- Thread starter
- #81
Wajumbe wataamua kwa Haki.Uzuri CDM hakuna rushwaHuu Ni uzushi mbona alipewa ujumbe Wa kamati kuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajumbe wataamua kwa Haki.Uzuri CDM hakuna rushwaHuu Ni uzushi mbona alipewa ujumbe Wa kamati kuu?
Cecil Mwambe asiposhinda tutaenda mahakamani , tunajua wajumbe wengi wamemchoka Mbowe hivyo hawezi kushinda . Mbowe akishinda huo uchaguzi ni batili
Ni kweli kiongozi.Umeeleza vema sanaAtakae shinda atakuwa kashinda kwa sababu kachaguliwa kwa kura halali za wapiga kura halali...mengine kama hili lako la ubatili yatabaki kuwa ni mawazo na wishful thinking expressed kwa keyboard typing..
Maajabu hayoUtaenda wewe kama nani?
Yaani washindane chadema, alafu mahakamani mwende wa ccm!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kimakosa sana. Kosa kurudia kosa. He is nothing but a mercenary.Huu Ni uzushi mbona alipewa ujumbe Wa kamati kuu?