Kamata Kamata ya Wakosoaji wa Suala la Bandari: Nani anafuata kukamatwa?

Kamata Kamata ya Wakosoaji wa Suala la Bandari: Nani anafuata kukamatwa?

Habari tulizozipata ni kwamba makamu mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu atakamatwa na watu wa usalama,muda wowote kuanzia sasa.

Tayari Mdude nyangali , Mwambukusi na Dr Slaa washakatwa.

CCM wameridhia Lissu, Mdude, Mwambukusi,na Dr Slaa wapewe kesi za Uhaini.


Updates tutakuletea punde

Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Kumepambazuka!
 
Habari tulizozipata ni kwamba makamu mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu atakamatwa na watu wa usalama,muda wowote kuanzia sasa.

Tayari Mdude nyangali , Mwambukusi na Dr Slaa washakatwa.

CCM wameridhia Lissu, Mdude, Mwambukusi,na Dr Slaa wapewe kesi za Uhaini.


Updates tutakuletea punde

Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
red alarm anguko la ccm
 
Askofu Mwamakula akamatwe tu ili ajue kutofautisha uongozi wa dini na siasa. Amekuwa mstari wa mbele kwenye siasa kuliko kanisa. Kila siku anapost upotoshaji
Liberation theology at work and that’s what helped Latin America
 
Nani anaemchokoza huyu Mzanzibari ?Watu wanatetea Bandari .Yeye hana hoja na anakimbilia Polisi ili kunyamazisha watu.Hana Msuli huyu mama.Tena bora hata Jiwe yeye alishasema kabisa alivyo.Ila Samia ni mnafiki. Anakuchea huku anakuua .Huyu ni Cheka nikuue.
Heehee!!!
Tumefika patamuu....
😂😂😂
 
Habari tulizozipata ni kwamba makamu mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu atakamatwa na watu wa usalama,muda wowote kuanzia sasa.

Tayari Mdude nyangali , Mwambukusi na Dr Slaa washakatwa.

CCM wameridhia Lissu, Mdude, Mwambukusi,na Dr Slaa wapewe kesi za Uhaini.


Updates tutakuletea punde

Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Na wewe umeambiwa kama nani? Au ni uhasama wa taifa ?
 
Habari tulizozipata ni kwamba makamu mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu atakamatwa na watu wa usalama,muda wowote kuanzia sasa.

Tayari Mdude nyangali , Mwambukusi na Dr Slaa washakatwa.

CCM wameridhia Lissu, Mdude, Mwambukusi,na Dr Slaa wapewe kesi za Uhaini.


Updates tutakuletea punde

Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Hv DP World wamewapa nn cccm mpka wanangangania ?
 
Samia, ni suala la muda tu, huyu ni hatari kuliko mtawala yeyote tuliyewahi kuwa naye maana anadanganywa sana na waarabu kuwa watamlinda hata awafanyie ubaya gani Wananchi. Huyu anaweza kufanya maovu na kusababisha mauaji makubwa nchini.

Tuvute muda, tutashuhudia uovu mwingi wa ajabu.
Yaani hakuna kitu kiliniuma kama kuhamisha wale wamasai kutoka kule Ngorongoro, ili Mwarabu apewe vitalu vya uwindaji na sijui hao warabu wanatajenga hôtel huko.Too sad.
 
Mpaka sasa tuichukulie hii kama tetesi , lakini Taarifa zilizovuja ni kwamba , Baada ya Dr Slaa kukamatwa , wengine wanaotakiwa kukamatwa kama ilivyoagizwa kutoka Juu , Yumo Tundu Lissu , Askofu Mwamakula , Alphonce Lusako aliyefungua kesi ya Mkataba mbovu wa Bandari , pamoja na mawakili wake , Orodha yaweza kuongezeka na tutaendelea kuiboresha kwa kadri tunavyoletewa majina mengine .

Tuendelee kutega sikio hapa Jf kila kitu kitaanikwa hadharani

Hakuna haja ya kuiombea Nchi hii bali tuendelee kumsifu Mungu tu
Nimesikia kwenye klabu house dada mmoja yuko Marekani kasema Watanzania walioko nje za nchi waende kuandamana kwenye ubalozi wa UAE na Tanzania duniani kote kupinga kukamatwa kwa hawa watu.Hili ni jambo zuri kutafuta haki na amani Tanzania.
 
Mpaka sasa tuichukulie hii kama tetesi , lakini Taarifa zilizovuja ni kwamba , Baada ya Dr Slaa kukamatwa , wengine wanaotakiwa kukamatwa kama ilivyoagizwa kutoka Juu , Yumo Tundu Lissu , Askofu Mwamakula , Alphonce Lusako aliyefungua kesi ya Mkataba mbovu wa Bandari , pamoja na mawakili wake , Orodha yaweza kuongezeka na tutaendelea kuiboresha kwa kadri tunavyoletewa majina mengine .

Tuendelee kutega sikio hapa Jf kila kitu kitaanikwa hadharani

Hakuna haja ya kuiombea Nchi hii bali tuendelee kumsifu Mungu tu
Huyu mama nchi imeshamshinda anakimbilia kufanya ukatili.
 
Mpaka sasa tuichukulie hii kama tetesi , lakini Taarifa zilizovuja ni kwamba , Baada ya Dr Slaa kukamatwa , wengine wanaotakiwa kukamatwa kama ilivyoagizwa kutoka Juu , Yumo Tundu Lissu , Askofu Mwamakula , Alphonce Lusako aliyefungua kesi ya Mkataba mbovu wa Bandari , pamoja na mawakili wake , Orodha yaweza kuongezeka na tutaendelea kuiboresha kwa kadri tunavyoletewa majina mengine .

Tuendelee kutega sikio hapa Jf kila kitu kitaanikwa hadharani

Hakuna haja ya kuiombea Nchi hii bali tuendelee kumsifu Mungu tu
Hakuna haja ya kuiombea Nchi hii bali tuendelee kumsifu Mungu tu[emoji848][emoji2827]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hawa ni waoga sana.Hivi Mshana Dawa zako haziwezi kuwapoteza CCM, wapoteane?
Unajua kuna mda watu huwa wanachoka hasa wenye ushawishi mkubwa baadae wanaona hawana chakupoteza angalia burundi, kenya 2007, ethiopia, wataona inayo itwa amani ipo mdomoni mwa viongozi huku wengine wanakamatwa kwa matakwa ya mtu
 
Back
Top Bottom