Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini

Haya yote ndiyo gharama ya kuruhusu vibaka katawala nchi.The worst is yet to come.
 
 
Hadi hali hii kufikia hivyo, manaake ni kwamba; kuna uzembe wa maafisa maliasili, mifugo, afya na hata waziri husika wa mazingira!

Inamaanisha, kabla ya samaki kukosa hewa na hatmaye kufa, wananchi walitumia maji yenye kinyesi na mkojo wa wanyama?

Hapa bado kuna viongozi wanapaswa kuwajibishwa, japo wanajaribu kuwatupia mzigo wananchi! Ni jitihada gani zilishafanyika kuwasaidia hali hiyo isijitokeze na kuleta madhara kwa viumbe hai waishio ndani na nje y
Your browser is not able to display this video.

a mto?
I wish Magu angekuwepoπŸ€”πŸ™Œ
 
Ina maana hamuwaamini viongozi mliowachagua wenyewe...?
 
Shida ya mbolea isingekuwapo Tanzania
 
Mimi huwa nawaita hawa viongozi wa Tanzania kuwa ni vibaka lakini cha ajabu hapa jukwaani watu huwa wananishangaa na kunilaumu.

Ni vyema sasa watu waanze kujishangaa wenyewe na kujilaumu wenyewe kwa kujidanganya kuwa nchi ina viongozi.
 

Kamati: inatambua kuwa Mkoa wa Mara, wananchi leo wameshughudia sangara wakiwa wameelea ziwa victoria wakiwa wamekufa?​

Je kamati inaelewa kuwa mkoa wa mars unatumia maji ya ziwa victoria kwa matumizi ya binadamu na leo hii hakuna maji ya kunywa mkoa wa mara?​

Kamati inatambua leo dagaa hawapstikani tena kwa sabsbu ya dagaa kufa? Waziri Jafo jiuzulu​

 
Huu ni uongo.. Kinyesi cha Ng'ombe kuua samaki..

Hapa kamati wametudanganya...
 
Serikali hii haijali kivile maisha ya Watanzania. Muhimu kwao ni kubaki madarakani, kujitajirisha kwa namna yoyote ile.

Kudanganya mchana kweupe kwao sio issue tena.

Maji yamekuwa meusi,yanatoa harufu samaki wengi wamekufa na wanyama wengine kwa muda fulani (specific time). Unasingizia ngo'mbe.

Soko la nje hata la ndani la samaki (sato, sangara, dagaa nk) linaweza kutoweka tukiendekeza uongo na kutojali ecosystem. Magonjwa mengi ya ajabu kama ya kansa yataongezeka.

Tulete wachunguzi wa kimataifa, watuambie ukweli.
 
Profesa fulani kutoka Tanzania😁😁😁
Your browser is not able to display this video.
 
Kwa fikra zako unadhani ni mwekezaji gani kwa namna gani yawezekana akawa amechafua mto Mara?
Naomba kuuliza ni kwa nini basi pale NM kwenye tailings dam wameweka carpet kwa chini ili maji ya processing plant yanaenda hapo kwanza? Na mto Mara uko karibu sana na huo mgodi na maafisa wa mgodi huo huenda mto Mara kufanya water sampling. Why then would they do that....?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…