Kamati Kuu ya CHADEMA kimewapitisha Freeman Mbowe na Cecil Mwambe kugombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa

Kamati Kuu ya CHADEMA kimewapitisha Freeman Mbowe na Cecil Mwambe kugombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa

Cecil Mwambe asiposhinda tutaenda mahakamani , tunajua wajumbe wengi wamemchoka Mbowe hivyo hawezi kushinda . Mbowe akishinda huo uchaguzi ni batili
We akili yako mbovu sana. Sasa kama unapanga matokeo ni lazima mwambe ashinde sasa kuna umhimu gani wa watu kugombea. Kura ndo zitaamua. Halafu inaonekana we ni yale ya Lumumba. Ungekuwa CHADEMA ungeijua katiba vema hata usitaja mahakama.
 
Na amesha karibishwa na jiwr kurudi kuwa kijani?? Hatuwezi kuwaa mbwa chama chetu
Cecil Mwambe ametimiza haki yake ya kidemokrasia ila atakayempigia kura eti awe mwenyekiti wa Chadema atakuwa mwehu kwelikweli! Yani wewe ni mwanamchama kweli wa Chadema then unatoka kwako kwenda kumchagua Cecil Mwambe mtu aliyehamia 2015 akitokea CCM awe mwenyekiti! Emb tuache mzaha bwana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cecil Mwambe asiposhinda tutaenda mahakamani , tunajua wajumbe wengi wamemchoka Mbowe hivyo hawezi kushinda . Mbowe akishinda huo uchaguzi ni batili
Wenye akili wanajua toka zamani Mwambe hawezi kushinda, labda Jecha awe ndio msimamizi wa uchaguzi, ninachokiona hapa ni unajaribu kupima kina cha maji kwa kuingiza mguu mmoja, waeleze upepo haujakaa upande wao.
 
Cecil Mwambe asiposhinda tutaenda mahakamani , tunajua wajumbe wengi wamemchoka Mbowe hivyo hawezi kushinda . Mbowe akishinda huo uchaguzi ni batili
Kweli! Tunataka uchaguzi huru na haki. Akipendelewa mmoja, hakitaeleweka!
 
MBOWE AENDELEE NA LISSU AWE MSAIDIZI WAKE NAJUA CCM PEKEE NDIYO HAWAITAKI HII LAKINI HAKUNA NAMNA NDO MAANA WANALUMUMBA HATA WAKIWA CHOONI KABLA YA KUJIKAMUA LAZIMA WATUPIE DONGO
 
Molemo,
Kila la kheri makamanda ! People's? 😁 tukutane 2020 uchaguzi watani zetu.
 
Cecil Mwambe asiposhinda tutaenda mahakamani , tunajua wajumbe wengi wamemchoka Mbowe hivyo hawezi kushinda . Mbowe akishinda huo uchaguzi ni batili
Safi sana Mbona hamjaenda Mahakamani kushtaki kwanini Mwanaharakati huru Cprian Musiba hajajumuishwa na kina Kinana,Makamba na Membe kuhojiwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cecil Mwambe asiposhinda tutaenda mahakamani , tunajua wajumbe wengi wamemchoka Mbowe hivyo hawezi kushinda . Mbowe akishinda huo uchaguzi ni batili
Endeleeni kuimba mnaimani na binadamu yule.
 
Cecil Mwambe asiposhinda tutaenda mahakamani , tunajua wajumbe wengi wamemchoka Mbowe hivyo hawezi kushinda . Mbowe akishinda huo uchaguzi ni batili
mutaenda mahakamani wewe na nani?????? pls hii sio ccm ambapo weyeketi wenu jiwe alipita kwa 100%, hii ni democracy, hatuna huo ushamba wa yiyi wanaccm, tena kaa wewe umemuchoka mhe Mbowe, sisi wengine bado yeye ni shujaa kwetu, so peleka hizo story zako kwa pole pole
 
Cecil Mwambe ametimiza haki yake ya kidemokrasia ila atakayempigia kura eti awe mwenyekiti wa Chadema atakuwa mwehu kwelikweli! Yani wewe ni mwanamchama kweli wa Chadema then unatoka kwako kwenda kumchagua Cecil Mwambe mtu aliyehamia 2015 akitokea CCM awe mwenyekiti! Emb tuache mzaha bwana!
asante sana afisa, itakuwa ni ujinga wa ajabu kumchagua cecil mwambe, damu yake huyu mama ni ya ccm, sijui nani ataweza kumpa kura
 
Huu uchaguzi wa Chama Kikuu cha upinzani Tanzania , Chadema ndio utakaotoa mwelekeo wa wale Wapambe wanaowaza kuandana ili Katiba ya nchi ifanyiwe marekebisho ili ukomo wa Rais uondolewe.

Kitendo cha Wajumbe wa Chama kinachopigania Demokrasia yenye ukomo wa madaraka ili kuondoa hulka ya Nchi au Chama kuongozwa kwa matakwa ya mtu mmoja kumchagua tena Mbowe kitahalalisha kabisa wale wasanii wanaotaka JPM atawale milele kwa sababu yeye ni kiboko ya mabeberu.

WanaChadema wapemba Demokrasia ya kweli wamshukuru Mbowe kwa kukiongoza Chama kwa miaka 15 kwa mafanikio aliyoyafanya na sasa wampe Muda wa Kupumzika ili chama Kiongozwe na mtu mwingine .
Kwa sasa Mbowe ameunga mkono Juhudi za serikali ya awamu ya Tano kuzuia mikutano ya kisiasa na kuwabana wapinzani kwa kuhudhuria maadhimisho ya siku ya Uhuru.
Mbowe aliungana na Wakoloni kuadhimisha siku ya Uhuru wa CCM huku akijua wazi kuwa Mamilioni ya watanzania wa vyama vya upinzani hawana Uhuru wa kisiasa.

Mamia ya wanasiasa wa Upinzani waliunga mkono Juhudi na kuhudhuria mikutano ya serikali baada ya kutishwa na kulazimishwa lakini Mbowe ameunga mkono kwa hiyari huku akisahau kuwa kwa miaka ninne amewasababishia watanzania kwa maelfu maumivu makali kwa matamko yake ya kususia shughuli zote za serikali hata zile za maendeleo.

Tunataka kuondoa Ukabila na ukanda kama Ule anaoueneza yule wa CCM kwa kusema kuwa kura za Kanda ya ziwa zinatosha kumpata Rais.
Tuondoe wazo kuwa kura za Moshi tu zinatosha kumfanya Mbowe awe mwenyekiti wa kudumu wa Chadema .

Kura yako iwe ni :-
... ... TANZANIA VS UKANDA.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom