Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Shetani hajawahi kumshinda Mungukumbe hii kesi ni kweli... hapa mbowe amechomekewa na haichomoi katika kesi hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani hajawahi kumshinda Mungukumbe hii kesi ni kweli... hapa mbowe amechomekewa na haichomoi katika kesi hii
mnamsingizia shetani kila uchwao kwa upumbavu wenuShetani hajawahi kumshinda Mungu
Shetani anaye tajwa hapa ni Belizebuli, yaani inzi wa kijani!mnamsingizia shetani kila uchwao kwa upumbavu wenu
Unajua kilicho nyuma ya pazia au?
Tuwaache wafanye kazi yao. Wananchi tunataka kuishi kwa amani sio kuchafuliwa amani nchini.
Mno. Mwenyezi Mungu ana namna yake ya kufanya mambo. You can't imagine kwamba now watu wanafanya mikutano kama kawa utadhani hakuna uvuli wa mauti ulipita kati ya 2016 mpaka 2021. Chama tawala bila polisi ni wepesi sana by the wayZilikuwa nyakati za uovu sana.