ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
kizazi hiki hakuna mwenye jeuri ya kuandamana zaidi ya kutoa povu mtandaoniMambosasa yupo live ITV usiku huu akisema amewakamata Mbowe, Lema na Jacob kwa kuhamasisha maandamano.
Hii haitarudisha nyuma morali wa waandamanaji...
Tupo tunaandamana kwenye keyboardArusha Hali ya Hewa Ni shwari nimetoka Kisongo Hadi Usa River nikarudi Hadi Moshono, Chekereni Hadi Chuo Kikuu Cha Nelson Mandela kwa kutumia Baiskeli bila shida yeyote. Kila mtu anaendelea na kazi zake za kila siku.
Hana wewe ndiyo unazo unaewaza kuandamana kwaajili ya uchaguzi,ingia barabarani mzee ukajikomboeHivi Mambosasa ana akili timamu?
Kwani uongo?wako wapi sasa na hali waliyonayo libya utalinganisha na tz?acha kufuata mkumboEti vijana wavuta bangi! Imenikumbusha Gaddafi ndivyo alivyokuwa akisema wakati Libya inaanza kuanguka! Alisema ni vijana wamepewa madawa ya kulevya wafanye fujo na maandamano!
Punguza chuki kauli mbovu kama hizi sio nzuri. Kwani hata yeye hakupenda. Hujafa hujaumbika lolote linaweza kukutokea wewe au familia yako.Yule mlemavu hayupo! Nadhani kwa sababu ya kundi maalum...
Wawapeleke zoo ili wananchi tupate kuwaona.Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam ACP Lazaro Mambosasa amesema wanawashikilia watu kadhaa wakiwemo viongozi watatu wa CHADEMA.
Viongozi wa CHADEMA wanaowashikilia ni pamoja na Freeman Mbowe ambaye ni mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Godbless Lema na Boniface Jacob.
Amesema wanawashikilia viongozi hao kwa kuwa wanahatarisha usalama wa Raia na mali zao kwa kuwa Novemba 2 walipanga kuwatumia vijana kuchoma moto miundominu na vituo vya mafuta.
Aidha kwa usiku huu wanaendelea kuwatafuta watu ambao wanawashawishi vijana kushiriki maandamano ambayo Polisi wamesema ni ya Vurugu na si amani kwa kuwa wanaoshawishiwa ni vijana wavuta bangi.
Amesema hayo katika kipindi mubashara kilichorushwa na ITV.
PIA SOMA
= > Uchaguzi 2020 - Dar es Salaam: Watu watatu zaidi wakamatwa kuzuia maandamano
Maandamano ya amani ni haki ya kikatiba.Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam ACP Lazaro Mambosasa amesema wanawashikilia watu kadhaa wakiwemo viongozi watatu wa CHADEMA.
Viongozi wa CHADEMA wanaowashikilia ni pamoja na Freeman Mbowe ambaye ni mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Godbless Lema na Boniface Jacob.
Amesema wanawashikilia viongozi hao kwa kuwa wanahatarisha usalama wa Raia na mali zao kwa kuwa Novemba 2 walipanga kuwatumia vijana kuchoma moto miundominu na vituo vya mafuta.
Aidha kwa usiku huu wanaendelea kuwatafuta watu ambao wanawashawishi vijana kushiriki maandamano ambayo Polisi wamesema ni ya Vurugu na si amani kwa kuwa wanaoshawishiwa ni vijana wavuta bangi.
Amesema hayo katika kipindi mubashara kilichorushwa na ITV.
PIA SOMA
= > Uchaguzi 2020 - Dar es Salaam: Watu watatu zaidi wakamatwa kuzuia maandamano
Maandamano ya amani ni haki ya kikatiba.
Ama nakosea?
A.K.AMbowe na wenzake watashtakiwa kwa makosa ya ugaidi kwa sababu kuna mtu ametupa ushahidi kuwa walipanga kulipua vituo vya mafuta jijini Dar na kuleta maafa makubwa
Hizo ni kauli za kukataa kuwajibika. Walioibiwa kura sio wananchi , ni wagombea. Mimi kazi yangu ni kupiga kura, kumpa mgombea. Yeye ana wajibu wa kuilinda na kuhakikisha inamnufaisha kwa kuongezea na za wengine. Ni sawa na wewe kupewa pesa na mtu then ukakabwa na kuibiwa. Itakuwa si aliyekupa pesa aliyeibiwa ni wewe. Ulipwe mshahara na boss wako then uibiwe, uje useme boss kaibiwa ili akulipe tena au akakutete sababu ya uzembe wako?Polisi wame-panic. Itakula kwao. Wanaoandamana siyo Mbowe, Lema, Lissu, Zitto, Maalim, Bony wala Mazrui. Ni Kaumu ya wananchi walioibiwa kura zao. Ni hii ngoma imesukwa vizuri. Kwamba ni maandamano yasiyokuwa na kikomo.
Ni maandamano ya amani hadi kieleweke. Ki msingi, kuwaweka viongozi ndani ndio kukoleza maandamano yenye fujo. Burasa isipotumika, tusubiri yatakayofuata. Tumekwisha kusoma statements za UK, US, Canada na kwingineko.
Upo? Hongera kwa uchaguziHii ndio Taarifa mpya kwa sasa .
Taarifa zaidi zitaendelea kutiririka.
Na utakuwa mpumbavu wa kiwango cha lami kwenda kuandamana wakati ulitimiza wajibu wako.Hizo ni kauli za kukataa kuwajibika. Walioibiwa kura sio wananchi , ni wagombea. Mimi kazi yangu ni kupiga kura, kumpa mgombea. Yeye ana wajibu wa kuilinda na kuhakikisha inamnufaisha kwa kuongezea na za wengine. Ni sasa wewe kuoewa pesa na mtu then ukakabwa na kuibiwa. Itakuwa si huyo mtu aliyeibiwa ni wewe. Ulipwe mshahara na boss wako then uibiwe, uje useme boss kaibiwa ili akulipe tena au akakutete sababu ya uzembe wako?
Ya Amani na yenye kibali.Maandamano ya amani ni haki ya kikatiba.
Ama nakosea?
Sasa hivi madawa ya kulevya yashakata kichwani ...wana njaa hakuna duniani mpaka pluto!Kwani uongo?wako wapi sasa na hali waliyonayo libya utalinganisha na tz?acha kufuata mkumbo
Sasa hivi wote wako kwenye Ikulu zao na Mafesti ledi wao.. wanapambana na bajeti tuu 🙂Wajifunze kwa jirani, Uhuru aliwaachia wakaenda zao uwanjani na kina Miguna, wakajiapisha uraisi, walivyomaliza wakasambaratikia ikulu za majumbani! Kiroho safii!
Everyday is Saturday............... 😎
Kupanga kuchoma vituo ni maneno ya kutunga au tuseme ni ule mwendelezo wa kesi bambikizi.Ya Amani na yenye kibali.
Unapoanza kupanga kuchoma vituo vya mafuta ...yote hayo yanakoma
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app