Kamati Kuu ya CCM chini ya Mwenyekiti Samia yaridhia Daniel Chongolo kujiuzulu Ukatibu Mkuu

Kamati Kuu ya CCM chini ya Mwenyekiti Samia yaridhia Daniel Chongolo kujiuzulu Ukatibu Mkuu

TOKA MAKTABA :

Dkt. Muchunguzi - Sakata la aliyekuwa katibu mkuu, lachukua sura mpya, hatutaki upotoshaji


View: https://m.youtube.com/watch?v=9A9UrgWuVdw

Dr. Dennis Muchunguzi lazima tupongeze kazi pia maamuzi ya busara ya mwenyekiti wa CCM taifa, na akemea yanayofanywa na viongozi waliopata kuwa na nyadhifa kubwa ndani ya chama ....
 
01 December 2023

MAHOJIANO EXCLUSIVE KUANGAZIA CHAMA DOLA KONGWE


Dkt. Dennis Muchunguzi - Tunamtaka Katibu Mkuu Mpya Atakayeweza Kufikiri Na Kuleta Mabadiliko Ya Kifikra Kusaidia Nchi na Chama ..


View: https://m.youtube.com/watch?v=Dl_qUvGPFgA aaaa
Dkt. Muchunguzi asema CCM Ni chama kikubwa kikongwe chenye miaka mingi kiumri na bado kinaweza kubadilisha viongozi huku kikiendelea kuimarika kupitia mabadiliko ya ndani ya chama ...
 
Back
Top Bottom