Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu,
Kuhusu sakata la kupigwa kwa viongozi wa TRA waliodhaniwa kuwa ni watekaji, Jumanne Muliro ambaye ni Mkuu wa Polisi Dar Es Salaam amesema:
"Nakemea vikali tabia hiyo na tabia hiyo haivumiliki na wasimamizi wa sheria wataendelea kutimiza majukumu yao wahalifu wataendelea kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria"
Soma pia: Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam
View attachment 3170230
Maandazi ya Mungu yatamuhusu siku moja yeye aendelee hivyo hivyo usimchukulie poa mtu unamletea uonevu anakaa kimya siku akiamua kinuke kitanuka vibaya sanaJamaa ana BP utamuua bure
Mitandaoni wanatukanwa balaa.Kamanda amechelewa, angeanza na kukemea matukio ya utekaji tusingefika huku.
Tafuta Maandazi ya Mungu uokoe jahazi unaweza ukawa unaokoa Maisha ya mtu hapo usiwaache wamchukue kizembe tetea uhai usiache mwenzio akateswe na kuuliwa kizembe zembe hivyoKwa hiyo ndugu wananchi mkiona mtu kama anatekwa tulieni inawezekana ni vyombo vya usalama vipo kazini😏
Wachangamke kabla hawajachelewa zaidi. Wananchi wakikosa imani hali itakuwa mbaya zaidi kwa serikali kutimiza majukumu yake.Kamanda amechelewa, angeanza na kukemea matukio ya utekaji tusingefika huku.
Safii ni nyama kwa nyama now. Kata mguu ukatwe koo. Mpaka watakapojua kuwa siyo haki kuuwa watu.Tafuta Maandazi ya Mungu uokoe jahazi unaweza ukawa unaokoa Maisha ya mtu hapo usiwaache wamchukue kizembe tetea uhai usiache mwenzio akateswe na kuuliwa kizembe zembe hivyo
Jeshi la polisi na matamko ya kisiasaWakuu,
Kuhusu sakata la kupigwa kwa viongozi wa TRA waliodhaniwa kuwa ni watekaji, Jumanne Muliro ambaye ni Mkuu wa Polisi Dar Es Salaam amesema:
"Nakemea vikali tabia hiyo na tabia hiyo haivumiliki na wasimamizi wa sheria wataendelea kutimiza majukumu yao wahalifu wataendelea kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria"
Soma pia: Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam
View attachment 3170230
Kwa maana fupi watakao chukuliwa sheria ni wale pekee waliojichukulia sheria mkononi wafanyiwa uchunguzi. Lkn watekaji tusubili tume iundwe ya uchunguz kwa mzee kibao mpaka sasa hakuna majibu ila hao walio bonda gar masaa 12 hayapiti itakuwa tayarVipi kuhusu watekaji wengine? Haoni kwa hatua wananchi waliyochukua wamepoteza imani na jeshi lake
Watekaji wengine hawatakiwi wajulikaneSawa bwàna maana sijasikia wàtekaji wakikemewa. Hongera polisi wetu.
Hali imekuwa mbaya sana. Mzee Kikwete umenipata bila shaka.Shida sasa hivi hatuaminiani, huwezi kujua nani adui yako, nani ni askari nani siyo
Au mpaka apigwe mawe?IGP alipaswa aondoke mapemaaa
Mzee nani umesema?Hali imekuwa mbaya sana. Mzee Kikwete umenipata bila shaka.
Ndio tunakoelekea huko, nchi itakuwa na magenge ya wahalifu wenye silaha nzito kama Mexico, ColombiaMnaipeleka nchi kuwa kama Mexico
Ova