Kamanda Muliro akemea kushambuliwa kwa watumishi wa TRA waliodhaniwa kuwa watekaji

Kamanda Muliro akemea kushambuliwa kwa watumishi wa TRA waliodhaniwa kuwa watekaji

Wakuu,

Kuhusu sakata la kupigwa kwa viongozi wa TRA waliodhaniwa kuwa ni watekaji, Jumanne Muliro ambaye ni Mkuu wa Polisi Dar Es Salaam amesema:

"Nakemea vikali tabia hiyo na tabia hiyo haivumiliki na wasimamizi wa sheria wataendelea kutimiza majukumu yao wahalifu wataendelea kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria"

Soma pia:
Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam

View attachment 3170230
🤣🤣🤣 Huyu si akagombee Ubunge viti maalumu JESHI LA POLISI??🤔🤔
 
Ndio tunakoelekea huko, nchi itakuwa na magenge ya wahalifu wenye silaha nzito kama Mexico, Colombia
Au Tunaelekea kwenye Mapinduzi ya kijeshi (Coup d'etat) au vita ya mwenyewe kwa wenyewe (civil war) kama DRC Congo, Sudan
Tayari magege yapo
Lipo la Uvccm linalo milikiwa na SSH 2025 linavitendea kazi kuanzia pikipiki maV8 na helikopta zinakuja

Nchi haipo salama kabisa kwa mtindio huu
 
Wakuu,

Kuhusu sakata la kupigwa kwa viongozi wa TRA waliodhaniwa kuwa ni watekaji, Jumanne Muliro ambaye ni Mkuu wa Polisi Dar Es Salaam amesema:

"Nakemea vikali tabia hiyo na tabia hiyo haivumiliki na wasimamizi wa sheria wataendelea kutimiza majukumu yao wahalifu wataendelea kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria"

Soma pia:
Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam

View attachment 3170230
Wenye Sheria ni polisi au wananchi?
 
Muhimu wapigwe wauwawe hata 20 hivi wajue uchungu wa wanafamilia waliotekwa kama Soka.
 
Umeweza kama mimi. Kama wangeweza kuondoka na jamaa sidhani kama tungeambiwa kuwa ni maafisa wa TRA.
Wangefanikiwa kumteka wangewakana, vijana wa UVCCM ungeona comments zao humu kwamba jamaa labda kadhulumu mali za watu au ametembea na mke wa mtu hivyo ni revenge za kitaa zisizohusiana na vyombo vya dola.
 
Ndio tunakoelekea huko, nchi itakuwa na magenge ya wahalifu wenye silaha nzito kama Mexico, Colombia
Au Tunaelekea kwenye Mapinduzi ya kijeshi (Coup d'etat) au vita ya mwenyewe kwa wenyewe (civil war) kama DRC Congo, Sudan
Maana Mexico tunaona sahv kuna magenge yana polisi wao
Wanavamia watu wao vitu vya polisi kuwatoa,majaji wanasheria wanauliwa yaani ubabe ubabe
Na yote hayo system ndy imetengeneza kufanya iwepo

Ova
 
Back
Top Bottom