Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, Kwahiyo MUNGU akisikia maombi yako si itabidi Makamu wa rais aanze kujiandaa?.Bibi Samia hana lolote,tulijua anaweza kuhimili kumbe ni wale wale kama Jiwe tu.Sasa itabidi tumloge tu.Jamani kuloga kwa kutumia maombi .Kwa Mungu hakuna lisilowezekana. Eeh Mungu tuondolee huu uchafu unaoitwa Samia.
Ongeza na Martin Maranja MaseseHabari tulizozipata ni kwamba makamu mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu atakamatwa na watu wa usalama,muda wowote kuanzia sasa.
Tayari Mdude nyangali , Mwambukusi na Dr Slaa washakatwa.
CCM wameridhia Lissu, Mdude, Mwambukusi,na Dr Slaa wapewe kesi za Uhaini.
Updates tutakuletea punde
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
HaaaaaaaNani anaemchokoza huyu Mzanzibari ?Watu wanatetea Bandari .Yeye hana hoja na anakimbilia Polisi ili kunyamazisha watu.Hana Msuli huyu mama.Tena bora hata Jiwe yeye alishasema kabisa alivyo.Ila Samia ni mnafiki. Anakuchea huku anakuua .Huyu ni Cheka nikuue.
Mama Abdul[emoji16][emoji16]Mama Abdul anaelekea kubaya sasa!
Sasa tutasahauje suala la Bandari kwa staili hii? Au ndiyo mnamsukumiza kabisa shimoni kwa utovu wa siasa kwa makusudi ili wajumbe wasipate taabu kufanya ya kwao?CCM wameridhia Lissu, Mdude, Mwambukusi,na Dr Slaa wapewe kesi za Uhaini.
Nani atatupa updates za kesi kama MMM atakamatwaOn
Ongeza na Martin Maranja Masese
stupid, unaudhi sasa, maisha ya watu yako at stake wewe unaleta ujinga!Acha urongo
Huu sio mchezo, watu wanataka bandari alizopewa mwarabu milele zirudi wewe unaita mchezo?!Ngoja tuone, haka kamchezo mwisho wake.
Kabla hujaropoka kuhusu Rais na mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi kumbuka yeye ndo huteua wafuatao;Bibi Samia hana lolote,tulijua anaweza kuhimili kumbe ni wale wale kama Jiwe tu.Sasa itabidi tumloge tu.Jamani kuloga kwa kutumia maombi .Kwa Mungu hakuna lisilowezekana. Eeh Mungu tuondolee huu uchafu unaoitwa Samia.
Yes,walau yeye atatuondolea kina Nape .Na yeye akileta za kuleta ,tunamlilia Mungu tena. Kwanza ombi langu ni hawa CCM wapoteane kabisa. Nchi hii ni yetu sote.Kwa nini ukamate watu wanaohoji kuhusu uuzaji wa Bandari?Tena hapa inadhihirisha kuwa Bandari yetu inachukuliwa kabisa,otherwise Samia asingetumia police wake hao wenye division four form four. Somo walilofaulu ni D ya kiswahili na D ya Civics.Duh, Kwahiyo MUNGU akisikia maombi yako si itabidi Makamu wa rais aanze kujiandaa?.
MUNGU ibariki Tanganyika na Zanzibar tuwe na amani.
Usiwe Mjinga Wewestupid, unaudhi sasa
Amini kwambaIt won't end well for SSH regime.
KUMBE ILIKUWA NI KOSA KUFUNGUA KESI?Mpaka sasa tuichukulie hii kama tetesi , lakini Taarifa zilizovuja ni kwamba , Baada ya Dr Slaa kukamatwa , wengine wanaotakiwa kukamatwa kama ilivyoagizwa kutoka Juu , Yumo Tundu Lissu , Askofu Mwamakula , Alphonce Lusako aliyefungua kesi ya Mkataba mbovu wa Bandari , pamoja na mawakili wake , Orodha yaweza kuongezeka na tutaendelea kuiboresha kwa kadri tunavyoletewa majina mengine .
Tuendelee kutega sikio hapa Jf kila kitu kitaanikwa hadharani
Hakuna haja ya kuiombea Nchi hii bali tuendelee kumsifu Mungu tu
You are stupid, mambo mengine humu tunataniana lkn siyo kwenye jambo nyeti kama hili. Wewe kaa huko uliko, ujue lkn magufuli hakujua kama kuna kufa/atakufa, weka akiba! Kila mmoja anafaamika kwa jina halisi!Usiwe Mjinga Wewe
Hizi siyo Nyakati za kuzusha taharuki kwa Wanafamilia kwa jambo usilo na Ushahidi
Zembwela kakimbilia Mlingotini kujificha hakujua Hili jambo ni kubwa kumzidi
So???Kabla hujaropoka kuhusu Rais na mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi kumbuka yeye ndo huteua wafuatao;
1. IGP
2. CDF
3. Kamishna wa Takukuru
4. Mkuu wa usalama wa taifa
5. DPP
6. Mkuu wa magereza
7. Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi
8. Mkurugenzi wa uchaaguzi
Sina kawaida ya kuatack watu kwenye maisha yangu, hasa lakini Daaah! Bro unakeraAcha urongo