Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Wewe kama Mambosasa, wenyeviti wa vyama kitaifa majimbo yao ni yapi! Unataka waendeshe vyama vyao wakiwa nje ya makao makuu ya vyama! Fikiri kabla haujaandika.Waendee kwenye majimbo yao wakaone walipokosea waache kuja kutusumbua huku kama ndio tulipo wachagua