Kamati Kuu ya CHADEMA iliyoongozwa na Tundu Lissu, yateua Wakurugenzi wapya

Nyie ndo mmeshafanikiwa kutugawa. Chama kinaonyesha udini waziwazi. Haya bila shaka ni mapendekezo ya Padri Slaa na Padri Kitime mana ndo walomuweka Mkatoliki mwenzao hapo
 
Shida shaka kuwa huu uteuzi haujazingatia vigezo vya Dini kwenye nafasi zote Muislam ni Moja tu, kweli Mh Mwenyekiti Hana Udini , ni Mwadilifu sana kwenye kulinda Imani yake.

Bila shaka ni wakati wa Kina John Kula mema ya Chama
 
Mchezo mchafu upi?
 
John Mrema mkurugenzi wa fedha

wamemgwaya

Chezea wewe

Lisu na ubabe wake baada ya kuona tone tone linadoda anaogopa kumtoa ukurugenzi wa fedha John Mrema kuwinda pesa za wachaga
Una comment bila hata kusoma...

Upo kama robot ambalo liko kwenye auto - setting....

Wewe Shotocan hufikiri wala kuwaza kwanza kabla ya kuandika/kusema kwa kuzingatia uhalisia wa kilichopo mezani...

Moyo wako umejaa chuki na mabaya tu kwa watu wengine usiowapenda. Kwanini unajiumiza hivyo bila sbb..?

Nani kakuambia ni Mkurugenzi wa Fedha? Umeona wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…