Kamala Harris aumizwa na mateso ya Wapalestina. Mwanamfalme wa Saudia na Jordan wapo kimya kabisa

Mnafiki huyo Bibi, aiwekee vikwazo vikali Israel kama ni kweli anachomaanisha.
 
Hivi si ni hao wapalestina ndio waliowaua kikatili watanzania sasa kwa nini na sisi tuwahurumie wanapouliwa na waisrael si afadhali na sisi tufurahi tu Israel wanapo tusaidia kulipiza kisasi.

Well done Israel and please keep it up.

Ni watanzania au wayahudi weusi?
 
Warabu ndo wanafiki,kwanini wasiungane kuishinda Israel?
 
yaan kama mataira we ni no moja?? wenye njaa wanamuda wa kupitia au wa kuchunguza??

mmekalia kuvaa kanzu roho mbaya si mlikua mnasapport hamas sasa mnashindwaje kupeleka misaada had adui yenu awaoneee huruma😂
 
yaan kama mataira we ni no moja?? wenye njaa wanamuda wa kupitia au wa kuchunguza??

mmekalia kuvaa kanzu roho mbaya si mlikua mnasapport hamas sasa mnashindwaje kupeleka misaada had adui yenu awaoneee huruma😂
Hujaona nchi za kiislamu zinawasaidia chakula na mahema! Mojawa wapi Oman, egypt n.k! Au wewe umekariri marekani tu!
 
Marekani wana uchaguzi mwezi Novemba mwaka huu.

Kwahiyo Bi Kamala Harris afanya kampeni kutafuta kura za wamarekani ambao wengi wameonyesha kumuunga mkono Donald Trump.
 
Anawasaidia kwa lipi?

Wewe unazani Palestina wanahitaji chakula?

Permanent solution ndicho wanacho hitaji Palestina ni usitishwaji wa mashambulizi ambao US hataki na yy ndiye silaha zake zinatumika kuipiga Gazza.
Hiyo permanent solution si waliikataa 1948 walichagua hii njia wanayoipitia
 

Ila Hamas kama walijua mziki wa Israel kwanini waliamua kuchokoza sasa ivi wanatafuta huruma za jamii za kimataifa
Mimi nachojua Hamas walianzisha vita October 7 na vita inaendelea kama walivyotaka. Kila kitu kimeenda sawa kulingana na mipango ya Hamas, mahandaki walijenga mda mrefu,wakakusanya silaha mda mrefu mwisho wa siku wakavamia Israel...na sasa wapo vitani kama walivyokusudia
 
Hiyo permanent solution si waliikataa 1948 walichagua hii njia wanayoipitia
Hebu niambie 1948 ilikuwaje?

Maana kama hujui Palestina kila siku inamegwa tokea 1948,hata hiyo mipaka iliyowekwa na UN haiheshimiwi ulitaka Palestina wafanyaje.
 
Hebu niambie 1948 ilikuwaje?

Maana kama hujui Palestina kila siku inamegwa tokea 1948,hata hiyo mipaka iliyowekwa na UN haiheshimiwi ulitaka Palestina wafanyaje.
Tangu mkatae lile azimio la UN Nani ataiheshimu Ile mipaka tena? Mlijifanya wababe mkaitana na waarabu wenzenu mkinukishe leo mnalialia
 
Na mtaendelea kupata kichapo mpaka mwisho wa Dunia hii.
Acha uongo, wayahudi tokea 1900 wameshachinjwa sio chini ya million 10 kwa asilimia tu wayahudi wengi wameuawa kuliko waarabu kwa ratio ya population. As much as sifurahii vifo ila waliopokea kichapo ni wayahudi.
Na kwa taarifa yako huko Europe na US mlikovamia na kuanza kuzaliana kama panya wanawawekea mkakati,
Europe ipi hiyo? Huko watu wameshaacha dini wamegeukia ushoga na atheism unadhani wana muda wa kupambana na waislam au waarabu?
 
Marekani wana uchaguzi mwezi Novemba mwaka huu.

Kwahiyo Bi Kamala Harris afanya kampeni kutafuta kura za wamarekani ambao wengi wameonyesha kumuunga mkono Donald Trump.

Trump na biden ni wale wale tu, Rais aliekua na afadhali ni Bill clinton.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…