Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini

Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini

Endapo Ng'ombe mmoja wa kienyeji atafanikiwa kuzalisha kilo 25 za kinyesi na lita 21 za mkojo Kwa SIKU kipindi Cha kiangazi, je atatoa uchafu kiasi Gani kipindi Cha kiangazi?

Je uchafu huu uzaliwa ukanda mmoja tu wa mto mara au Hali hii IPO Katika maeneo mengine nchini? Mbona hakuna rekodi ya Matokeo ya utafiti kama huu Toka kuumbwa Kwa Dunia?

Kupitia tafiti hizi za maprofesa: Kwako wewe msomaji, unadhani Profesa ni mtu wa aina gani? Ungetamani kuitwa profesa?

Unadhani kwanini Dr. Jafo kaelekeza kamati ikaandae Taarifa badala ya kupokea Taarifa? Je, profesa amewasilisha Taarifa ambayo haijakamilika? Findings zake amezitoa wapi? Vipi kuhusu recommendations?

Hawa professors wabaki vyuoni tu kuhubiri nadharia wasizokuwa na maarifa ya kuzitafisri kwa vitendo. Tafiti zao mara nyingi ni useless kwa jamii.
 
Now we talking buddy...Ila ukifanya leachinga kwa kutumia Sodium Cyanide as the main lixiviant katika PH ndogo basi moja ya by products itakua HCN (Hydrogen cyanide gas) ambayo tofauti na ulivoelezea kwamba CN- hupoteza nguvu kwenye hewa,....
(1) Uko correct kabisa katika item ya kwanza; cyanide ni toxic sana kuliko huyo "mtaalamu" anavyotaka kuaminisha watu kuwa inaishiwa nguvu na haina madhara.

Zamani ilikuwa inaaminika hivyo, ila studies za miaka miaka ya karibuni imeonyesha ndege n a wanyama wengi wakiwa wanadhurika nayo. Mahakama moja huko Idaho ilizuia mkampuni moja ya dhahabu isichimbe karibu na mtu kwa sababu hiyo.


(2) Kuhusu item ya pili, elewa kuwa process nzima ya kudegrade cyanide kufikia level ya kuwa harmless ni kwa oxidation, hata hivyo cost ya oxidation huwa ni kubwa sana kuweza kufuta faida ya mining. Kwa hiyo mchimbaji asiposimamiwa, ataimwaga popote tu mradi aendelee na na shughuli zake kuliko kuingia gharama za oxidation.

Wengine huwa wana recycle hiyo cyanide na kuitumia tena, hata hivyo recycling process pia ina gharama kwa mchimbaji kiasi kuwa akipata mwanya, ataimwaga popote. Hii siyo mara ya kwanza mgodi wa North Mara kulalamikiwa kwa kumwaga sumu hiyo kwenye maji ili kupata faida bila kuingia gharama za kutunza mazingira.



 
Nilikuwa Ruvuma au ilikuwa Zambezi,nilikuwa naenda Msumbiji,nikasikia jinsi mamba wanavyoleta kashkash kwenye mto.

Nilipolala usiku,I dreamnt,nikaota mamba yupo mbele yangu,ananiambia(presumably nilikuwa nimemuuliza swali) ananiambia(by telepathy), anaambia, hawa watu tunawachikia sana because they are pissing in the water
 
Nakili magufuli nilimkosea sana nilimuona mnoko dictator muuwaji mkandamizaji kwenye haki walllahi ilifika wakati humu ndani au huko uraiani mtu akimsifia magufuli nilikuwa na mtoa akili n kumdharau kumbe ni propaganda za wanasiasa wasio mpenda kwa masilai Yao binafsi ndio walio ni danganya Hakika magufuli alikuwa tunu ya watanzania alikuwa mzalendo wa kweli kwa Mara ya kwanza toka ututoke nakutakia kheri mungu akulaze mahali pema peponi 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Ni up.umbavu wa hali juu kufikiria kuwa eti kuna sumu za mgodini zingesababisha samaki kufa mto Mara. Ni fikra za kijinga kabisa kutoka kwa wajinga wasiojua chochote kuhusiana na shughuli za mineral processing...
Unaweza kuwa sahihi lakini hawa watu mwanzo walisema wamegundua kuna mafuta leo mkojo, ng'ombe gani anakojoa mafuta?
 
Endapo Ng'ombe mmoja wa kienyeji atafanikiwa kuzalisha kilo 25 za kinyesi na lita 21 za mkojo Kwa SIKU kipindi Cha kiangazi, je atatoa uchafu kiasi Gani kipindi Cha kiangazi?

Je uchafu huu uzaliwa ukanda mmoja tu wa mto mara au Hali hii IPO Katika maeneo mengine nchini? Mbona hakuna rekodi ya Matokeo ya utafiti kama huu Toka kuumbwa Kwa Dunia?

Kupitia tafiti hizi za maprofesa: Kwako wewe msomaji, unadhani Profesa ni mtu wa aina gani? Ungetamani kuitwa profesa?

Unadhani kwanini Dr. Jafo kaelekeza kamati ikaandae Taarifa badala ya kupokea Taarifa? Je, profesa amewasilisha Taarifa ambayo haijakamilika? Findings zake amezitoa wapi? Vipi kuhusu recommendations?
Nionyeshe profesa wa Tanzania mwenye akili nami nitakuonyesha mwanamke wa kitanzania asiyependa hela.
 
Nakili magufuli nilimkosea sana nilimuona mnoko dictator muuwaji mkandamizaji kwenye haki walllahi ilifika wakati humu ndani au huko uraiani mtu akimsifia magufuli nilikuwa na mtoa akili n kumdharau kumbe ni propaganda za wanasiasa wasio mpenda kwa masilai Yao binafsi ndio walio ni danganya Hakika magufuli alikuwa tunu ya watanzania alikuwa mzalendo wa kweli kwa Mara ya kwanza toka ututoke nakutakia kheri mungu akulaze mahali pema peponi 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Angekuwepo angesema kwani mie ndio nimewatuma mkanye mjaze vyoo 😃😃 yule mzee fuse zilikata
 
Hao ni wapumbavu tuu ......kwan hao ngombe wote wanakunya na kukojoa mtoni?
Kinnyesi cha ngombe hakijawahi kua sumu toka enzi na enzi
 
Ngombe hawa hawa wa mara mmoja anakunya kinyesi cha kg 25 na mkojo lita 21..???

Hivi wanaficha nini kwa manufaa ya nani?..hivi hiyo mifugo imeanza kufungwa mwaka huu maeneo hayo..mbona hayakuwahi kutokea hayo....
Isitoshe,ng'ombe mkoa wa Mara ndio wameanza kufugwa leo!! Kwanini miaka yoote hiyo kuna ng'ombe na samaki wasife!! Haa prof ajitathmini
 
Endapo Ng'ombe mmoja wa kienyeji atafanikiwa kuzalisha kilo 25 za kinyesi na lita 21 za mkojo Kwa SIKU kipindi Cha kiangazi, je atatoa uchafu kiasi Gani kipindi Cha kiangazi?

Je uchafu huu uzaliwa ukanda mmoja tu wa mto mara au Hali hii IPO Katika maeneo mengine nchini? Mbona hakuna rekodi ya Matokeo ya utafiti kama huu Toka kuumbwa Kwa Dunia?

Kupitia tafiti hizi za maprofesa: Kwako wewe msomaji, unadhani Profesa ni mtu wa aina gani? Ungetamani kuitwa profesa?

Unadhani kwanini Dr. Jafo kaelekeza kamati ikaandae Taarifa badala ya kupokea Taarifa? Je, profesa amewasilisha Taarifa ambayo haijakamilika? Findings zake amezitoa wapi? Vipi kuhusu recommendations?
Kuna uwezekano wakati wa tafiti walipewa majibu na wakaambiwa watoe majibu waliyo pewa na si vinginevyo!
 
Ili wafuasi wa Mbowe wakuone una Akili na smart 👇👇👇👇😂

Screenshot_2022-03-18-10-12-30-432_com.twitter.android.png
 
Endapo Ng'ombe mmoja wa kienyeji atafanikiwa kuzalisha kilo 25 za kinyesi na lita 21 za mkojo Kwa SIKU kipindi Cha kiangazi, je atatoa uchafu kiasi Gani kipindi Cha kiangazi?

Je uchafu huu uzaliwa ukanda mmoja tu wa mto mara au Hali hii IPO Katika maeneo mengine nchini? Mbona hakuna rekodi ya Matokeo ya utafiti kama huu Toka kuumbwa Kwa Dunia?

Kupitia tafiti hizi za maprofesa: Kwako wewe msomaji, unadhani Profesa ni mtu wa aina gani? Ungetamani kuitwa profesa?

Unadhani kwanini Dr. Jafo kaelekeza kamati ikaandae Taarifa badala ya kupokea Taarifa? Je, profesa amewasilisha Taarifa ambayo haijakamilika? Findings zake amezitoa wapi? Vipi kuhusu recommendations?
Study nyingi zinaonesha kgs 9 mpaka 15 za kinyesi na lita 7 mpaka 10 za mkojo kwa ng'ombe mmoja. Sasa sijui hao ng'ombe wa Mara wakoje?
 
Daaah tuna uhakika ule utafiti hajaufanya balozi wa maji bw..mrisho mpoto?????
 
Back
Top Bottom