Gentleman,Tungekuelewa kama ungesema yeyote atakaye kiuka sheria za nchi ambaye siyo mwana ccm. Usiongee jumla jumla ili kujidai unaipenda Tanzania kuliko wote hapa.
Kuna sheria ngapi zinavunjwa huko serikalini na ccm na hakuna sheria zinazochukuliwa?
Ulishawahi kuona kiongozibtoka ccm anakamatwa na polisi hovyo?
Rage alionesha bastola kwenye kampeni huko TABORA alikamatwa?
Unajua maana ya kutii sheria bila shuruti wewe? Ulishwahi ona msafara wa IGP Unavyovunja sheria za barabarani wakati akitoka bar au kurudi kwake mbweni???Gentleman,
huna haja ya kubabaika wala kua na mawenge.
Tii sheria bila shuruti, vinginevyo takabiliwa ipasavyo bila mbambamba yoyote 🐒
kiuka sheria yoyote ya nchi, Lazima ndugu zako watakuja kukuchukulia korokoroni.Unajua maana ya kutii sheria bila shuruti wewe? Ulishwahi ona msafara wa IGP Unavyovunja sheria za barabarani wakati akitoka bar au kurudi kwake mbweni???
Hakuna namna ccm inaweza kushindana tena na cdm kwa njia halali, na sababu hasa ccm sio chama cha kizazi hiki. Na iwapo ccm itakubali kushindana na cdm kwa njia halali, hapo ndio itakuwa mwisho wa ccm.Bila shaka wote ni wazima, ccm inazidi kukipaisha CHAMA cha chadema ,wakizani kuwa kwa kuwakamata viongozi wao na wanachama wa chadema kila mara ni kukizofisha CHAMA hicho,kumbe wanakipiga teke CHAMA hicho na kukiongezea safari.
Chadema inazidi kuwaingia mioyoni watu mbalilmbali ndani na nje ya nchi. Wanakifanya watu waendelee kukifatilia na kukijua zaidi hatimae kuvutiwa nacho.
Ccm wanafanya kosa la kiufundi sana kisiasa, kama CHAMA dola kuruhusu viombo vya dola kuendelea kuwakamata viongozi wa juu . kisaikolojia unapokataza watu wasifanye kitu ndivyo wataendelea kukifanya zaidi, hivyo mwakani kwa kutumia jicho la tatu chadema kitakuwa na nguvu zaidi kulinganisha na nyuma huko.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Hakika njia wanayoitumia sio shahihi kabisa,Hakuna namna ccm inaweza kushindana tena na cdm kwa njia halali, na sababu hasa ccm sio chama cha kizazi hiki. Na iwapo ccm itakubali kushindana na cdm kwa njia halali, hapo ndio itakuwa mwisho wa ccm.
Ccm ni chama kilicho madarakani pasipo ridhaa ya wananchi ndio maana kinategemea wizi, ujambazi ,utekaji na uuaji kuendelea kubaki madarakani. Ila mwisho wao hauko mbali.Bila shaka wote ni wazima, ccm inazidi kukipaisha CHAMA cha chadema ,wakizani kuwa kwa kuwakamata viongozi wao na wanachama wa chadema kila mara ni kukizofisha CHAMA hicho,kumbe wanakipiga teke CHAMA hicho na kukiongezea safari.
Chadema inazidi kuwaingia mioyoni watu mbalilmbali ndani na nje ya nchi. Wanakifanya watu waendelee kukifatilia na kukijua zaidi hatimae kuvutiwa nacho.
Ccm wanafanya kosa la kiufundi sana kisiasa, kama CHAMA dola kuruhusu viombo vya dola kuendelea kuwakamata viongozi wa juu . kisaikolojia unapokataza watu wasifanye kitu ndivyo wataendelea kukifanya zaidi, hivyo mwakani kwa kutumia jicho la tatu chadema kitakuwa na nguvu zaidi kulinganisha na nyuma huko.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Mimi najiliuza , polisi yao, yao, jeshi lao, sasa kwann wanaogopa chademaCcm ni chama kilicho madarakani pasipo ridhaa ya wananchi ndio maana kinategemea wizi, ujambazi ,utekaji na uuaji kuendelea kubaki madarakani. Ila mwisho wao hauko mbali.
Kwa sababu hakuna la maana wanalolifanya madarakani zaidi ya wizi na ubadhilifu mkubwa wa fedha za umma. Shenzi hawa.Mimi najiliuza , polisi yao, yao, jeshi lao, sasa kwann wanaogopa chadema
Hakika CCM na wanaccm wengi kwa ujumla vinatumika kama kondomu ya bei rahisi kuzinufaisha kijamii na kiuchumi familia chache sana hapa nchini.Kuna kundi la watu ndani ya ccm ndio wanaohalibu nchi yetu pendwa, na ccm inawakumbatia
Na hili kundi ni dogo sana, siku tukifanikiwa kusambatisha kundi hilo ndo utakuwa mwisho wa ccm majizi, mafisadi, ccm walarushwa, ccm wezi, hawana kabisa uzalendo kwa taifa laoHakika CCM na wanaccm wengi kwa ujumla vinatumika kama kondomu ya bei rahisi kuzinufaisha kijamii na kiuchumi familia chache sana hapa nchini.
💯💯Na hili kundi ni dogo sana, siku tukifanikiwa kusambatisha kundi hilo ndo utakuwa mwisho wa ccm majizi, mafisadi, ccm walarushwa, ccm wezi, hawana kabisa uzalendo kwa taifa lao