyodanganywa na Masheikh ubwabwa wenu! Na mtaendelea kupata kichapo mpaka mwisho wa Dunia hii. Na kwa taarifa yako huko Europe na US mlikovamia na kuanza kuzaliana kama panya wanawawekea mkakati, na Trump anarudi ata wadeport
 
Hiyo misaada yenyewe wanatakiwa watu wa afya waipitie, hao sio wa kuamini.

Haya matamshi ya huyu kamala sina imani nayo, Mpaka raia wakiwemo watoto, watu wazima wanakufa na bado rais wao biden hataki vita isitishwe. Hawa sio wa kuamini, biden na huyu mama+washirika wao wataenda kujibu kwa Allah.
Allah hawezi kuwaadhibu hao kwani hata hawamtambui huyo allah unayemsema.
 
Katika hizi siku za mwisho mwisho wapalestina wataonewa huruma sana na infact ataibuka mtawala wa kishetani akijifanya kuutatua huu mgogoro na Israel itamkubali sana kiasi cha kuacha hata kulinda mipaka yake kwa miaka mitatu na nusu Israel ataenjoy, lakini kumbe mtawala huyu wa kishetani atakuwa na agenda yake ya siri ya kutaka kuimaliza na kuifuta Israel mazima duniani ndipo ataonyesha makucha yake na mataifa ya kiarabu na waisalmu na marafiki wa wapalestina na wanaowaonea huruma wengi sana watafurahi sana Israel kuteswa na huyo mtawala wa kishetani na majeshi yake na kwa kweli kwenye miaka mitatu na nusu Israel atakula kipondo ambacho hakijawahi kutokea duniani na hakitotokea tena ila sasa uzuri baada ya miaka mitatu na nusu Yesu atakuja kuamua ugomvi na hakika Israel itaokolewa na kipigo hicho.
Kwa hiyo kuonewa huruma kwa wapalestina ndo mwanzo mwanzo wa kufunuliwa kwa hiyo binadamu shetani na wataonewa huruma pasipo hata kujali madhila gani wapalestina wamewatendea israel.
Umeota au nini
 
Hivi si ni hao wapalestina ndio waliowaua kikatili watanzania sasa kwa nini na sisi tuwahurumie wanapouliwa na waisrael si afadhali na sisi tufurahi tu Israel wanapo tusaidia kulipiza kisasi.

Well done Israel and please keep it up.
 
Back
Top Bottom