TANZIA Kamanda wa Polisi ACP Jonathan Shana afariki Dunia

Huu ndio mwisho wa bin-Adam yeyote. Ndivyo ilivyoandikwa. Tuwe wema kwa binadamu wenzetu wakati bado tunapumua. Tutende haki ili tuwe wenye haki mbele ya Muumba wetu. Poleni wafiwa!
 
Hivi huyu sio ndo yule aliyesema
If A=B and B=C
Then A=C?

Km ni yy ni habari njema sn Mungu anamakusidi nae hasa kipindi hiki
 
Yote maisha...mtu huwezi kuwa sahihi kila jambo,na huwezi kumfurahisha kila mtu.yesu mwenyewe hakupendwa na watu wote.hata aliposulubiwa msalabani wapo waliofurahi.that' s life,wote tutakufa tu muda ukifika.R.I.P
 
Kweli duniani tunapita,
We are not here forever!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…