Kamanda Muliro please trade carefully na wananchi. Polisi waishi ndani ya Katiba, Sheria na PGO imani irudi

Kamanda Muliro please trade carefully na wananchi. Polisi waishi ndani ya Katiba, Sheria na PGO imani irudi

Kamanda Muliro nafahamu unasoma hapa jukwaani.
View attachment 3172450

Inawezekana mmejiundia ama kujijengea kasumba kwamba wanasiasa wanafurahia kazi yenu ya kutumia nguvu bila mizania. Mmekuwa mkiwakandamiza na kuwadharau sana wananchi wanapoonewa na askari wa chini yenu.

Mmejipa majukumu ya kisiasa kinyume na Katiba. Mnatoa matamko bila mizania ya matokeo yake.

Mimi kama raia ninatoa ushauri kwenu kwamba, makachero mliowamwaga mitaani kuwasaka wakosoaji na wapinzani wanaochipukia hawawezi kufagia wote. Wanachokipata sasa ni kukosa ushirikiano na hiyo kupelekea taarifa nyingi kupikwa ili malkia aendelee kuamini kuwa mna uwezo wa KUWAZIMA wananchi wanaolilia haki zao.

Tamko ulilolitoa ni budi ikalirejea kwa uzingativu wa alignment kwa Katiba, Sheria na kanuni rasmi. Afisa ama mtumishi wa umma anayekiuka utaratibu anapotekeleza majukumu yake anakuwa ametenda makosa ambayo yanagharimu Haki, Utu na kuichafua serikali.

Askari anapomvamia na kumkwapua raia anayetuhumiwa bila kuzingatia taratibu za ukamataji salama ni wazi anatenda kosa. Wananchi wengi wametekwa haujaleta majibu ya uchunguzi. Ametekwa Ali Kibao kwa mitutu mizito mchana kweupe na kwenda kuuawa mpaka leo hakuna ripoti ya uchunguzi wala waliokamatwa.

Hivyo unavyowatishia wananchi ili waendelee kuwa kondoo wanapotekwa nyara na vyombo vya dola ni wazi kwamba mmeshakolea na kujiamini kwamba matendo ya kigaidi wanayofanyiwa raia ni sawa tu.

Mkuu Muliro, tumia ulimi na ufahamu wako kwa tija na siyo kututishia kwani chuki dhidi yenu imeshaenea vya kutosha. Asiwepo wa kuwasha utambi
Huyu jamaa ni very unprofessional na anaonekana ni mtu wa shari na mwenye hasira wakati wote...

Hana public speaking skills, mwongo mwongo wa wazi kabisa na hana haya usoni anapokuwa anadanganya...

Yeye hata anapoongea na wananchi wa kawaida anadhani yupo na polisi wake...

Actually hana busara wala hekima.....

Ni wazi amelewa madaraka na rushwa lakini hajui kuwa anaandaa mauti yake mwenyewe na ya watoto wake...
 
Mimi bado sielewi umuhimu wa hili wimbi jipya la utendaji kazi ya kipolisi. Hivi kuna sababu zipi hasa za polisi kufanya kazi nje ya taratibu zilizopo? Kwa nini pawepo na umuhimu wa kundi la kuteka watu? Hili mimi bado sijalielewa vizuri?
Genge la kuteka na kuua watu limeshaizidi Nguvu serikali.

Maana iko kimya kama hakuna kitu kinatokea.
 
Yani muliro anataka ukiwa unatekwa huku unaenda kutobolewa macho na kumwagiwa tindi kali wewe uende kizeeeeembeee mpooooleeee kama kondoo.
 
Katika jeshi lililopo Mambo ya Ndani lililoimarika ni hawa jamaa wa magereza.

Polisi hawajui tu
Katika vyombo vya ulinzi tanzania vya hovyo sana ni iesho la polisi wakifuatiwa na TISS hawa watu wanajiona wako juu ya sheria zote za nchi hii kisa tu kuwafurahisha wanasiasa
 
Kamanda Muliro nafahamu unasoma hapa jukwaani.
View attachment 3172450

Inawezekana mmejiundia ama kujijengea kasumba kwamba wanasiasa wanafurahia kazi yenu ya kutumia nguvu bila mizania. Mmekuwa mkiwakandamiza na kuwadharau sana wananchi wanapoonewa na askari wa chini yenu.

Mmejipa majukumu ya kisiasa kinyume na Katiba. Mnatoa matamko bila mizania ya matokeo yake.

Mimi kama raia ninatoa ushauri kwenu kwamba, makachero mliowamwaga mitaani kuwasaka wakosoaji na wapinzani wanaochipukia hawawezi kufagia wote. Wanachokipata sasa ni kukosa ushirikiano na hiyo kupelekea taarifa nyingi kupikwa ili malkia aendelee kuamini kuwa mna uwezo wa KUWAZIMA wananchi wanaolilia haki zao.

Tamko ulilolitoa ni budi ikalirejea kwa uzingativu wa alignment kwa Katiba, Sheria na kanuni rasmi. Afisa ama mtumishi wa umma anayekiuka utaratibu anapotekeleza majukumu yake anakuwa ametenda makosa ambayo yanagharimu Haki, Utu na kuichafua serikali.

Askari anapomvamia na kumkwapua raia anayetuhumiwa bila kuzingatia taratibu za ukamataji salama ni wazi anatenda kosa. Wananchi wengi wametekwa haujaleta majibu ya uchunguzi. Ametekwa Ali Kibao kwa mitutu mizito mchana kweupe na kwenda kuuawa mpaka leo hakuna ripoti ya uchunguzi wala waliokamatwa.

Hivyo unavyowatishia wananchi ili waendelee kuwa kondoo wanapotekwa nyara na vyombo vya dola ni wazi kwamba mmeshakolea na kujiamini kwamba matendo ya kigaidi wanayofanyiwa raia ni sawa tu.

Mkuu Muliro, tumia ulimi na ufahamu wako kwa tija na siyo kututishia kwani chuki dhidi yenu imeshaenea vya kutosha. Asiwepo wa kuwasha utambi
Huyu akitekewa mtot ama mke ndiyo ataona umuhimu wa kusimamia kama makamanda ambao mamlaka zimewaamini wakala viapo ili kutekeleza majukumu yao.

Wasidhani uhuni unashindwa kufanyika, tusifikie askari wakawaficha ndugu zao, ama wanasiasa nao wakaishi mafichoni na ndugu zao.

Hizi tabia mbaya zikikomaa mtu anaweza fanya uhalifu wa kujitoa muhanga akateketeza hata familia na mkamkata akili kosa. Sijui kama itakuwa imeleta nafuu.

Tukemee uharifu wa namna yeyote ile unaofanywa na mtu yeyeto yule.
 
Genge la kuteka na kuua watu limeshaizidi Nguvu serikali.

Maana iko kimya kama hakuna kitu kinatokea.
Hao hao serikali wana dhani kuwatia uoga wananchi itawasaidia akina Samia kubaki madarakani! Hawajui kinyume chake ndilo jibu.
 
Kuna kauli Mama inabidi azifute kwanza. Tuanze upya.
Kiburi cha madaraka kinawasumbua sana. Sijajua ni lini jeshi litafanya kazi kitaaamu bila kufuata matakwa ya wanasiasa. Ila wanakotupeleka sio kabisa. Wanatujengea usugu
 
Mungu atulinde
Mkuu 'Bush', naomba nikuulize swali, pengine unayo maoni juu yake, na ni sehemu ya mjadala huu unao endelea hapa.

Unadhani kumwondoa Masauni pale wizarani ni dalili za huyu mama kuanza kutambua kuwa mbinu walizo dhani zitafanya kazi sasa zinaonyesha zinatibua?
Huyo Bashungwa ataweza kupeleka mabadiliko yoyote, ili kuondokana na haya yaliyo zuka siku hizi?

Kwa kifupi: Kuna mategemeo ya mabadiliko kwa uteuzi na utenguzi huu ulio fanyika kwenye wizara hiyo?
 
Mkuu 'Bush', naomba nikuulize swali, pengine unayo maoni juu yake, na ni sehemu ya mjadala huu unao endelea hapa.

Unadhani kumwondoa Masauni pale wizarani ni dalili za huyu mama kuanza kutambua kuwa mbinu walizo dhani zitafanya kazi sasa zinaonyesha zinatibua?
Huyo Bashungwa ataweza kupeleka mabadiliko yoyote, ili kuondokana na haya yaliyo zuka siku hizi?

Kwa kifupi: Kuna mategemeo ya mabadiliko kwa uteuzi na utenguzi huu ulio fanyika kwenye wizara hiyo?
Bashungwa kapelekwa pale ili abebeshwe lawama zote zitokanazo na Masauni
 
Kamanda Muliro nafahamu unasoma hapa jukwaani.
View attachment 3172450

Inawezekana mmejiundia ama kujijengea kasumba kwamba wanasiasa wanafurahia kazi yenu ya kutumia nguvu bila mizania. Mmekuwa mkiwakandamiza na kuwadharau sana wananchi wanapoonewa na askari wa chini yenu.

Mmejipa majukumu ya kisiasa kinyume na Katiba. Mnatoa matamko bila mizania ya matokeo yake.

Mimi kama raia ninatoa ushauri kwenu kwamba, makachero mliowamwaga mitaani kuwasaka wakosoaji na wapinzani wanaochipukia hawawezi kufagia wote. Wanachokipata sasa ni kukosa ushirikiano na hiyo kupelekea taarifa nyingi kupikwa ili malkia aendelee kuamini kuwa mna uwezo wa KUWAZIMA wananchi wanaolilia haki zao.

Tamko ulilolitoa ni budi ikalirejea kwa uzingativu wa alignment kwa Katiba, Sheria na kanuni rasmi. Afisa ama mtumishi wa umma anayekiuka utaratibu anapotekeleza majukumu yake anakuwa ametenda makosa ambayo yanagharimu Haki, Utu na kuichafua serikali.

Askari anapomvamia na kumkwapua raia anayetuhumiwa bila kuzingatia taratibu za ukamataji salama ni wazi anatenda kosa. Wananchi wengi wametekwa haujaleta majibu ya uchunguzi. Ametekwa Ali Kibao kwa mitutu mizito mchana kweupe na kwenda kuuawa mpaka leo hakuna ripoti ya uchunguzi wala waliokamatwa.

Hivyo unavyowatishia wananchi ili waendelee kuwa kondoo wanapotekwa nyara na vyombo vya dola ni wazi kwamba mmeshakolea na kujiamini kwamba matendo ya kigaidi wanayofanyiwa raia ni sawa tu.

Mkuu Muliro, tumia ulimi na ufahamu wako kwa tija na siyo kututishia kwani chuki dhidi yenu imeshaenea vya kutosha. Asiwepo wa kuwasha utambi
Huyo muuaji mwenye IQ ndogo anatutisha? Mtekaji na mjinga mkubwa asiye na aibu, alituambia eti Sativa aliokolewa na polisi? Kuteka ndiyo kuokoa. Hawa polisi inaonekana bado hawataki kujifunza. Wao ni kupiga watu wasio na makosa, hata kama wana makosa kwanini wasiwakamate kistaarabu? wanavunja watu mbavu, miguu na nchi hii haina matibabu ya maana, wanazidi kuongeza vilema katika nchi yetu. HIvi ninyi polisi au Polisiccm ni wazuri kwa kitu gani?
 
Huyo muuaji mwenye IQ ndogo anatutisha? Mtekaji na mjinga mkubwa asiye na aibu, alituambia eti Sativa aliokolewa na polisi? Kuteka ndiyo kuokoa. Hawa polisi inaonekana bado hawataki kujifunza. Wao ni kupiga watu wasio na makosa, hata kama wana makosa kwanini wasiwakamate kistaarabu? wanavunja watu mbavu, miguu na nchi hii haina matibabu ya maana, wanazidi kuongeza vilema katika nchi yetu. HIvi ninyi polisi au Polisiccm ni wazuri kwa kitu gani?
Hahaha SYRIA leo wameanza sherehe za UHURU, nasi tutafika tu siku moja.
 
Simba akisha muonja binadamu, hawezi kumla swala tena.
 
Back
Top Bottom