Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Chawa Kitenge tu V8 , unadhani hawa wengine wamelipwa nini ?Hv DP World wamewapa nn cccm mpka wanangangania ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa Kitenge tu V8 , unadhani hawa wengine wamelipwa nini ?Hv DP World wamewapa nn cccm mpka wanangangania ?
Tutajenga kesho - Tancut Almasi Orchestra
Leo kigagula kafurahi wanamapinduzi kukamatwa, yuko moto kweli kweli na nadhani leo atatafuta mkwajuLeo Bibi upo moto kwelikweli 😂😂😂😂😂😂😂😂. Au zile tetesi kuwa wewe ndio fake id ya bitozo ni kweli au uongo? Au wewe ni shoga yake bitozo? Au basi nisikusumbue Bibi.
Au bitozo ana id nyingine anayotumia kuzururia humu jf?
Wacha weee !!Unafata ww uliyeandika hii thread
Mama Abdul anaelekea kubaya sasa!
Huyu Bibi huwa hata kama kitu ni kosa kubwa tena la wazi. Ila likifanywa na Muislamu yeye anaona ni sahihi 😂😂😂. Huyu Bibi namuwekaga kwenye kundi la wazee wa Hovyo 🤣🤣 kama akina wasira 🤣🤣🤣Leo kigagula kafurahi wanamapinduzi kukamatwa, yuko moto kweli kweli na nadhani leo atatafuta mkwaju
Mna bahati sana ingekua ni mimi ningewapoteza kabisa sipendi watu wajinga mimi.Bibi Samia hana lolote,tulijua anaweza kuhimili kumbe ni wale wale kama Jiwe tu.Sasa itabidi tumloge tu.Jamani kuloga kwa kutumia maombi .Kwa Mungu hakuna lisilowezekana. Eeh Mungu tuondolee huu uchafu unaoitwa Samia.
Lakini pia hili sio la kwanza kufanyika hata Hayati Magufuli alifanya ubaya wake mwishoni tunajua karma ilivyochukua nafasi.[emoji419][emoji375]Jana wamekamatwa Mdude Nyagali na Mwabukusi.
Leo kuna tetesi kukamatwa kwa Dr. Slaa tena akiwa nyumbani kwake.
Naanza kupata wasiwasi wakosoaji wengi wa suala la bandari watawekwa kolokoloni. Je nani anafuata kukamatwa?
Lakini pia hili sio la kwanza kufanyika hata Hayati Magufuli alifanya ubaya wake mwishoni tunajua karma ilivyochukua nafasi.
Wewe mbona hujiweki kwenye orodha unawasakizia wenzako tu? .Hahaha ila nakukubali we chadema mjanja hutaki matatizo na serikali.Mpaka sasa tuichukulie hii kama tetesi , lakini Taarifa zilizovuja ni kwamba , Baada ya Dr Slaa kukamatwa , wengine wanaotakiwa kukamatwa kama ilivyoagizwa kutoka Juu , Yumo Tundu Lissu , Askofu Mwamakula , Alphonce Lusako aliyefungua kesi ya Mkataba mbovu wa Bandari , pamoja na mawakili wake , Orodha yaweza kuongezeka na tutaendelea kuiboresha kwa kadri tunavyoletewa majina mengine .
Tuendelee kutega sikio hapa Jf kila kitu kitaanikwa hadharani
Hakuna haja ya kuiombea Nchi hii bali tuendelee kumsifu Mungu tu
Hata hiyo katiba unayoifikiria kichwani mwako ingekuwepo leo hii, kwa hali ilivyo sasasa hiyo katiba isingekuwa na maana yoyote.Katiba Kwa Sasa ni muhimu! Hata Hilo li mwenge linatufanya tuwe kama kondoo ujue!!!! Tulikatae haiwezekani watu wachache walazimishe kufanya jambo lililokataliwa na wenye nchi halafu watu hatuchukui hatua za kikatiba kukataa huu unyanyasaji.
Hii ndiyo sura halisi ya wahafidhina waliopo ndani ya CCM. Wakiona kuna dalili za kutaka kupoteza umiliki wa dola wako tayari kufanya jambo lolote lile la kidhalimu.Jana wamekamatwa Mdude Nyagali na Mwabukusi.
Leo kuna tetesi kukamatwa kwa Dr. Slaa tena akiwa nyumbani kwake.
Naanza kupata wasiwasi wakosoaji wengi wa suala la bandari watawekwa kolokoloni. Je nani anafuata kukamatwa?
Lakini pia hili sio la kwanza kufanyika hata Hayati Magufuli alifanya ubaya wake mwishoni tunajua karma ilivyochukua nafasi.
Mna bahati sana ingekua ni mimi ningewapoteza kabisa sipendi watu wajinga mimi.
Mna bahati sana ingekua ni mimi ningewapoteza kabisa sipendi watu wajinga mimi.
Abdul ndiye kijana wa Samia na anatrend sana kutokana na kuwa mmiliki wa makampuni kadhaa.Mmeshampa jina lingine?
Mama Abdul?!
Sio Mama Wanuu?
Ukiona hivyo jua mtawala elimu yake ya kuungaunga,hawezi jibu hojaJana wamekamatwa Mdude Nyagali na Mwabukusi.
Leo kuna tetesi kukamatwa kwa Dr. Slaa tena akiwa nyumbani kwake.
Naanza kupata wasiwasi wakosoaji wengi wa suala la bandari watawekwa kolokoloni. Je nani anafuata kukamatwa?
Lakini pia hili sio la kwanza kufanyika hata Hayati Magufuli alifanya ubaya wake mwishoni tunajua karma ilivyochukua nafasi.
Ushindwe na Ulegee katika Jina la Yesu Bwana na Mwokozi!
Sasa ubalozi wa UAE kivipi? Watu wamekamatwa na serikali ya Tanzania kama maandamano wayafanyie huko huko kwenye balozi za TanzaniaNimesikia kwenye klabu house dada mmoja yuko Marekani kasema Watanzania walioko nje za nchi waende kuandamana kwenye ubalozi wa UAE na Tanzania duniani kote kupinga kukamatwa kwa hawa watu.Hili ni jambo zuri kutafuta haki na amani Tanzania.