Absolutely!Arusha!? Dots connected successfully?? Just fumbling....
Funguka wacha kutetemeka, verified ID inakufanya uwe bubu!.Arusha!? Dots connected successfully?? Just fumbling....
Msitarajie RPC afungue code zaidi ya hapo. Kama hamjaelewa na bakini hivyohivyo.Ameongeza "Mgonjwa ameongea Mwenyewe japo kwa shida amesema alikamatwa na Watu Juni 23 Mbezi kwa Msuguri, kisha akapelekwa Mkoani Arusha katika sehemu ambayo haijui na baadaye kuletwa Katavi ambapo alipigwa na kitu chenye ncha kali ambacho anasema kilitokea mdomoni kisha Wakamtupa kwenye msitu huo na kutoweka
Ukaingiziwa kitu chenye ncha kali kitokee mdomoni................acha ligi ianze tuBora tuendelee kubishana juu ya Simba na Yanga, huko kwingine muda wowote parapanda inaweza lia juu yetu.
Hapo kuna kitu sio bure hata hivyo watu wanaroho mbaya sana aisee.
📌📌Hivi 7ya na aliyevamia MAWINGU STUDIO WOTE WAKO ARUSHA au wako MBEZI?
Mm mwenyewe sijamuelewa huyu Kamanda unaweza Kuta Wana mkono wao hapo ndio maana anajiuma uma.Kilichotokea mdomoni ni nini? Risasi ama
Sasa wanazunguka nini
Kweli police hawajui tofauti?
Huwa wakati mwingine wanapenda tutunge ili wapate sababu za kupinga
Hiyo ni lugha ya picha.. huitaji kuwa na F ya sayansi kuelewa hiyo kauli..Arusha!? Dots connected successfully?? Just fumbling....
Bashite ndiye bosi wa kundi la wasiojulikana hivyo walienda Arusha kumuonyeha kuwa kazi uliyotutuma hii hapa naye akatoa maelekezo wamuue kisha wakamtupe katavi aliwe na wanyama kupoteza ushahidi.Eti alipelekwa wapi kwanza?Arusha kulekule kwa Mkuu wa mkoa wetu yule.
Sasa usichoelewa nini mkuu wakati unaambiwa walipotoka Dar kituo cha kwanza Arusha. Kwani wewe mutoto mudogo?Mm mwenyewe sijamuelewa huyu Kamanda unaweza Kuta Wana mkono wao hapo ndio maana anajiuma uma.
Kumbe...Makonda anahusika hapa, sababu ya kupelekwa Arusha ni ipi Kamanda wa Polisi ahojiwe vizuri japo ni vigumu.