Utafiti unapingwa kwa utafiti, ni vyema uwepo utafiti mbadala ili kupinga sio maneno tu.Nchi nzima inajua kwamba ile report ni ya mchongo na kufanyana wajinga, kwa mwendo huu sasa samaki wa ziwa victoria ni hatari kuwala maana cows washasingiziwa na mabeberu yako huru kumwaga sumu zao mtoni maana profesa keshatoa majibu ya utafiti wake na tume yake isiyoeleweka
Pamoja na mapungufu ya the late Jpm kwenye hili uhakika ni kwamba angesimama na raia
hujui huo mto unachangia maji ziwa victoria?Ripoti inahusu mto mara sio ziwa Victoria.
nakuhakikishia kwenye hili angesimama na walaji samaki na afya za wana mara na huyo Jaffo angekuwa keshatimuliwa zamani
utafiiti kwamba kinyesi cha cows kinaua samaki? jamani mbona tunalazimisha kufanyana wajinga? haya maprofesa ya nchi hii nayo sifuri kabisaUtafiti unapingwa kwa utafiti, ni vyema uwepo utafiti mbadala ili kupinga sio maneno tu.
Kwani samaki wanaosemekana kufa ni wa ziwa Victoria?hujui huo mto unachangia maji ziwa victoria?
sijawahi kuwa shabiki wake report ya mchongo ya kipindi kile ilikuwa kulazimisha mabeberu yatoe hela ndefu ila ya safari hii ni kutoa green lights ya wana mara kuendelea kuugua cancer na wala samaki wa mto mara na ziwa victoria..asingekaa kimya huku mabeberu yakimwaga sumu mtoniUngeweza kuweka utetezi wako bila kutaka kutuonyesha Magufuli alikuwa bora kwa hivyo. Ripoti ya uongo ya Ossoro ilikuwa chini yake, na hawa wameiga kupika ripoti.
Wapinge kwa utafiti Sasa.utafiiti kwamba kinyesi cha cows kinaua samaki? jamani mbona tunalazimisha kufanyana wajinga? haya maprofesa ya nchi hii nayo sifuri kabisa
Nenda ocean road utajiuliza kwa nini wagonjwa wengi wa cancer ni wa kanda ya ziwaKwani samaki wanaosemekana kufa ni wa ziwa Victoria?
Hili linahitaji utafiti pia.Nenda ocean road utajiuliza kwa nini wagonjwa wengi wa cancer ni wa kanda ya ziwa
Mto mara unamwaga maji yake ziwa victoria.Ripoti inahusu mto mara sio ziwa Victoria.
Lakini samaki wanaosemekana kufa ni wa mto Mara sio ziwa Victoria.Mto mara unamwaga maji yake ziwa victoria.
Don't be myopic.
Nilidhani una akili timamu kumbe nakosea.Lakini samaki wanaosemekana kufa ni wa mto Mara sio ziwa Victoria.
sijawahi kuwa shabiki wake report ya mchongo ya kipindi kile ilikuwa kulazimisha mabeberu yatoe hela ndefu ila ya safari hii ni kutoa green lights ya wana mara kuendelea kuugua cancer na wala samaki wa mto mara na ziwa victoria..asingekaa kimya huku mabeberu yakimwaga sumu mtoni
Akili ni nywele kila mtu anazo zake mkuu.Nilidhani una akili timamu kumbe nakosea.
Dr Joseph Musukuma Yeye ni mfugaji Ana maoni gani kuhusu majibu ya hii Kamati?Musoma. Kamati maalum ya kitaifa iliyoundwa na serikali kuchunguza mabadiliko ya maji ndani ya mto Mara, imetoa taarifa ya chanzo cha mabadiliko katika mto huo yaliyosababisha maji kuwa meusi na kutoa harufu, huku samaki wakifa ambapo chanzo kimeelezwa kuwa ni shughuli za binadamu pamoja na nguvu za asili....