Kamala Harris aumizwa na mateso ya Wapalestina. Mwanamfalme wa Saudia na Jordan wapo kimya kabisa

Nani alilikataa azimio,kafuatilie mipaka iliyoweka na UK 1914?,ndio hiyo iliyowekwa na UN 1948.

Why mipaka ya 1914,haiku heshimiwa ije kuheshimiwa ya 1948?
Ndo mpambane kiume Sasa mbona mnalalamika Sasa!
 
hapa naunga mkono Ulaya na marekani hawana muda na dini wala hofu ya uislamu wao wanapiga pesa tu!!

Ila wangekua waoga nadhan hamna muarabu angezaliana kwene nchi zao maana wao teknologia iko kiganjan
 
Sikulaumu kwa kuwa umeanza kufuatilia mwaka jana,ripoti ya Amnesty miaka nenda miaka rudi zina ripoti Wapalestina wanauliwa kwa Mabomu na Risasi ndio maisha yao kwa zaidi ya miaka 75.

Huyu jamaa hana hoja, yeye ni kutukana tu.
 
Tanzania ni Israeli na Wapalestina ni Nduli idd amin.
Kwanza Wapalestina walimsaidia Idd Amin kwenye vita vya Kagera
 
Sasa hiyo vita unazani kuna mshindi.....? Ndio tatizo kutizama mambo kishabiki.
Mimi sijasema Kuna mshindi Ila Kuna upande unalalamika Sana
Hapo ni kupigana kimya kimya mpaka mshindi apatikane
 
Mimi sijasema Kuna mshindi Ila Kuna upande unalalamika Sana
Hapo ni kupigana kimya kimya mpaka mshindi apatikane
Kupigana kimya kimya kupoje ?

Mimi sioni kama wanapigana kimya kimya maana mapaka sasa kwa miezi hii mitano yashatumika mabomu zaidi ya elfu ishirini na moja kwenye ardhi ya Gazza.
 
Kupigana kimya kimya kupoje ?

Mimi sioni kama wanapigana kimya kimya maana mapaka sasa kwa miezi hii mitano yashatumika mabomu zaidi ya elfu ishirini na moja kwenye ardhi ya Gazza.
Sasa hapo inabidi Hamas nao warushe mabomu Zaid ya hayo kwenye ardhi ya wayahudi Kama tel Aviv n.k. ili kupiga watoto na wanawake wa kiyahudi na siyo kulalama huku wakisubiri huruma ya kimataifa
 
Sasa hapo inabidi Hamas nao warushe mabomu Zaid ya hayo kwenye ardhi ya wayahudi Kama tel Aviv n.k. ili kupiga watoto na wanawake wa kiyahudi na siyo kulalama huku wakisubiri huruma ya kimataifa
Sasa unarudi pale nilipo kuuliza "hii vita unazani ina mshindi?"
 
Sasa hapo inabidi Hamas nao warushe mabomu Zaid ya hayo kwenye ardhi ya wayahudi Kama tel Aviv n.k. ili kupiga watoto na wanawake wa kiyahudi na siyo kulalama huku wakisubiri huruma ya kimataifa
Si walikua wanashangilia October 07
 
Ushaanza adithi za kuwatukuza wakoloni wako wa kiarabu.......!!!
Huyo allah mwarabu hawezi kupigana na yehova myahudi
 
Vp.....kuhusu wakoloni wa kiarabu waliotawala pwani yetu ya afrika mashariki kwa ukatili..,....na kuwaita wazawa wa bara WASHENZI.......???
Au ndio mwarabu hakosei wala kukosolewa
 
Anawasaidia kwa lipi?

Wewe unazani Palestina wanahitaji chakula?

Permanent solution ndicho wanacho hitaji Palestina ni usitishwaji wa mashambulizi ambao US hataki na yy ndiye silaha zake zinatumika kuipiga Gazza.
Tuambie ww waarabu wanataka nn....???
Vita eeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…