Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, tupandishie uzi wa yanayojiri huko kwenye maandamano maana wengine tupo sitimbi.Hii ndio Taarifa mpya kwa sasa .
Taarifa zaidi zitaendelea kutiririka.
Na Lissu avunjwe tena mguu mwingine akashitaki kwa bwana wake mbelgijiKamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam ACP Lazaro Mambosasa amesema wanawashikilia watu kadhaa wakiwemo viongozi watatu wa CHADEMA...
Sema unatafuta bwana akuoe.Mimi nimeshajiandaa na vijana wenzangu kama 70 hivi. Mabali na sisi Coaster kumi na mbili toka maeneo mengine ikiwemo Arusha ziko njiani muda huu.
Wajifunze kwa jirani, Uhuru aliwaachia wakaenda zao uwanjani na kina Miguna, wakajiapisha uraisi, walivyomaliza wakasambaratikia ikulu za majumbani! Kiroho safii!Hii nchi ni ya kishetani kweli, watu wamejaa uongo na uzindaki tena hawaoni hata aibu wanapoongea, lakini msipowaruhusu watu watoe hisia zao mnatengeneza ugaidi
Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam ACP Lazaro Mambosasa amesema wanawashikilia watu kadhaa wakiwemo viongozi watatu wa CHADEMA...
Fanya ugaidi tukuonesheHii nchi ni ya kishetani kweli, watu wamejaa uongo na uzindaki tena hawaoni hata aibu wanapoongea, lakini msipowaruhusu watu watoe hisia zao mnatengeneza ugaidi
Wewe Sexless unaandamana kwenye key board tu. Wala huendi road.Mimi nimeshajiandaa na vijana wenzangu kama 70 hivi. Mabali na sisi Coaster kumi na mbili toka maeneo mengine ikiwemo Arusha ziko njiani muda huu.
Hii ni taarifa nzuri sana kuwakamata wapanga vurugu ili kuepusha vurugu wapelekwe segerea wakamsalimie mdudeHii ndio Taarifa mpya kwa sasa .
Taarifa zaidi zitaendelea kutiririka.
😂😂😂 Watu 70 + coaster moja inabeba watu kuanzia 35+ so 35*12= 420 then + 70 inakuwa ni watu 490 😳😳😳😳😳Mimi nimeshajiandaa na vijana wenzangu kama 70 hivi. Mabali na sisi Coaster kumi na mbili toka maeneo mengine ikiwemo Arusha ziko njiani muda huu.
Kulikuwa na multiple voting na ballot pre-ticking za kutosha - kwa kura za Urais na ubunge pia. Fuatilia taarifa za Watazamaji wa kujitegemeaWanaumia kuukosa ubunge ,maandamano yakitokea watu wakawa wengi hasa basi ujue Magufuli hatukumchagua ila nijuavyo mimi Magufuli kapata kura nyingi sana ila kama figisu zilitokea ni ngazi ya Ubunge kama hawakumtaka wengi ndio wanaweza watu wake kuandamana ila sio kwa sababu Lissu kaibiwa hiyo ni Big No ngoja pakuche utashuhudia.