Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Ninachojua Maprofesa wengi ni wazee wa nadharia tu ila application wako empty headed kabisa.
Halafu unakuta Le Professer amevaa miwani anakuangalia, macho kama kinyonga, dharau kibao ilhali lenyewe halina kitu kichwani na maishani.
Halafu unakuta Le Professer amevaa miwani anakuangalia, macho kama kinyonga, dharau kibao ilhali lenyewe halina kitu kichwani na maishani.