Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini

Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini

Hawa washenzi washaongwa tayari, apo ndo tutamkumbuka Magufuli,
Hawa watu wanacheza na roho za watu
 
alafu tunashauriwa kama unafuga samaki nyumbani tuweke bwawa chini ili wale kinyesi leo jamaa wa mchongo wanasema sumu ha ha ha ha ha
Hapo na mm ndio nashangaa wakati najua kinyesi cha n'gombe na chakula kizuri cha samaki
 
Haingii akilini.
Kwani wakurya wameanza kufuga ng'ombe Jana au juzi.
Hizi rushwa ndogo ndogo hizi zitawapeleka jehanum.
Mabeberu wamewaambia semeni ni mifugo ili wakurya wahame na mifugo Yao.
A full professor could not see this trick because of two million shillings.
 
Kinyesi cha ng'ombe na mikojo iweje kiwe sumu? Tatizo limejirudia kwa miaka mingapi?
OK well, wameona kinyesi kina sumu, je ni sumu gani ilikuwa kwenye hicho kinyesi, ng'ombe wameitoa wapi?
Sumu ni components
 
Tuendelee kucremisha vitu tu ila habari ya maprofesa na usomi wa Afrika bado tuna safari ndefu sana.MBAYA ZAIDI NCHI KAMA NCHI HAINA MJADALA WA PAMOJA KUJADILI NA KUJIULIZA KWA NN WENZETU WACHINA,WAKOREA NA WENGINE WENGI WAMEFIKIA PALE KWANINI ,KWA NN ,KWA NN.TUMEKALIA KUUZIANA DIGRII,MASTAZ,NA UPROFESA.UJINGA WA AFRIKA NADHANI MPAKA MUNGU MWENYEWE AINGILIE KATI.bila hivyo hatutoki.Mtu akienda shule kupata Elimu akirudi wala huelewi kama ameelimika ni upumbavu mtupu.
Ukiona tafiti za kuthaminisha (assess) zinapewa uzito kuliko zile za uchunguzi ama unda ( investigate, develop, design etc.), ujue tunalo. Mambo ya kufuata lugha za donor upate donation...yanatuangamiza!

TUJITEGEMEE.
 
Pp
Ungeweza kuweka utetezi wako bila kutaka kutuonyesha Magufuli alikuwa bora kwa hivyo. Ripoti ya uongo ya Ossoro ilikuwa chini yake, na hawa wameiga kupika ripoti.
Pamoja na ripot ya Ossoro kuitwa ya mangumashi,lakini ilikula vichwa kibao na kufutiliwa kampuni ya kimangumashi ya accesia,ni njinga tu ambaye akuona manufaa ya tume ya Ossoro, Sasahivi watu wa kanda ya ziwa wanakufa kwa kansa,halafu kuna mtu anakuja na majibu ya kitoto kuhusu afya za watu,Samia hatufahi kama hawezi kulinda afya za wananchi wake,bora tuwe na rais dicteita anayefundisha kufuata sheria bila shuruti,kuliko democrasia inayobembeleza kufuata sheria.
 
Wasiojua Cyanide kisamvu na mihogo yote ndio chimbuko (Source) kubwa ya cyanide duniani ndio maana mbuzi akila majani ya mihogo kwa wingi shughuli ataipata...lakini mihogo tunakula na haitudhuru kwa sababu concentration inakua iko chini sana.
Kisamvu ni majani ya muhogo..

Mbona haitudhuru sisi imdhuru mbuzi? .
 
Samadi ( ni biomass) ikiwa na C H O na trace element Ikivunda bila hewa uzalisha gesi ukaa ch4. Gesi hii nyepesi, upaa mawingu ki urahisi! Pia samadi ikiingia mtoni usababisha uwepo wa wadudu walao hewa ya o2 iliyomo majini na ambayo utumiwa na samaki... sijui nimechanganya madesa!
 
Endapo Ng'ombe mmoja wa kienyeji atafanikiwa kuzalisha kilo 25 za kinyesi na lita 21 za mkojo Kwa SIKU kipindi Cha kiangazi, je atatoa uchafu kiasi Gani kipindi Cha kiangazi?

Je, uchafu huu uzaliwa ukanda mmoja tu wa mto mara au Hali hii IPO Katika maeneo mengine nchini? Mbona hakuna rekodi ya Matokeo ya utafiti kama huu Toka kuumbwa Kwa Dunia?

Kupitia tafiti hizi za maprofesa: Kwako wewe msomaji, unadhani Profesa ni mtu wa aina gani? Ungetamani kuitwa profesa?

Unadhani kwanini Dr. Jafo kaelekeza kamati ikaandae Taarifa badala ya kupokea Taarifa? Je, profesa amewasilisha Taarifa ambayo haijakamilika? Findings zake amezitoa wapi? Vipi kuhusu recommendations?
Professor na waziri Jafo ni takataka
 
Samadi ( ni biomass) ikiwa na C H O na trace element Ikivunda bila hewa uzalisha gesi ukaa ch4. Gesi hii nyepesi, upaa mawingu ki urahisi! Pia samadi ikiingia mtoni usababisha uwepo wa wadudu walao hewa ya o2 iliyomo majini na ambayo utumiwa na samaki... sijui nimechanganya madesa!
Hii ni decomposition formula. Vipi kuhusu quantity?.... weka namba ya simu tukutafutie uteuzi
 
Ishu sio uprofesa,ishu amezingatia ethics na principles za taaluma yake?
 
Ha ha ha ha Watanzania TUMELAANIWA RASMI!

Hawa Wasomi hawa!...kuna siku mtu unaweza kujilipua tu!

Yani kinyesi na Mkojo wa ng'ombe ndio uue samaki upande huo wa mto Mara na upande mwingine samaki wanaendelea kula bata tu kama kawaida?

Hivi wawekezaji wanaweza wakatupa kiasi gani cha fedha kuficha ukweli na kutunga uongo wa kiwango hiki cha mtoto wa darasa la awali?

Shenzi kabisa!


Huu upuuzi kwa kweli.Wajinga tuu ndio wanafaa kukubali hii taarifa
 
Endapo Ng'ombe mmoja wa kienyeji atafanikiwa kuzalisha kilo 25 za kinyesi na lita 21 za mkojo Kwa SIKU kipindi Cha kiangazi, je atatoa uchafu kiasi Gani kipindi Cha kiangazi?

Je, uchafu huu uzaliwa ukanda mmoja tu wa mto mara au Hali hii IPO Katika maeneo mengine nchini? Mbona hakuna rekodi ya Matokeo ya utafiti kama huu Toka kuumbwa Kwa Dunia?

Kupitia tafiti hizi za maprofesa: Kwako wewe msomaji, unadhani Profesa ni mtu wa aina gani? Ungetamani kuitwa profesa?

Unadhani kwanini Dr. Jafo kaelekeza kamati ikaandae Taarifa badala ya kupokea Taarifa? Je, profesa amewasilisha Taarifa ambayo haijakamilika? Findings zake amezitoa wapi? Vipi kuhusu recommendations?
Kuna mahali jana nilichangia kuwa hizi kamati zinazoundwa kisiasa zinawadhalili sana wataalam wetu waliobobea katika field zao bila sababu za msingi.
Ukiwasikiliza wakati wa uwasilishaji wanavyoteseka kumung'unya maneno kama watoto,aah.Nakumbuka Maproff wa makinikia na Almasi/Tanzanite!
Hapa tulipofikia Taifa letu uponyaji wake ni Katiba mpya pekee.Tuanzie squire 1 na tuijenge nchi kwa pamoja.Mchango wa kila raia unahitajika bila ubaguzi wowote.
 
Back
Top Bottom