bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Huyo mama amefanya ukatili gani?Huyu mama nchi imeshamshinda anakimbilia kufanya ukatili.
Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mama amefanya ukatili gani?Huyu mama nchi imeshamshinda anakimbilia kufanya ukatili.
Mama anaupiga mwingiJana wamekamatwa Mdude Nyagali na Mwabukusi.
Leo kuna tetesi kukamatwa kwa Dr. Slaa tena akiwa nyumbani kwake.
Naanza kupata wasiwasi wakosoaji wengi wa suala la bandari watawekwa kolokoloni. Je nani anafuata kukamatwa?
Lakini pia hili sio la kwanza kufanyika hata Hayati Magufuli alifanya ubaya wake mwishoni tunajua karma ilivyochukua nafasi.
The Failure of the GiantBibi Samia hana lolote,tulijua anaweza kuhimili kumbe ni wale wale kama Jiwe tu.Sasa itabidi tumloge tu.Jamani kuloga kwa kutumia maombi .Kwa Mungu hakuna lisilowezekana. Eeh Mungu tuondolee huu uchafu unaoitwa Samia.
YezebeliDikteta Samia
HuelewiSasa ubalozi wa UAE kivipi? Watu wamekamatwa na serikali ya Tanzania kama maandamano wayafanyie huko huko kwenye balozi za Tanzania
Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
Kuloga sidhani kama kupo, tujitoe mhanga kufa kama SAKilicho baki ni kumroga yeye na watu wake wote
Jimamahili karma yuko njiani anakuja, tuzidi kuombaJana wamekamatwa Mdude Nyagali na Mwabukusi.
Leo kuna tetesi kukamatwa kwa Dr. Slaa tena akiwa nyumbani kwake.
Naanza kupata wasiwasi wakosoaji wengi wa suala la bandari watawekwa kolokoloni. Je nani anafuata kukamatwa?
Lakini pia hili sio la kwanza kufanyika hata Hayati Magufuli alifanya ubaya wake mwishoni tunajua karma ilivyochukua nafasi.
Wewe ni mpumbavu daraja la ngapi?, unapenda kila uonapo ubaya wowote ni lazima utoe mfano kwa jpm,au jpm alishawahi kukupumulia?.Jana wamekamatwa Mdude Nyagali na Mwabukusi.
Leo kuna tetesi kukamatwa kwa Dr. Slaa tena akiwa nyumbani kwake.
Naanza kupata wasiwasi wakosoaji wengi wa suala la bandari watawekwa kolokoloni. Je nani anafuata kukamatwa?
Lakini pia hili sio la kwanza kufanyika hata Hayati Magufuli alifanya ubaya wake mwishoni tunajua karma ilivyochukua nafasi.
Wacha uongo, Hakuna Mwarabu aliyewahi kuwa Ngorongoro.Yaani hakuna kitu kiliniuma kama kuhamisha wale wamasai kutoka kule Ngorongoro, ili Mwarabu apewe vitalu vya uwindaji na sijui hao warabu wanatajenga hôtel huko.Too sad.
Ushaingiza udini,Ngorongoro kishapewa mwarabu ile sehemu.Wacha uongo, Hakuna Mwarabu aliyewahi kuwa Ngorongoro.
Waarabu walikuwa Loliondo na hakuna aliyehamishwa Loliondo. Kampuni ya Otelo ilikuwa na kitalu cha uwindaji kwa kufata kanuni na sheria za Tnzania kama kampuni nyingine zote zenye vialu vya kuwindia.
Wewe ckwaninii huulizi Mmarekeni analiyepewa mamilioni ya eka za ardhi ya Tanzania, kwa sheria na kanuni zipi? Au kwa kuwa siyo Waislam ndiyo huwezi kuuliza lakini Muislam hata anapofata sheria zote inakuwa kafanya kosa kivyako wewe?
Msifikiri kwa uchochezi wenu huo wa kijinga mnaijenga Tanzania.
Kwa namna serikali inavyofanya sasa hata mpumbavu anaelewa pasi na shaka kuwa; RUSHWA kubwa kabisa ilitumika na inaendelea kutumia kupitisha mkataba huu.Jana wamekamatwa Mdude Nyagali na Mwabukusi.
Leo kuna tetesi kukamatwa kwa Dr. Slaa tena akiwa nyumbani kwake.
Naanza kupata wasiwasi wakosoaji wengi wa suala la bandari watawekwa kolokoloni. Je nani anafuata kukamatwa?
Lakini pia hili sio la kwanza kufanyika hata Hayati Magufuli alifanya ubaya wake mwishoni tunajua karma ilivyochukua nafasi.
Wacha uongo. Ngorngoro hakupewa yeyeote.Ushaingiza udini,Ngorongoro kishapewa mwarabu ile sehemu.
Serikali inavyofanya nini "sasa"?Kwa namna serikali inavyofanya sasa hata mpumbavu anaelewa pasi na shaka kuwa; RUSHWA kubwa kabisa ilitumika na inaendelea kutumia kupitisha mkataba huu.
Umevuka mpaka wa kutoa maoni,watch out.Bibi Samia hana lolote,tulijua anaweza kuhimili kumbe ni wale wale kama Jiwe tu.Sasa itabidi tumloge tu.Jamani kuloga kwa kutumia maombi .Kwa Mungu hakuna lisilowezekana. Eeh Mungu tuondolee huu uchafu unaoitwa Samia.