Kamati Kuu ya CHADEMA iliyoongozwa na Tundu Lissu, yateua Wakurugenzi wapya

Hongereni sana kwa walioteuliwa. Kazi imalizike
 
Duh!
Wagalatia watupu!!!
 
Hajui...

Hata hatambui kuwa kauli mbiu tu ya NO REFORMS NO ELECTION imeamusha mbwa zilizokuwa zimelala na sasa zinabweka hovyo mfano Makalla (Katibu Mkuu CCM), Steven Wassira (Makamu m/kiti CCM)..
Na wala hajui kwamba Msajiri wa Vyama vya Siasa (kifaa cha CCM yenyewe) Mtungi, anaweweseka akisema Lissu anafanya "Propaganda za kisiasa" kuhusu kauli hiyo ya NO Reform , No Election".
Isitoshe, kifaa muhimu wanacho kitumia CCM kufanya uchafuzi, POLISI, tayari wametangaza mazoezi ya KIVITA kwa kudhani watu watakuwa na hofu juu ya kauli hiyo!
Na bado...!
 
Tone tone inakuuma sana
Tone tone imegoma John Mrema alisema mnataka kumfukuza uanachama muweke mtu wenu kama mkurugenzi wa fedha

Lisu kanywea kamuacha kumtoa baada ya kuona tone tone limedoda sababu ya matajiri wa kichaga kuzira kwa mchezo mchafu Lisu alimchezea Mbowe kushinda uenyekiti

Matqjiri wakubwq wa kichaga Tone tone wakagoma kuchangia

Kaunda muundo feki feki cheo cha Mkurugenzi wa fedha karuka

Wenye macho na akili zetu tunaona wajinga wa Chadema tu ndio hawawezi ona
 
Yaani kwa safu hz muislamu anayejitambua lazima akiogope hiki chama.
Hapo bado hatujajua chrome cha Padri Kitime, Padri Slaa and the likes.
 
Alivyorudi umeumia sana. Ulidhani atafukuzwa ufurahi
Hata kama mnajitia kumrudisha pesa za matajiri wakubwa team Mbowe wa nje ya nchi na ndani waliokuwa wanafadhili Chadema hawarudi ng'oo

Tone tone yenu imebuma na itaendelea kubuma

Janja ya nyani sisi wenye akili kwisa gundua sisi hindi toka New Delhi India
 
Mna safari ndefu sana ya kuja kukifikia chama Cha CCM..yaani hapo hamna kabisa sura ya kitaifa..mbona huku mitaani tukikaa tunajumuika watu wote wa dini zote ila kwenye uongozi wenu tu ndo haiwezekani?
Yaani kuna chama kinatamani kuwa kama ccm? Mitaa ipi mnayokaa kwa kubalance dini boss? Nenda Zanzibzar kahesabu ratio ya waisilamu na wakristo. Ama nenda nyanda za juu kusini unipe huo mchanganyiko wa kidini. Naona unadhani dini ni kitu cha maana hadi iwe kigezo cha uongozi. Hayo mawazo ya kipuuzi ni ya kiccm.
 
Mna safari ndefu sana ya kuja kukifikia chama Cha CCM..yaani hapo hamna kabisa sura ya kitaifa..mbona huku mitaani tukikaa tunajumuika watu wote wa dini zote ila kwenye uongozi wenu tu ndo haiwezekani?
Ukifika uchaguzi unaiba kura na kupiga wanachi na kuwaua wakati inakubalika nchi mzima.
 
Kama mna malengo ya kushika Dola lazima u'balance' hizo inshu..otherwise mnapoteza muda wenu Bure tu
 
Si mliseme Mbowe na pesa za ccm wakiondoka Chama kinalufa? Kiko wapi sasa
Chadema inapumlia mashine nakipa miezi sita tu toka sasa kitakuwa hakina uwezo wa kulipa mishahara ya wafanyakazi wa kudumu ofisi zao,madereva,,umeme,maji ,,pango ,gharama za service za magari ya Chadema nk

Miezi sita nawapa Chadema kitakuwa kiko hoi bin taabani kifedha na Lisu ataachia ngazi kwa hiari au kulazimishwa na wanachama

Uongozi wake hautazidi miezi sita kuanzia mwezi huu kabla kutema bungo
 
Kama mna malengo ya kushika Dola lazima u'balance' hizo inshu..otherwise mnapoteza muda wenu Bure tu
Dini zinawagusa wazee kama ww maana ndio bado wanaishi kwa story za imani. Kizazi cha sasa hata hizi dini wanaigia kwa mazoea tu wala sio kivile. Ulimwengu wa technology huu bado unadhani kuna mtu anapoteza muda kwa siasa za mitazamo ya kidini?
 
Lete huwo ushahidi wako wa unayosema na sio propaganda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…