Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
SikumbukiHivi aliwahi kulaani mauaji ya mzee kibao au hata shambulizi dhidi ya Lissu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SikumbukiHivi aliwahi kulaani mauaji ya mzee kibao au hata shambulizi dhidi ya Lissu?
Natamani siku moja nimteke kamanda Muliro, kumtisha kidogo tu nione yeye ana ushujaa wa kiasi ganiWakiendelea hivi na yeye atashambuliwa
Acha raia wajilinde, kifo ni kifo tuWakuu
Kuhusu sakata la kupigwa kwa viongozi wa TRA waliodhaniwa kuwa ni watekaji, Jumanne Muliro ambaye ni Mkuu wa Polisi Dar Es Salaam amesema:
"Nakemea vikali tabia hiyo na tabia hiyo haivumiliki na wasimamizi wa sheria wataendelea kutimiza majukumu yao wahalifu wataendelea kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria"
Soma pia: Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam
View attachment 3170230
Vyombo vyovyote vya serikali hasa vyenye umabatano wa law enforcement haviaminiki kamwe labda jua lianze kutokea kusini kwenda kasikazini. The citizens have now reached a point of no return, and the worst is forthcoming.Wakuu
Kuhusu sakata la kupigwa kwa viongozi wa TRA waliodhaniwa kuwa ni watekaji, Jumanne Muliro ambaye ni Mkuu wa Polisi Dar Es Salaam amesema:
"Nakemea vikali tabia hiyo na tabia hiyo haivumiliki na wasimamizi wa sheria wataendelea kutimiza majukumu yao wahalifu wataendelea kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria"
Soma pia: Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam
View attachment 3170230
Jamaa ana BP utamuua bureNatamani siku moja nimteke kamanda Muliro, kumtisha kidogo tu nione yeye ana ushujaa wa kiasi gani
Kwani wao wanawauliza watu kama wana BP kabla ya kuwateka au kuwafukuza mbio?Jamaa ana BP utamuua bure
Wakishindwa kuteka ni serikali ilikuwa kazini, wakifanikiwa ni watu wasiojulikana! OkayWakuu
Kuhusu sakata la kupigwa kwa viongozi wa TRA waliodhaniwa kuwa ni watekaji, Jumanne Muliro ambaye ni Mkuu wa Polisi Dar Es Salaam amesema:
"Nakemea vikali tabia hiyo na tabia hiyo haivumiliki na wasimamizi wa sheria wataendelea kutimiza majukumu yao wahalifu wataendelea kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria"
Soma pia: Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam
View attachment 3170230
Endelea tu kuleta kiburi, hahahahaaa mnawatia kwenye matatizo watoto wa wenzenu"Nakemea vikali tabia hiyo na tabia hiyo haivumiliki na wasimamizi wa sheria wataendelea kutimiza majukumu yao wahalifu wataendelea kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria"
Vitendo vya utekaji amesikika sehemu yoyote akikemea?Wakuu
Kuhusu sakata la kupigwa kwa viongozi wa TRA waliodhaniwa kuwa ni watekaji, Jumanne Muliro ambaye ni Mkuu wa Polisi Dar Es Salaam amesema:
"Nakemea vikali tabia hiyo na tabia hiyo haivumiliki na wasimamizi wa sheria wataendelea kutimiza majukumu yao wahalifu wataendelea kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria"
Soma pia: Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam
View attachment 3170230
Ni huzuni.Kwa hiyo ndugu wananchi mkiona mtu kama anatekwa tulieni inawezekana ni vyombo vya usalama vipo kazini😏
Umeweza kama mimi. Kama wangeweza kuondoka na jamaa sidhani kama tungeambiwa kuwa ni maafisa wa TRA.Kuna harufu ya wasiojulikana hapa
Ni funzo zuri kuhusu Watekaji na wasiojulikana , hasa watu wasiojulikana kuchukua sura mpya kitaifaVipi kuhusu watekaji wengine? Haoni kwa hatua wananchi waliyochukua wamepoteza imani na jeshi lake?
Sawa bwàna maana sijasikia wàtekaji wakikemewa. Hongera polisi wetu.Wakuu,
Kuhusu sakata la kupigwa kwa viongozi wa TRA waliodhaniwa kuwa ni watekaji, Jumanne Muliro ambaye ni Mkuu wa Polisi Dar Es Salaam amesema:
"Nakemea vikali tabia hiyo na tabia hiyo haivumiliki na wasimamizi wa sheria wataendelea kutimiza majukumu yao wahalifu wataendelea kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria"
Soma pia: Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam
View attachment 3170230
Hawà wangeuawa tungeambiwa ukweli, maana TRA wangeshindwa kusema uongo.Umeweza kama mimi. Kama wangeweza kuondoka na jamaa sidhani kama tungeambiwa kuwa ni maafisa wa TRA.
In mizengo pinda voiceHata wewe Muliro ukiingia anga zetu wananchi bila uniforms tutakupa kipigo tu