denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Nimependa sana matumizi ya maneno "jeshi letu lenye huruma".
Huwa najiuliza Lissu hata akirejea leo hivi watamfanya nini? concentration ya public itakuwa kwake, halafu wathubutu kumshambulia tena? mtu huyo huyo ashambuliwe mara mbili na wasiojulikana na wasifahamike itawezekana vipi kwenye nchi inayojinasibu ina vyombo vya ulinzi na usalama?!
Wakithubutu kufanya hivyo watazidi kujivua nguo mbele ya dunia yote, na ikiwa Pompeo kashaanza kumtaja muuwaji, na mpaka leo hajawahi kukanusha, sana sana wataanza kumfungulia Lissu kesi zao zisizo na kichwa wala miguu, but sio kumshambulia tena, ili kulinda heshima zao binafsi, za serikali yao, na za taifa, mbele ya jumuia ya kimataifa.
Kwangu kuomba ulinzi wa mwanadamu ni sawa na kumtukuza shetani, imeandikwa amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, yaishi maandiko hata ikibidi kuweka rehani uzima wako ili kumtukuza Mungu wa kweli, na mchawi siku zote mpe mwanao akulelee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa najiuliza Lissu hata akirejea leo hivi watamfanya nini? concentration ya public itakuwa kwake, halafu wathubutu kumshambulia tena? mtu huyo huyo ashambuliwe mara mbili na wasiojulikana na wasifahamike itawezekana vipi kwenye nchi inayojinasibu ina vyombo vya ulinzi na usalama?!
Wakithubutu kufanya hivyo watazidi kujivua nguo mbele ya dunia yote, na ikiwa Pompeo kashaanza kumtaja muuwaji, na mpaka leo hajawahi kukanusha, sana sana wataanza kumfungulia Lissu kesi zao zisizo na kichwa wala miguu, but sio kumshambulia tena, ili kulinda heshima zao binafsi, za serikali yao, na za taifa, mbele ya jumuia ya kimataifa.
Kwangu kuomba ulinzi wa mwanadamu ni sawa na kumtukuza shetani, imeandikwa amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, yaishi maandiko hata ikibidi kuweka rehani uzima wako ili kumtukuza Mungu wa kweli, na mchawi siku zote mpe mwanao akulelee.
Sent using Jamii Forums mobile app