Kamala Harris aumizwa na mateso ya Wapalestina. Mwanamfalme wa Saudia na Jordan wapo kimya kabisa

Kamala Harris aumizwa na mateso ya Wapalestina. Mwanamfalme wa Saudia na Jordan wapo kimya kabisa

Tuambie ww waarabu wanataka nn....???
Vita eeh
Mbona UN kila siku wanacho kitaka wanazungumza na tena mdaa huu kuna kikao baraza la usalama la UN ,warabu wote na karibia ya 90 ya nchi zote duniani wanacho taka mapigano ya sitishwe.
 
Katika hizi siku za mwisho mwisho wapalestina wataonewa huruma sana na infact ataibuka mtawala wa kishetani akijifanya kuutatua huu mgogoro na Israel itamkubali sana kiasi cha kuacha hata kulinda mipaka yake kwa miaka mitatu na nusu Israel ataenjoy, lakini kumbe mtawala huyu wa kishetani atakuwa na agenda yake ya siri ya kutaka kuimaliza na kuifuta Israel mazima duniani ndipo ataonyesha makucha yake na mataifa ya kiarabu na waisalmu na marafiki wa wapalestina na wanaowaonea huruma wengi sana watafurahi sana Israel kuteswa na huyo mtawala wa kishetani na majeshi yake na kwa kweli kwenye miaka mitatu na nusu Israel atakula kipondo ambacho hakijawahi kutokea duniani na hakitotokea tena ila sasa uzuri baada ya miaka mitatu na nusu Yesu atakuja kuamua ugomvi na hakika Israel itaokolewa na kipigo hicho.
Kwa hiyo kuonewa huruma kwa wapalestina ndo mwanzo mwanzo wa kufunuliwa kwa hiyo binadamu shetani na wataonewa huruma pasipo hata kujali madhila gani wapalestina wamewatendea israel.
Dini gani inawafundisha haya? Kwamba kuna taifa halistahili huruma?

Kuweni na aibu basi.
 
Ushaanza adithi za kuwatukuza wakoloni wako wa kiarabu.......!!!
Huyo allah mwarabu hawezi kupigana na yehova myahudi


Ametakasika Allah Mola Mlezi wa Viumbe vyote. Yeye Allah ndiye Mola wa Nuh, Mola wa Ibraahim, Mola wa Musa. Mola wa Yesu, Mola wa Muhammad (Amani ya Allah iwe juu yao Mitume wote).
 
Makamo wa raisi wa Marekani Kamala Harris ameibuka kutoa kauli kauli kuilani Israel kwa jinsi inavyoua na kutesa watu wa Gaza bila sababu za msingi.
Usimuwekee maneno ya uongo mdomoni, hajalaani Israel
Katika karipio lake ametumia neno kusitisha vita moja kwa moja badala ya maneno mengine ya mzinguka kutaka matekan na vitu vyengine vidogo vidogo visivyolingana na mateso hayo.
Acha uongo. Amesema dili ipo mezani, hamas waachie mateka wakaungane na familia zao vita isitishwe angalau kwa wiki 6.
Sikiliza kwa makini hiyo clip ya Kamala Harris uliyoweka mwenyewe.
Vice President Kamala Harris on Sunday called for an “immediate cease-fire” in Gaza, saying that Hamas should agree to the six-week pause currently on the table..
Ndiyo hivyo, pause ya wiki 6, labda kupisha mfungo wa Ramadan.
“The threat Hamas poses to the people of Israel must be eliminated,” Ms. Harris added.
Vitisho vya hamas kwa watu wa Israel lazima viondolewe - Ms Harris.

Mr. Biden has been pushing for a deal between Hamas and Israel that would allow for the release of hostages and a temporary cease-fire by Ramadan, the Muslim holy month that starts around March 10.
Unaona? Kimsingi Ms Harris anatekeleza kazi iliyoanzishwa na bosi wake, rais Biden
Ms. Harris reiterated the United States’ support for Israel’s right to defend itself against the ongoing threat from Hamas, which she said had no regard for innocent life in Israel or in Gaza.
Ms Harris kasisitiza kuwa Israel ina haki ya kujilinda dhidi ya Hamas wasiojali maisha ya watu wasio na hatia Israel na Gaza.
Ms. Harris called Hamas a “brutal terrorist organization” that poses a threat to Israel and should be eliminated.
Ms Harris ameiita Hamas "Kundi katili la kigaidi" ambalo linatishia Israel na lazima lifutwe..
Hahaha.. halafu wewe unakuja na propaganda kuwa amelaani vikali Israel, thubutu!
“Hamas claims it wants a cease-fire,” she said. “Well, there is a deal on the table.”
Hamas wamedai wanataka vita isitishwe (cease-fire), Ms Harris amesema kuna dili mezani - ndiyo ile ile ya kuachia mateka wote kwanza..
 
Critisizing who done something is the highest level of hypocrisy
Kuwa na heshima kijana, pengine wewe ni mdogo kiumri kwangu, acha matusi, hoja hujibiwa kwa hoja na sio kutukana, nikiamua kukuripoti officially nakuripoti, ila nimekustahi
 
Makamo wa raisi wa Marekani Kamala Harris ameibuka kutoa kauli kauli kuilani Israel kwa jinsi inavyoua na kutesa watu wa Gaza bila sababu za msingi.

Katika karipio lake ametumia neno kusitisha vita moja kwa moja badala ya maneno mengine ya mzinguka kutaka matekan na vitu vyengine vidogo vidogo visivyolingana na mateso hayo.

Hayo yakitokea na kuwashtua washirikaj wa Israel viongozi wa nchi za kiislamu na zinazopakana na Gaza na Palestina kwa jumla zimekaa kimya ama kutoa kauli za kujificha.

Mfano wa kauli hizo ni ile ya karibuni ya kiongozi wa Uturuki aliyoitaka jumuiya ya kimataifa kuilaani Israel juu ya mauwaji ya watu wa Gaza.

Kama ameumizwa na mateso hayo kweli angeweza kufanya zaidi ya walivyofanya wanamgambo wa Houth kuzuia maangamizi hayo.


===


Vice President Kamala Harris on Sunday called for an “immediate cease-fire” in Gaza, saying that Hamas should agree to the six-week pause currently on the table and that Israel should increase the flow of aid into the besieged enclave amid a humanitarian crisis.

Ms. Harris’s remarks, delivered in Selma, Ala., bolstered a recent push by President Joe Biden for an agreement and came a day before she was to meet with a top Israeli cabinet official involved in war planning, Benny Gantz. Her tone echoed a sharper and more urgent tone coming from the White House as its frustration with Israel grows. Last month, the president called Israel’s response to the Oct. 7 Hamas-led attack “over the top.”

Ms. Harris assailed the dire conditions in Gaza, calling the situation a “humanitarian catastrophe.” It was her most forceful assessment to date of the Middle East conflict, which has killed more than 30,000 Palestinians, according to Gazan health authorities, and put the enclave on the brink of famine.

“What we are seeing every day in Gaza is devastating,” Ms. Harris said. “We have seen reports of families eating leaves or animal feed. Women giving birth to malnourished babies with little or no medical care. And children dying from malnutrition and dehydration. As I have said many times, too many innocent Palestinians have been killed.”

“The threat Hamas poses to the people of Israel must be eliminated,” Ms. Harris added. “And given the immense scale of suffering in Gaza, there must be an immediate cease-fire, for at least the next six weeks.”

Sign up for the Israel-Hamas War Briefing. The latest news about the conflict. Get it sent to your inbox.

Mr. Biden has been pushing for a deal between Hamas and Israel that would allow for the release of hostages and a temporary cease-fire by Ramadan, the Muslim holy month that starts around March 10. U.S. officials said that Israel had “more or less accepted” terms of the deal, but Hamas has yet to agree to it.

Ms. Harris reiterated the United States’ support for Israel’s right to defend itself against the ongoing threat from Hamas, which she said had no regard for innocent life in Israel or in Gaza. Ms. Harris called Hamas a “brutal terrorist organization” that poses a threat to Israel and should be eliminated.

“Hamas claims it wants a cease-fire,” she said. “Well, there is a deal on the table.”

Ms. Harris spoke at a time when the political consequences of the Biden administration’s unwavering support for Israel are beginning to come into sharper focus. While Mr. Biden has increasingly criticized Israel’s response to the Oct. 7 attack, his rejection of calls for a permanent cease-fire and a series of earlier missteps in showing a lack of empathy for Palestinians have divided the Democratic Party. They have also alienated key constituents, including Black, young and Arab American voters.

Opponents of the war and pro-Palestinian protesters have followed Mr. Biden to events across the country to protest his support for Israel in the war. Prominent Black faith leaders have called on the administration to halt financial assistance for Israel, alleging that its military campaign amounts to “mass genocide.”

In perhaps the most glaring warning sign to date, more than 100,000 people, many of them Arab Americans, voted "Uncommitted" in Michgan's primary last week — a preview of what could unfold in other key swing states that helped elect Mr. Biden in 2020.

Ms. Harris also said on Sunday that Israel must do more to allow for the flow of aid into Gaza, including opening new border crossings, lifting unnecessary restrictions on aid deliveries and restoring services to Gaza.

“People in Gaza are starving,” Ms. Harris said. “The conditions are inhumane. And our common humanity compels us to act.”

She condemned a scene that unfolded on Thursday, when more than 100 Gazans desperate for food descended on an aid convoy and were met with what Ms. Harris called “chaos and gunfire,” after Israel opened fire on the crowd.

Israeli and Palestinian officials and witnesses have offered different accounts of the episode, with Israeli officials blaming the crush of the crowd for most of the deaths, while witnesses described extensive gunfire by Israeli forces.

“The Israeli government must do more to significantly increase the flow of aid,” Ms. Harris said. “No excuses.”

Ms. Harris’s remarks, delivered at the Edmund Pettus Bridge during a commemoration of Bloody Sunday, a major civil rights event in 1965, drew applause at points from the crowd.

On March 7, 1965, Black Americans were beaten by white law enforcement officers on the bridge for marching for their right to vote. The event was widely credited with galvanizing support for the Voting Rights Act of 1965, which passed five months later.

The New York Times
Waarabu wenyewe wanamsujudia Marekani, na unajua marekani na Ulaya serikali zao zimejaa watu kutoka wapi ? Waarabu wamesharidhika na pesa za mafuta ukitembelea nchi zao wataalamu karibia wote wanatoka nje. Kiufupi waarabu niwazaramo waliochangamka 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 .
 
Kuwa na heshima kijana, pengine wewe ni mdogo kiumri kwangu, acha matusi, hoja hujibiwa kwa hoja na sio kutukana, nikiamua kukuripoti officially nakuripoti, ila nimekustahi
😂😂😂😂Nakutoa uvundo kichwani kaka!
kwaiyo kama ww mkubwa ndo uongee utumbo
 
Makamo wa raisi wa Marekani Kamala Harris ameibuka kutoa kauli kauli kuilani Israel kwa jinsi inavyoua na kutesa watu wa Gaza bila sababu za msingi.

Katika karipio lake ametumia neno kusitisha vita moja kwa moja badala ya maneno mengine ya mzinguka kutaka matekan na vitu vyengine vidogo vidogo visivyolingana na mateso hayo.

Hayo yakitokea na kuwashtua washirikaj wa Israel viongozi wa nchi za kiislamu na zinazopakana na Gaza na Palestina kwa jumla zimekaa kimya ama kutoa kauli za kujificha.

Mfano wa kauli hizo ni ile ya karibuni ya kiongozi wa Uturuki aliyoitaka jumuiya ya kimataifa kuilaani Israel juu ya mauwaji ya watu wa Gaza.

Kama ameumizwa na mateso hayo kweli angeweza kufanya zaidi ya walivyofanya wanamgambo wa Houth kuzuia maangamizi hayo.


===


Vice President Kamala Harris on Sunday called for an “immediate cease-fire” in Gaza, saying that Hamas should agree to the six-week pause currently on the table and that Israel should increase the flow of aid into the besieged enclave amid a humanitarian crisis.

Ms. Harris’s remarks, delivered in Selma, Ala., bolstered a recent push by President Joe Biden for an agreement and came a day before she was to meet with a top Israeli cabinet official involved in war planning, Benny Gantz. Her tone echoed a sharper and more urgent tone coming from the White House as its frustration with Israel grows. Last month, the president called Israel’s response to the Oct. 7 Hamas-led attack “over the top.”

Ms. Harris assailed the dire conditions in Gaza, calling the situation a “humanitarian catastrophe.” It was her most forceful assessment to date of the Middle East conflict, which has killed more than 30,000 Palestinians, according to Gazan health authorities, and put the enclave on the brink of famine.

“What we are seeing every day in Gaza is devastating,” Ms. Harris said. “We have seen reports of families eating leaves or animal feed. Women giving birth to malnourished babies with little or no medical care. And children dying from malnutrition and dehydration. As I have said many times, too many innocent Palestinians have been killed.”

“The threat Hamas poses to the people of Israel must be eliminated,” Ms. Harris added. “And given the immense scale of suffering in Gaza, there must be an immediate cease-fire, for at least the next six weeks.”

Sign up for the Israel-Hamas War Briefing. The latest news about the conflict. Get it sent to your inbox.

Mr. Biden has been pushing for a deal between Hamas and Israel that would allow for the release of hostages and a temporary cease-fire by Ramadan, the Muslim holy month that starts around March 10. U.S. officials said that Israel had “more or less accepted” terms of the deal, but Hamas has yet to agree to it.

Ms. Harris reiterated the United States’ support for Israel’s right to defend itself against the ongoing threat from Hamas, which she said had no regard for innocent life in Israel or in Gaza. Ms. Harris called Hamas a “brutal terrorist organization” that poses a threat to Israel and should be eliminated.

“Hamas claims it wants a cease-fire,” she said. “Well, there is a deal on the table.”

Ms. Harris spoke at a time when the political consequences of the Biden administration’s unwavering support for Israel are beginning to come into sharper focus. While Mr. Biden has increasingly criticized Israel’s response to the Oct. 7 attack, his rejection of calls for a permanent cease-fire and a series of earlier missteps in showing a lack of empathy for Palestinians have divided the Democratic Party. They have also alienated key constituents, including Black, young and Arab American voters.

Opponents of the war and pro-Palestinian protesters have followed Mr. Biden to events across the country to protest his support for Israel in the war. Prominent Black faith leaders have called on the administration to halt financial assistance for Israel, alleging that its military campaign amounts to “mass genocide.”

In perhaps the most glaring warning sign to date, more than 100,000 people, many of them Arab Americans, voted "Uncommitted" in Michgan's primary last week — a preview of what could unfold in other key swing states that helped elect Mr. Biden in 2020.

Ms. Harris also said on Sunday that Israel must do more to allow for the flow of aid into Gaza, including opening new border crossings, lifting unnecessary restrictions on aid deliveries and restoring services to Gaza.

“People in Gaza are starving,” Ms. Harris said. “The conditions are inhumane. And our common humanity compels us to act.”

She condemned a scene that unfolded on Thursday, when more than 100 Gazans desperate for food descended on an aid convoy and were met with what Ms. Harris called “chaos and gunfire,” after Israel opened fire on the crowd.

Israeli and Palestinian officials and witnesses have offered different accounts of the episode, with Israeli officials blaming the crush of the crowd for most of the deaths, while witnesses described extensive gunfire by Israeli forces.

“The Israeli government must do more to significantly increase the flow of aid,” Ms. Harris said. “No excuses.”

Ms. Harris’s remarks, delivered at the Edmund Pettus Bridge during a commemoration of Bloody Sunday, a major civil rights event in 1965, drew applause at points from the crowd.

On March 7, 1965, Black Americans were beaten by white law enforcement officers on the bridge for marching for their right to vote. The event was widely credited with galvanizing support for the Voting Rights Act of 1965, which passed five months later.

The New York Times

View: https://x.com/Imamofpeace/status/1765050545897623814?s=20
 
Nani kaanzisha vita? Wao wamekaliwa kimabavu na majeshi ya Israel hutaki wajitawale? Kuna watu akili zenu sijui zikoje. Yaani Mandela kupinga ukoloni wa makaburu ni sawa, Mkwawa kupinga ukoloni wa wajerumani ni sawa ila Hamas kupinga ukoloni wa Israel eti ni uchokozi!!
Duuu nafikiri maneno haya ya wahindu yanaweza pia kutumiwa huku kwetu pia!!
Screenshot_20240306-004314.png
 
Tanzania ni Israeli na Wapalestina ni Nduli idd amin.
Kwanza Wapalestina walimsaidia Idd Amin kwenye vita vya Kagera
Yeah bila kusahau Israel ilimsaidia Kaburu na mreno kutandika weusi wakiwemo waTanzania walioenda kupigana msumbiji na Angola.

Hao wayahudi ndio wanaivuruga DRC ila unakuta muafrika naye anawaita wateule?
 
Waarabu wanafki wangeungana na kulani mauaji wazungu wangefata mkia lakini hawawezi kambi za mmarekani ziko kwenye nchi zao
 
Makamo wa raisi wa Marekani Kamala Harris ameibuka kutoa kauli kauli kuilani Israel kwa jinsi inavyoua na kutesa watu wa Gaza bila sababu za msingi.

Katika karipio lake ametumia neno kusitisha vita moja kwa moja badala ya maneno mengine ya mzinguka kutaka matekan na vitu vyengine vidogo vidogo visivyolingana na mateso hayo.

Hayo yakitokea na kuwashtua washirikaj wa Israel viongozi wa nchi za kiislamu na zinazopakana na Gaza na Palestina kwa jumla zimekaa kimya ama kutoa kauli za kujificha.

Mfano wa kauli hizo ni ile ya karibuni ya kiongozi wa Uturuki aliyoitaka jumuiya ya kimataifa kuilaani Israel juu ya mauwaji ya watu wa Gaza.

Kama ameumizwa na mateso hayo kweli angeweza kufanya zaidi ya walivyofanya wanamgambo wa Houth kuzuia maangamizi hayo.


===


Vice President Kamala Harris on Sunday called for an “immediate cease-fire” in Gaza, saying that Hamas should agree to the six-week pause currently on the table and that Israel should increase the flow of aid into the besieged enclave amid a humanitarian crisis.

Ms. Harris’s remarks, delivered in Selma, Ala., bolstered a recent push by President Joe Biden for an agreement and came a day before she was to meet with a top Israeli cabinet official involved in war planning, Benny Gantz. Her tone echoed a sharper and more urgent tone coming from the White House as its frustration with Israel grows. Last month, the president called Israel’s response to the Oct. 7 Hamas-led attack “over the top.”

Ms. Harris assailed the dire conditions in Gaza, calling the situation a “humanitarian catastrophe.” It was her most forceful assessment to date of the Middle East conflict, which has killed more than 30,000 Palestinians, according to Gazan health authorities, and put the enclave on the brink of famine.

“What we are seeing every day in Gaza is devastating,” Ms. Harris said. “We have seen reports of families eating leaves or animal feed. Women giving birth to malnourished babies with little or no medical care. And children dying from malnutrition and dehydration. As I have said many times, too many innocent Palestinians have been killed.”

“The threat Hamas poses to the people of Israel must be eliminated,” Ms. Harris added. “And given the immense scale of suffering in Gaza, there must be an immediate cease-fire, for at least the next six weeks.”

Sign up for the Israel-Hamas War Briefing. The latest news about the conflict. Get it sent to your inbox.

Mr. Biden has been pushing for a deal between Hamas and Israel that would allow for the release of hostages and a temporary cease-fire by Ramadan, the Muslim holy month that starts around March 10. U.S. officials said that Israel had “more or less accepted” terms of the deal, but Hamas has yet to agree to it.

Ms. Harris reiterated the United States’ support for Israel’s right to defend itself against the ongoing threat from Hamas, which she said had no regard for innocent life in Israel or in Gaza. Ms. Harris called Hamas a “brutal terrorist organization” that poses a threat to Israel and should be eliminated.

“Hamas claims it wants a cease-fire,” she said. “Well, there is a deal on the table.”

Ms. Harris spoke at a time when the political consequences of the Biden administration’s unwavering support for Israel are beginning to come into sharper focus. While Mr. Biden has increasingly criticized Israel’s response to the Oct. 7 attack, his rejection of calls for a permanent cease-fire and a series of earlier missteps in showing a lack of empathy for Palestinians have divided the Democratic Party. They have also alienated key constituents, including Black, young and Arab American voters.

Opponents of the war and pro-Palestinian protesters have followed Mr. Biden to events across the country to protest his support for Israel in the war. Prominent Black faith leaders have called on the administration to halt financial assistance for Israel, alleging that its military campaign amounts to “mass genocide.”

In perhaps the most glaring warning sign to date, more than 100,000 people, many of them Arab Americans, voted "Uncommitted" in Michgan's primary last week — a preview of what could unfold in other key swing states that helped elect Mr. Biden in 2020.

Ms. Harris also said on Sunday that Israel must do more to allow for the flow of aid into Gaza, including opening new border crossings, lifting unnecessary restrictions on aid deliveries and restoring services to Gaza.

“People in Gaza are starving,” Ms. Harris said. “The conditions are inhumane. And our common humanity compels us to act.”

She condemned a scene that unfolded on Thursday, when more than 100 Gazans desperate for food descended on an aid convoy and were met with what Ms. Harris called “chaos and gunfire,” after Israel opened fire on the crowd.

Israeli and Palestinian officials and witnesses have offered different accounts of the episode, with Israeli officials blaming the crush of the crowd for most of the deaths, while witnesses described extensive gunfire by Israeli forces.

“The Israeli government must do more to significantly increase the flow of aid,” Ms. Harris said. “No excuses.”

Ms. Harris’s remarks, delivered at the Edmund Pettus Bridge during a commemoration of Bloody Sunday, a major civil rights event in 1965, drew applause at points from the crowd.

On March 7, 1965, Black Americans were beaten by white law enforcement officers on the bridge for marching for their right to vote. The event was widely credited with galvanizing support for the Voting Rights Act of 1965, which passed five months later.

The New York Times
Kwanini usiwasaidie wewe si ni ndugu zako?
 
Back
Top Bottom