Hamna mtu anaemjua huyo shoga mwenzako.Siri Robert Amsterdam anaeaangalia kwa karibu , mkataba wake na Lisu pamoja na Kurudi nyumbani salama bila bughudha Ni pamoja na haki zake Kama mgombea, kutangazwa mshindi,
Soon barua za kuwakumbusha haki za mgombea zitatumwa kwenu.
Jaribio lolote la kuiba kura litawagharimu pakubwa, msije sema sijawaambia
Kuna sheria inayowakataza?Raia Wanaweza kufanya tukio lisilozulika, hawatakiwi kulinda kura.
Raia Wanaweza kufanya tukio lisilozulika, hawatakiwi kulinda kura.
Raia Wanaweza kufanya tukio lisilozulika, hawatakiwi kulinda kura.
Tupe utaratibu unaoruhusu vyama kulinda kura.
Polisi ni sehemu ya wagombea watalinda vipi kura ?Tokea katika mkutano ulioshirikisha wadau wengine wa uchaguzi Dar, kamanda Sirro amenukuliwa akisema vyama kulinda kura ni kosa la jinai.
Kwa mujibu wa kamanda huyu kazi ya kulinda kura ni kazi ya polisi peke yao.
Kwa nini kamanda Sirro haoni umuhimu wa wenye mali yaani yenye kura zao kujiridhisha kuwa ziko salama?
Kwa nini kamanda Sirro haoni kuwa vitimbi vya polisi dhidi ya vyama vya upinzani vinawafanya kutoaminika?
Rejea vitimbi vya polisi wa Mbeya dhidi ya Sugu. Rejea matamshi ya bashiri kuhusiana na matumizi ya vyombo vya dola ili kubakia madarakani.
Kamanda Sirro kwanini haoni umuhimu wa utaratibu wa wazi kwa vyama kujiridhisha kuhusiana usalama wa kura, ni kigezo muhimu kuonyesha kuwa haki imetendendeka kwa mustakabala mzuri wa amani yetu sote?
Ni kweli kuwa kamanda Sirro anategemea kwa dhati kabisa kuwa polisi wake katika mazingira haya watatenda haki?
View attachment 1542661
View attachment 1542685
Dkt. Bashiru: Aliye na dola ndiye ananufaika nayo kubaki madarakani, hata CHADEMA ikiingia madarakani ikaondolewa kwenye dola ni uzembe wao
Nawasilisha.
Sidhani kama wanahitaji imani ya upinzani huu koko.
Maradaka ya kulevya yanasababisha binadamu kujitoa ufahamuTokea katika mkutano ulioshirikisha wadau wengine wa uchaguzi Dar, kamanda Sirro amenukuliwa akisema vyama kulinda kura ni kosa la jinai.
Kwa mujibu wa kamanda huyu kazi ya kulinda kura ni kazi ya polisi peke yao.
Kwa nini kamanda Sirro haoni umuhimu wa wenye mali yaani yenye kura zao kujiridhisha kuwa ziko salama?
Kwa nini kamanda Sirro haoni kuwa vitimbi vya polisi dhidi ya vyama vya upinzani vinawafanya kutoaminika?
Rejea vitimbi vya polisi wa Mbeya dhidi ya Sugu. Rejea matamshi ya bashiri kuhusiana na matumizi ya vyombo vya dola ili kubakia madarakani.
Kamanda Sirro kwanini haoni umuhimu wa utaratibu wa wazi kwa vyama kujiridhisha kuhusiana usalama wa kura, ni kigezo muhimu kuonyesha kuwa haki imetendendeka kwa mustakabala mzuri wa amani yetu sote?
Ni kweli kuwa kamanda Sirro anategemea kwa dhati kabisa kuwa polisi wake katika mazingira haya watatenda haki?
View attachment 1542661
View attachment 1542685
Dkt. Bashiru: Aliye na dola ndiye ananufaika nayo kubaki madarakani, hata CHADEMA ikiingia madarakani ikaondolewa kwenye dola ni uzembe wao
Nawasilisha.
Raia wanalinda kwa technologyMbona hujaenda kulinda bank?
Utakuwa mwanachama pendwa wa LGBTI...umejuaje Amsterdam shoga?Hamna mtu anaemjua huyo shoga mwenzako.
Unazungumzia utaratibu wenye lengo gani? Utaratibu unaolenga kuiba kura? Sasa wenye utaratibu unaolenga kuzuia wizi wa kura si wanapaswa kuwa na utaratibu wao pia? Kwa nini wazuiwe?Unaishi sehemu gani isiyo kuwa na utaratibu?? Kama uwakilishi usingekuwa na umuhimu basi hata bunge lisingekuwa na maana kwani tungeenda watanzania wote dodoma ili kutunga na kupitisha sheria.
Unadhani watanzania wote tukienda kulinda kura humo ndani kura zinapohesabiwa kutatosha.
Kuwa mpinzani sio tiketi ya kujitoa ufahamu
tukio la ujambazi likitokea Sirro na wenzake wanasema wananchi washiriki kusaidia polisi ila kwenye kura anazuga anatukataa tusitoe ushirikiano.Jukumu la kuzuia jinai ni kazi ya kila raia.
Kuiba kura ni kosa la jinai.
Sirro ashirikiane na Wananchi kulinda jinai isitokee katika uchaguzi
Zikiwemo pia za Mh.Magufuli,tunalinda zote ili matokeo halali tu yatangazwe,pasije kutokea wasimamizi wakalinda mishahara na magari waliyopewa kwa kumtangaza asiyeshinda.Mwambie Sirro aache kujidhalilisha. Kama vile ambavyo hakuna sheria inayosema polisi ndio watalinda kura basi mwaka huu wananchi tutalinda kura zetu zote.
Na hii ndo hoja kuu kwa mwaka huu. Wananchi tutalinda kura zetu!!! Full stop
sisi ni polisi jamii tutashirikiana na polisi kulinda kura full stop.