Kamanda Muliro akemea kushambuliwa kwa watumishi wa TRA waliodhaniwa kuwa watekaji

Huyu mjinga hajakemea kuuawa kwa mzee Kibao anakuja kukemea kushambuliwa kwa vikosi vyao vya utekaji.

Wajipange vizuri maana wananchi hawana imani na vikosi vya ndani vya serikali. Ugaidi dhidi ya raia umezidi sana hasa hawa akina Muliro wanashiriki siasa za kulinda wahalifu ndani ya dola.

Mafwere must face charges
 
UYu maku kweli mbna akemei watu wanao uwawa nq kutekwa
 
Ndio tunakoelekea huko, nchi itakuwa na magenge ya wahalifu wenye silaha nzito kama Mexico, Colombia
Au Tunaelekea kwenye Mapinduzi ya kijeshi (Coup d'etat) au vita ya mwenyewe kwa wenyewe (civil war) kama DRC Congo, Sudan
Sababu itatokana na tunao wapa dhamana kuahirisha kufikiri kizalendo a.k.a kujizima data
 
...Hoping for the best but expecting the worst
Are you gonna drop the bomb or not?...
Forever young~Jay z ft. Mr Hudson

Hii hali mbaya sana kwa ustawi wa Taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…