Kamanda wa Polisi Katavi: Edgar Mwakabela (Sativa255) anasema alichukuliwa Dar hadi Arusha na kisha kutupwa Katavi

Bashite ndiye bosi wa kundi la wasiojulikana hivyo walienda Arusha kumuonyeha kuwa kazi uliyotutuma hii hapa naye akatoa maelekezo wamuue kisha wakamtupe katavi aliwe na wanyama kupoteza ushahidi.
Hapana naamini ni Mr DJ huyo wa Chadema ndio mtuhumiwa wa ugaidi
Yule mtu ni mafia sana
 
Hivi Wanasiasa wana roho na mioyo ya kawaida kweli! Yaani kirahisi tu unafikia hatua ya kujeruhi au kuyaondoa kabisa maisha ya binadamu mwenzako, kisa tu hutaki kukosolewa!!
 
Huko X wakosoaji wengi wako hatarini, humu kwenyewe watu wawe makini hamko safe km mnavyofikiria.
 
i
Hicho kitu chenye ncha kali kilichotokea mdomoni,kiliingilia eneo gani la mwili wake mpaka kikatokea mdomoni?
itakuwa risasi, cha kushukuru Mungu si ukute risasi haijagusa hata mfupa wala mshipa, Mungu mkubwa. hata kama mtu amekukosoa vibaya na kwa uwongo, ndio ufanye hivi jamani? ubinadamu upo wapi? hii dunia juu mbinguni huko kuna mbabe wa kila mtu, God is watching, msijiona wababe sana, yupo Mungu mbinguni.
 
Huko X wakosoaji wengi wako hatarini, humu kwenyewe watu wawe makini hamko safe km mnavyofikiria.
Tangu Mello ateuliwe kwenye kamati ya ulinzi wa nn sijui hakuna tena uhakika wa uhuru humu.
 
Aulizwe mwenyekiti wa uvccm kagera Faris Buruhan.
 
"Chezea ndevu usichezee dola "

Alisema nani huu ushauri?

Huu ni upumbavu, unakwenda kumteka, kumuumiza mtu mdogo kama huyu ambaye hana madhara yoyote zaidi ya kubwabwaja Tu mitandaoni.

Haya ni matumizi mabaya ya Dola.
 
Kutekateka watu eti kwasababu wanakosoa huo ni ushamba tu na uoga.

Wanaofanya hayo matukio na wanaowatuma wajue tu wamelaaniwa wao na uzao wao, madhara wanaweza wasiyaone kwao lakini watoto wao wanaowapenda na kuwasomesha kwa gharama na vipato vinavyotokana na huo ujinga wao watakuja kuishi maisha magumu ajabu pamoja na Mali wanazowaachia.
 
Huu ni upumbavu, unakwenda kumteka, kumuumiza mtu mdogo kama huyu ambaye hana madhara yoyote zaidi ya kubwabwaja Tu mitandaoni.

Haya ni matumizi mabaya ya Dola.
Sativa alikuwa anatukana utadhani hakuzaliwa na mwanamke
 
Alaa kumbe mambo yaliyasisiwa na Mwendazake bado tunayaenzi.

Haya mambo yanatufanya tuonekane uncivilized nation.

Kama ana makosa sheria & mahakama zipo wazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…