Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
🤣Pengine wananchi Burundi wameamua kujilinda wenyewe....😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣Pengine wananchi Burundi wameamua kujilinda wenyewe....😊
Kikwete raisi wangu mstaafu.Mzee nani umesema?
Ndio yuko wapi hapo? Yupo humu tunapiga nae story?Kikwete raisi wangu mstaafu.
🤣🤣🤣 Huyu si akagombee Ubunge viti maalumu JESHI LA POLISI??🤔🤔Wakuu,
Kuhusu sakata la kupigwa kwa viongozi wa TRA waliodhaniwa kuwa ni watekaji, Jumanne Muliro ambaye ni Mkuu wa Polisi Dar Es Salaam amesema:
"Nakemea vikali tabia hiyo na tabia hiyo haivumiliki na wasimamizi wa sheria wataendelea kutimiza majukumu yao wahalifu wataendelea kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria"
Soma pia: Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam
View attachment 3170230
Umesema viti maalum au nimekosea kuona?🤣🤣🤣 Huyu si akagombee Ubunge viti maalumu JESHI LA POLISI??🤔🤔
Tayari magege yapoNdio tunakoelekea huko, nchi itakuwa na magenge ya wahalifu wenye silaha nzito kama Mexico, Colombia
Au Tunaelekea kwenye Mapinduzi ya kijeshi (Coup d'etat) au vita ya mwenyewe kwa wenyewe (civil war) kama DRC Congo, Sudan
Heheheheheeeeee! Kiongozi gani awe mkubwa au mdogo asiyepitia humu JF.Ndio yuko wapi hapo? Yupo humu tunapiga nae story?
Anaf*rwa.Wakuu,
Kuhusu sakata la kupigwa kwa viongozi wa TRA waliodhaniwa kuwa ni watekaji, Jumanne Muliro ambaye ni Mkuu wa Polisi Dar Es Salaam amesema:
"Nakemea vikali tabia hiyo na tabia hiyo haivumiliki na wasimamizi wa sheria wataendelea kutimiza majukumu yao wahalifu wataendelea kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria"
Soma pia: Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam
View attachment 3170230
Wapigwe tu, tumechoka!Hata wewe Muliro ukiingia anga zetu wananchi bila uniforms tutakupa kipigo tu
Wenye Sheria ni polisi au wananchi?Wakuu,
Kuhusu sakata la kupigwa kwa viongozi wa TRA waliodhaniwa kuwa ni watekaji, Jumanne Muliro ambaye ni Mkuu wa Polisi Dar Es Salaam amesema:
"Nakemea vikali tabia hiyo na tabia hiyo haivumiliki na wasimamizi wa sheria wataendelea kutimiza majukumu yao wahalifu wataendelea kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria"
Soma pia: Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam
View attachment 3170230
Exactly 💯Kuna harufu ya wasiojulikana hapa
Kwa hio hapo umeniita Mimi?Heheheheheeeeee! Kiongozi gani awe mkubwa au mdogo asiyepitia humu JF.
Aaaaaaaaaaaa! Kumbe ndo wewe? Mkuu heshima kwako.Kwa hio hapo umeniita Mimi?
Marhaba kijana wangu eeh unasemaje?Aaaaaaaaaaaa! Kumbe ndo wewe? Mkuu heshima kwako.
Maajabu na kweli, hapo ndiyo ujue kuwa watekaji ni watu wa serikali in collaboration with UVCCM.Wakishindwa kuteka ni serikali ilikuwa kazini, wakifanikiwa ni watu wasiojulikana! Okay
Duuh nani huyu kasema' hivyo huko back bencha?Anaf*rwa.
Wangefanikiwa kumteka wangewakana, vijana wa UVCCM ungeona comments zao humu kwamba jamaa labda kadhulumu mali za watu au ametembea na mke wa mtu hivyo ni revenge za kitaa zisizohusiana na vyombo vya dola.Umeweza kama mimi. Kama wangeweza kuondoka na jamaa sidhani kama tungeambiwa kuwa ni maafisa wa TRA.
Maana Mexico tunaona sahv kuna magenge yana polisi waoNdio tunakoelekea huko, nchi itakuwa na magenge ya wahalifu wenye silaha nzito kama Mexico, Colombia
Au Tunaelekea kwenye Mapinduzi ya kijeshi (Coup d'etat) au vita ya mwenyewe kwa wenyewe (civil war) kama DRC Congo, Sudan