Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asalam aleikyum mkuu..Apia
Wachache wataelewaChanzo Cha Matatizo
Chama Cha Mazezeta
Now we talking buddy...Ila ukifanya leachinga kwa kutumia Sodium Cyanide as the main lixiviant katika PH ndogo basi moja ya by products itakua HCN (Hydrogen cyanide gas) ambayo tofauti na ulivoelezea kwamba CN- hupoteza nguvu kwenye hewa,...Cyanide ikiwa kwenye form ya gaseous(HCN) ni more toxic kuliko unavodhani.Ni up.umbavu wa hali juu kufikiria kuwa eti kuna sumu za mgodini zingesababisha samaki kufa mto Mara. Ni fikra za kijinga kabisa kutoka kwa wajinga wasiojua chochote kuhusiana na shughuli za mineral processing...
Ingekua kwa maji ya mabwawa au ziwa sawa..ila mto una flow muda wote..toka kenya huko ndio ije iwepo shida ya upungufu wa oxygen kwenye maji..hapana