Nimecheka kwa nguvu kwa hili dua la kuku. Hizi story za cdm itakufa ni za kipindi sana, kabla hata hujavunja ungo, naona umejiunga mwaka juzi basi unadhani umeleta dua jipya.Chadema inapumlia mashine nakipa miezi sita tu toka sasa kitakuwa hakina uwezo wa kulipa mishahara ya wafanyakazi wa kudumu ofisi zao,madereva,,umeme,maji ,,pango ,gharama za service za magari ya Chadema nk
Miezi sita nawapa Chadema kitakuwa kiko hoi bin taabani kifedha na Lisu ataachia ngazi kwa hiari au kulazimishwa na wanachama
Uongozi wake hautazidi miezi sita kabla kutema bungo
Rugemaliza Nshala ndio yule mwanasheria aliyekuwa anagombea uwenyekiti wa Tanganyika Law Society?Garubindi kachukua nafasi ya rugemeleza nshala kwani keshatenguliwa?
Nashukuru kwamba Wachaga awamu hii wamewekwa pembeni.TAARIFA KWA UMMA
Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana katika kikao chake maalum cha siku mbili kuanzia juzi tarehe 11 mpaka 12 Machi 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu imefanya uteuzi wa Wakurugenzi kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (b) na Wataalamu mbalimbali wa Makao Makuu ya Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.17 (e) ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2019 kama ifuatavyo;
A) WAKURUGENZI
1. John Pambalu; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.
2. John Kitoka; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Diaspora.
3. Wakili Gaston Garubindi; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu.
4. Bi. Brenda Rupia; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi.
B) WATAALAMU
1. Bi. Catherine Ruge Mtaalamu wa dawati la jinsia.
2. Leornad Magere Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji.
Aidha, Kamati Kuu imethibitisha Makatibu wa Kanda nne za Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (c) kama ifuatavyo;
1. Bi. Ashura Masoud; amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida.
2. Benjamin Ntele amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Pwani inayojumuisha mikoa ya kichama ya Ubungo, Ilala, Kinondoni, Temeke na Pwani.
3. Totinan Ndonde amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.
4. Edger Malimusi amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma
Imetolewa leo Jumatano tarehe 12 Machi 2025.
Apolinary Boniface Margwe
Msaidizi - Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi
View attachment 3267771
Amsha amsha inaletwa na wanachama na wafuasi siyo viongozi kama unavyofikiria! Vyombo vya habari ni huru?????Kwa sasa chadema imekuwa kama taasisi tu na sio chama cha upinzani.. sioni hamsha hamsha utadhani hawapo teyar kwa uchaguzi na ni mwaka huu 2025.
Kikundi Cha wahuniHuu ni uteuzi wa chama cha siasa au kikundi cha kwaya?
Masonga naona katemwa.TAARIFA KWA UMMA
Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana katika kikao chake maalum cha siku mbili kuanzia juzi tarehe 11 mpaka 12 Machi 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu imefanya uteuzi wa Wakurugenzi kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (b) na Wataalamu mbalimbali wa Makao Makuu ya Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.17 (e) ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2019 kama ifuatavyo;
A) WAKURUGENZI
1. John Pambalu; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.
2. John Kitoka; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Diaspora.
3. Wakili Gaston Garubindi; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu.
4. Bi. Brenda Rupia; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi.
B) WATAALAMU
1. Bi. Catherine Ruge Mtaalamu wa dawati la jinsia.
2. Leornad Magere Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji.
Aidha, Kamati Kuu imethibitisha Makatibu wa Kanda nne za Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (c) kama ifuatavyo;
1. Bi. Ashura Masoud; amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida.
2. Benjamin Ntele amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Pwani inayojumuisha mikoa ya kichama ya Ubungo, Ilala, Kinondoni, Temeke na Pwani.
3. Totinan Ndonde amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.
4. Edger Malimusi amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma
Imetolewa leo Jumatano tarehe 12 Machi 2025.
Apolinary Boniface Margwe
Msaidizi - Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi
View attachment 3267771
Kwani hana kazi,kama hana atapangiwa kazi nyingineMwenyekiti amkumbuke na Twaha Mwaipaya kwenye uongozi.
Kijana anakipigania sana Chama
wapalestina watapangiwa majukumu mengine bado mambo ni mengiDuh!
Wagalatia watupu!!!
Mungu ibariki CHADEMATAARIFA KWA UMMA
Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana katika kikao chake maalum cha siku mbili kuanzia juzi tarehe 11 mpaka 12 Machi 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu imefanya uteuzi wa Wakurugenzi kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (b) na Wataalamu mbalimbali wa Makao Makuu ya Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.17 (e) ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2019 kama ifuatavyo;
A) WAKURUGENZI
1. John Pambalu; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.
2. John Kitoka; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Diaspora.
3. Wakili Gaston Garubindi; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu.
4. Bi. Brenda Rupia; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi.
B) WATAALAMU
1. Bi. Catherine Ruge Mtaalamu wa dawati la jinsia.
2. Leornad Magere Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji.
Aidha, Kamati Kuu imethibitisha Makatibu wa Kanda nne za Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (c) kama ifuatavyo;
1. Bi. Ashura Masoud; amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida.
2. Benjamin Ntele amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Pwani inayojumuisha mikoa ya kichama ya Ubungo, Ilala, Kinondoni, Temeke na Pwani.
3. Totinan Ndonde amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.
4. Edger Malimusi amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma
Imetolewa leo Jumatano tarehe 12 Machi 2025.
Apolinary Boniface Margwe
Msaidizi - Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi
View attachment 3267771
Sasa wewe unaona kuna chama hapo?Si mliseme Mbowe na pesa za ccm wakiondoka Chama kinalufa? Kiko wapi sasa
Unasema kweli?Uteuzi wa uongozi
Mwezi wa Ramadhani
Hivi vinaweka mbali na waislam
Nakupa taarifa tu kwamba hata ccm juzi waliteua wagombea .swain weweUteuzi wa uongozi
Mwezi wa Ramadhani
Hivi vinaweka mbali na waislam
Chadema imeteua wote wakiristoNakupa taarifa tu kwamba hata ccm juzi waliteua wagombea .swain wewe
Umeishiwa vya kuingea na kuandika sasa unaleta usini ???? MUFILISI WEWE. ulijuaje kwamba wote ni wa kristo???? Waliapa kwa Bible???Chadema imeteua wote wakiristo
Napata shida sana kujibu mawazo ya namna hii kwa Tanzania yetu hii.Yaani kwa safu hz muislamu anayejitambua lazima akiogope hiki chama.
Hapo bado hatujajua chrome cha Padri Kitime, Padri Slaa and the likes.
Hahaha mzee WA short answer
TAARIFA KWA UMMA
Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana katika kikao chake maalum cha siku mbili kuanzia juzi tarehe 11 mpaka 12 Machi 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu imefanya uteuzi wa Wakurugenzi kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (b) na Wataalamu mbalimbali wa Makao Makuu ya Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.17 (e) ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2019 kama ifuatavyo;
A) WAKURUGENZI
1. John Pambalu; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.
2. John Kitoka; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Diaspora.
3. Wakili Gaston Garubindi; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu.
4. Bi. Brenda Rupia; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi.
B) WATAALAMU
1. Bi. Catherine Ruge: Mtaalamu wa dawati la jinsia.
2. Leornad Magere: Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji.
Aidha, Kamati Kuu imethibitisha Makatibu wa Kanda nne za Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (c) kama ifuatavyo;
1. Bi. Ashura Masoud; amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida.
2. Benjamin Ntele: amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Pwani inayojumuisha mikoa ya kichama ya Ubungo, Ilala, Kinondoni, Temeke na Pwani.
3. Totinan Ndonde: amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.
4. Edger Malimusi: amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma
Imetolewa leo Jumatano tarehe 12 Machi 2025.
Apolinary Boniface Margwe
Msaidizi - Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi