Kamanda Muliro akemea kushambuliwa kwa watumishi wa TRA waliodhaniwa kuwa watekaji

Nahisi hawa wanaopiga watendaji wa serikali wakitekeleza majukumu ni wale walienda Burundi na sasa wamerejea nchini
 
Kamanda amechelewa, angeanza na kukemea matukio ya utekaji tusingefika huku.
Wachangamke kabla hawajachelewa zaidi. Wananchi wakikosa imani hali itakuwa mbaya zaidi kwa serikali kutimiza majukumu yake.

Nchi inatawalika kisheria kunapokuwa na usimamizi wa hizo sheria. Vyombo vyavusimamizi vikishindwa kusimamia, na wananchi wakajua vomeshindwa wanajisimamia wenyewe.

Kulikuwa na haja gani kukimbizana na mtu mtaani wakati wana namba za usajili wa gari? Si wangeenda tu kumpigia simu kupitia taarifa zake
 
Hajawai kukemea watekaji Wala kulaani hayo matukio. Na akemei sababu hayawagusi wao. Sasa wananchi wameona iwe nyama kwa nyama inawagusa wanakemea Sasa. Na hii ni bado ipo siku mtaenda sehemu ya matukio kubeba mizoga yenu ndiyo mtaelewa kuwa dhambi mlizozipanda wenyewe Sasa ni wakati wa mavuno. Kamanda akumbuke ikifikia hivi hata Mungu amewachoka kwa damu mnazozimwaga.
 
Jeshi la polisi na matamko ya kisiasa
 
Vipi kuhusu watekaji wengine? Haoni kwa hatua wananchi waliyochukua wamepoteza imani na jeshi lake
Kwa maana fupi watakao chukuliwa sheria ni wale pekee waliojichukulia sheria mkononi wafanyiwa uchunguzi. Lkn watekaji tusubili tume iundwe ya uchunguz kwa mzee kibao mpaka sasa hakuna majibu ila hao walio bonda gar masaa 12 hayapiti itakuwa tayar
 
Mnaipeleka nchi kuwa kama Mexico

Ova
Ndio tunakoelekea huko, nchi itakuwa na magenge ya wahalifu wenye silaha nzito kama Mexico, Colombia
Au Tunaelekea kwenye Mapinduzi ya kijeshi (Coup d'etat) au vita ya mwenyewe kwa wenyewe (civil war) kama DRC Congo, Sudan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…